KERO Waziri Simbachawene ingilia kati mfumo wa ESS unakwamisha maisha ya Watumishi

KERO Waziri Simbachawene ingilia kati mfumo wa ESS unakwamisha maisha ya Watumishi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kwa ujumla huu mfumo ni mzuri sana. Maana umeondoa ukiritimba wa maafisa utumishi kwa watumishi.

Tatitizo kubwa ni kuwa sasa hivi watumishi wa umma wanatakiwa kutumia mfumo wa Ess kwa kufanya kila jambo linalowahusu. Kuanzia uhamisho, likizo, na hata appraisal.

Lakini mpaka sasa huduma nyingi hazipatikani kwa ufasaha. Mfano watumishi wanaomba uhamisho lakini utasikia maombi hayaonekani.

Waziri mwenye dhamana ingilia kati. Maana sasa huduma za kiitumishi ni kupitia Ess.
 
Nilitaka kuhama kutoka sekta moja kwenda nyingine mfumo hauaccomodate

Mfano mwalimu kuwa mkufunzi au mdhibiti ubora inashindikana

Mfumo lazima uwe holistically and comprehensively and satisfactory
 
Kwa ujumla huu mfumo ni mzuri sana. Maana umeondoa ukiritimba wa maafisa utumishi kwa watumishi.

Tatitizo kubwa ni kuwa sasa hivi watumishi wa umma wanatakiwa kutumia mfumo wa Ess kwa kufanya kila jambo linalowahusu. Kuanzia uhamisho, likizo, na hata appraisal.

Lakini mpaka sasa huduma nyingi hazipatikani kwa ufasaha. Mfano watumishi wanaomba uhamisho lakini utasikia maombi hayaonekani.

Waziri mwenye dhamana ingilia kati. Maana sasa huduma za kiitumishi ni kupitia Ess.
Tatizo sio mfumo bali tatizo nikwamba uhamisho imekua ni biashara mana kuna watu wamekamilisha kila kitu kabla ya mfumo wa electronic kuanza na niuhamisho tu wakubadilishana na wamefika mpk tamisemi kuulizia taarifa zao wakaambiwa majina yanachakatwa lkn mpk leo tokea mwez wa 10 2023 bado tu yanachakatwa sasa tujiulize km yale majina yawalioomba kabla ya mfumo wa electronic hayajamaliza kuchakatwa vp haya majina baada ya huu mfumo yatachakatwa lini? Chakushangaza wenye connection kila siku wanahama tunaomba wahalalishe basi tujue kuhama ni shilling ngapi? Ili watu wasiiibiwe huku mitaani.
 
Habari,naomba kujua Kama Kuna mtumishi aliefanikiwa kupata kibali cha uhamisho kupitia mfumo wa ess,ni miezi mitatu status inasoma TAMISEMI lakini hakuna kinachoendelea.tufahamishane tafadhali
 
CCM iliyojaa rushwa ?hiyo mifumo haiwezi kufanya kazi Kama namba moja anachukua rushwa ya 500000 unategemea nini??Hiyo mifumo ni kupoteza muda tu
 
Habari,naomba kujua Kama Kuna mtumishi aliefanikiwa kupata kibali cha uhamisho kupitia mfumo wa ess,ni miezi mitatu status inasoma TAMISEMI lakini hakuna kinachoendelea.tufahamishane tafadhali
Usinichekeshe uliza wenzio wa tangu mwaka jana,we unasema miezi mitatu,njoo inbov nikupe connection
 
Nilitaka kuhama kutoka sekta moja kwenda nyingine mfumo hauaccomodate

Mfano mwalimu kuwa mkufunzi au mdhibiti ubora inashindikana

Mfumo lazima uwe holistically and comprehensively and satisfactory
Naona kuna kipengele wamekiongezea cha kuomba recate kupitia mfumo.
 
Back
Top Bottom