Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Waziri kaupiga mwingi wale Matapeli waliniudhi sana.Anaupiga mwingi
Mkinga lazima adai bilioni kadhaa zake zirudishwe, waliouza kama walishatumbua zote, watazitapika.
Au jengo apewe aliyonunua kwa masharti hiyo flow iliyowekwa waqfu mkinga aahe kama palivyo
At the end of the day Bakwata ndio watakuja kuiuza hiyo Nyumba ya Wakfu Bakwata wameuza Nyingi sana huko Mikoani na Dar pia.Nyumba za urithi huko
Zinawatoa sana jasho ndugu
Huko
Ova
Hawa watu sijui wanawazaga nini.Gorofa la Waqfu lilikuwa liuzwe Mchana kweupee!!!
Mkinga arudishiwe Fedha zake Taslim.
Kwa hiyo kumbe,wasimamizi wengi wa mirathi,hutumia dhuluma kuuza nyumba za mirathi bila kuwashirikisha warithi wote.Msomi mwanasheria Jerry Silaa anasema kazi ya msimamizi wa mirathi ni tofauti na tunavyodhania kuwa kazi yake kuu ni kuuza mali nasi tunakimbilia kununua bila kwanza kutafakari kwa kina mazingira, na wasimamizi wengi hujivika jukumu hilo bila kujua ni tatizo kubwa kisheria.
Sio Bakwata tu,hata ma Imam wengi wa misikiti,wameuza nyumba nyingi za waqfu,bila wasiwasi wowote.At the end of the day Bakwata ndio watakuja kuiuza hiyo Nyumba ya Wakfu Bakwata wameuza Nyingi sana huko Mikoani na Dar pia.
Ndio inavyosemwa mitaani,na pia mawakili wengi wanawaambia wasimamizi wa mirathi kuwa unaweza kuuza chochote cha mirathi bila kustakiwa,kuuza shamba,viwanja nyumba,nk.Msomi mwanasheria Jerry Silaa anasema kazi ya msimamizi wa mirathi ni tofauti na tunavyodhania kuwa kazi yake kuu ni kuuza mali nasi tunakimbilia kununua bila kwanza kutafakari kwa kina mazingira, na wasimamizi wengi hujivika jukumu hilo bila kujua ni tatizo kubwa kisheria.
Kauli ya waziri siyo sheria, aende mahakamani kudai haki.Hongera Kwa Waziri kutatua mgogoro huo.
Kununua Mali ya urithi huwa na changamoto nyingi hasa kama ndugu wengine wanakuwa hawajaridhia.
Nimewahi kupata shida ya hivyo, bila kutumia connection nilikuwa napoteza hela yangu hivi hivi 🙌
Hawa wasimamizi wa mirathi ndio kazi yao kuuza mali za urithi bila kuwashirikisha warithi.Kauli ya waziri siyo sheria, aende mahakamani kudai haki.
Hahitaji kulipwa pesa kuna wanaokubaki waliuza Achukue floor zao na fremu zao.Sababu hawakatai kuwa hawakuuza.Madrasa ibaki lakini msikiti ukiamua madrasa iende wapi uamuzi wao sababu ndio walikabidhiwa huo wakfuMporipori mkinga kaingizwa jau.. hii imekula hadi ajae kuipata hiyo hela watakula wajukuu wake sio leo yaani
kwenye watoto 11 sio huyo dada peke yake aliyekubali kuuza..Na wakfu ulishaandikwa sio suala la hiyari ya msikiti ni la lazima ubaki kama alivyoagiza marehemu.. Huyo Imam aliyeuza hata kamati ya msikiti wanamkanaHahitaji kulipwa pesa kuna wanaokubaki waliuza Achukue floor zao na fremu zao.Sababu hawakatai kuwa hawakuuza.Madrasa ibaki lakini msikiti ukiamua madrasa iende wapi uamuzi wao sababu ndio walikabidhiwa huo wakfu
Huyo dada yao ambaye anasema hakushirikishwa abaki na floor yake na fremu zake
Of course ataenda, ila Waziri ameonesha njia kwenye huo mgogoroKauli ya waziri siyo sheria, aende mahakamani kudai haki.