Habari za asubuhi wana JamiiForums
Kwa maslahi ya taifa naona tujadili hili swala. Naona halizungumzwi mahali popote ukiachilia matatizo mengi tuliyonayo kama taifa kwa sasa.
Kumezuka tatizo la ajali za kila mahala takribani ajali 4-5 kwa siku zinaripotiwa kwenye mitandao ya kijamii zikihusisha vyombo vya usafiri wa abiria kama Mabasi yaendayo mikoani.
Pamoja na kuwa usafiri na usimamizi wake uko chini ya Wizara ya mambo ndani hatuoni hatua yoyote inayochukuliwa na Waziri mwenye dhamana Mh Simbachawene. Sio tu kuchukua hatua bali hata kulizungumzia tu yuko kimya.
Kwa maoni yangu na jinsi navyoona ripoti hizi naweza kusema baada ya vifo vya corona Ajali tanzania inashika namba mbili.
Tusifanye siasa kwenye maisha ya watu. Mh Rais anakopa pesa kila siku zije nchini kusaidia watanzania sasa kama watanzania wanateketea kwa ajli kila siku huku wengi wakiachwa na ulemavu wa kudumu itakuwa haina maana.
Utendaji wa Mh Simbachaweni uko chini ya kiwango kuliko hata wa Kangi Lugola.
Kwa maslahi ya taifa naona tujadili hili swala. Naona halizungumzwi mahali popote ukiachilia matatizo mengi tuliyonayo kama taifa kwa sasa.
Kumezuka tatizo la ajali za kila mahala takribani ajali 4-5 kwa siku zinaripotiwa kwenye mitandao ya kijamii zikihusisha vyombo vya usafiri wa abiria kama Mabasi yaendayo mikoani.
Pamoja na kuwa usafiri na usimamizi wake uko chini ya Wizara ya mambo ndani hatuoni hatua yoyote inayochukuliwa na Waziri mwenye dhamana Mh Simbachawene. Sio tu kuchukua hatua bali hata kulizungumzia tu yuko kimya.
Kwa maoni yangu na jinsi navyoona ripoti hizi naweza kusema baada ya vifo vya corona Ajali tanzania inashika namba mbili.
Tusifanye siasa kwenye maisha ya watu. Mh Rais anakopa pesa kila siku zije nchini kusaidia watanzania sasa kama watanzania wanateketea kwa ajli kila siku huku wengi wakiachwa na ulemavu wa kudumu itakuwa haina maana.
Utendaji wa Mh Simbachaweni uko chini ya kiwango kuliko hata wa Kangi Lugola.