Waziri Selemani Jafo amsema Mkurugenzi wa SCOL Building Contractors Limited hadi akaanguka na kuzimia

Mchaga na uinjinia wa barabara ni wapi na wapi. Fani ya mchaga ni kupita juu barabara akiwa na bidhaa mkononi kwenda kuuza, hamuoni hata ndula alizotinga ?

Acha ujinga we nyang'au!
Una ugomvi gani na Wachaga we mwehu? Katika Makabila ya Tanzania Wachaga ndo wamekwenda shule kuliko makabila mengine na ndio maana utakuta wako kwenye Taasisi nyingi za Serikali na wengine wana Makampuni yao kama huyu SKOL.Kama unataka kujua Wachaga ni watu tofauti angalia LEGACY aliyoiacha Mzee Mengi!
 
Minaki moja siyo
Haka kajamaa bhana kana maneno mengi tangu school.
Kiranja wangu wa chakula, alikuwa hakauki jikoni kuonja onja chskula.
Kuna wakati tuligomea msosi maharage hayakuiva, yeye alijifungia ndani jikoni akila kwa walibzi, watu walimmainfi sana. huyu
 
Lushindo lwa awamu ya chato
Kule Sumaye kakimbia anadai kakiona cha Moto huku Mkandarasi kazimia mbele ya Waziri [emoji1787][emoji1787] Hakika tutaona mengi mno ndani ya hiki kishindo cha5 duuhh
 
Nimeikuta sehemu
Nalog off
 

Attachments

  • IMG-20191206-WA0007.jpg
    38.1 KB · Views: 4
Hahaha huyu hatupwi kwenye jehanam ya moto,atajitupa mwenye jehanam ya moto
 
Mchaga na uinjinia wa barabara ni wapi na wapi. Fani ya mchaga ni kupita juu barabara akiwa na bidhaa mkononi kwenda kuuza, hamuoni hata ndula alizotinga ?
Huyo anauwezo wa kukulisha ww na familia yko mpk mseme inatosha!
Usimchukulie poa

Ova
 
Alafu huyo boya utakuta hpo alipo hana hata laki 2 lkn anabakia kumponda masawe

Ova
 
Mchaga hata ukimkuta anapalilia mahindi usimchukulie poa, ukifika kwake utaulizia mwenye nyumba kumbe ndiye mmiliki
Huyo anauwezo wa kukulisha ww na familia yko mpk mseme inatosha!
Usimchukulie poa

Ova
 
Huyu mkurungenzi kweli hakistahili kuoewa hii kazi....maneno ya kawaida kabisa hayo anazimia kweli🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…