Waziri Simbachawene jiuzulu, una-underperfom. Ajali zitamaliza Watanzania

Waziri Simbachawene jiuzulu, una-underperfom. Ajali zitamaliza Watanzania

Habari za asubuhi wana Jamii Forume

Kwa maslahi ya taifa naona tujadili hili swala. Naona halizungumzwi mahali popote ukiachilia matatizo mengi tuliyonayo kama taifa kwa sasa.

Kumezuka tatizo la ajali za kila mahala takribani ajali 4-5 kwa siku zinaripotiwa kwenye mitandao ya kijamii zikihusisha vyombo vya usafiri wa abiria kama Mabasi yaendayo mikoani.

Pamoja na kuwa usafiri na usimamizi wake uko chini ya Wizara ya mambo ndani hatuoni hatua yoyote inayochukuliwa na Waziri mwenye dhamana Mh Simbachawene. Sio tu kuchukua hatua bali hata kulizungumzia tu yuko kimya.

Kwa maono yangu na jinsi navyoona ripoti hizi naweza kusema baada ya vifo vya corona Ajali tanzania inashika namba mbili.

Tusifanya siasa kwenye maisha ya watu. Mh Rais anakopa pesa kila siku zije nchini kusaidia watanzania sasa kama watanzania wanateketea kwa ajli kila siku huku wengi wakiachwa na ulemavu wa kudumu itakuwa haina maana.

Utendaji wa Mh Simbachaweni uko chini ya kiwango kuliko hata wa Kangi Lugola.
mwambieni heche agombee ubunge akishinda apewe uwaziri wa mambo ya ndani wanga nyie mnatoa kafara mnataka waziri ajiuzuru?
 
Inaumiza Sana , Kama mpaka maisha ya Watu tunayawekea siasa. Wanadamu tukumbuke kuwa hakuna kidumucho hapa duniani. Imeniumiza Sana comment yake kwa kuwa NIMETOKA kusoma taarifa ya ajali ya ISAMILO.
Amejibu kisiasa. Anapenda siasa
 
  • Masikitiko
Reactions: Pep
Inaumiza Sana , Kama mpaka maisha ya Watu tunayawekea siasa. Wanadamu tukumbuke kuwa hakuna kidumucho hapa duniani. Imeniumiza Sana comment yake kwa kuwa NIMETOKA kusoma taarifa ya ajali ya ISAMILO.
Amejibu kisiasa. Anapenda siasa
 
Jukumu la kwanza la usalama ni wewe Abiria unatakiwa kulichukua .

Kuna wakati nilisafiri kutoka dodoma kuja Dar abiria mwema akapiga simu polisi chalinze kuwa dereva anaendesha Mwendo kasi pasipo tahadhari polisi wakasimamisha basi likaenda kituoni , abiria wote walimtetea dreva yule abiria akaonekana hana hoja basi likaruhusiwa.

Mimi mwenye nilimuamuru dereva aendeshe basi kwa tahadhari tukitokea Mwanza kuja Dar nikidai haki yangu ya kuendeshwa kwa kufuata sheria za barabarani baada ya dereva kutaka kutuangusha Ilibidi basi lisimame abiria wakamtetea dereva.
 
Jukumu la kwanza la usalama ni wewe Abiria unatakiwa kulichukua .

Kuna wakati nilisafiri kutoka dodoma kuja Dar abiria mwema akapiga simu polisi chalinze kuwa dereva anaendesha Mwendo kasi pasipo tahadhari polisi wakasimamisha basi likaenda kituoni , abiria wote walimtetea dreva yule abiria akaonekana hana hoja basi likaruhusiwa.

Mimi mwenye nilimuamuru dereva aendeshe basi kwa tahadhari tukitokea Mwanza kuja Dar nikidai haki yangu ya kuendeshwa kwa kufuata sheria za barabarani baada ya dereva kutaka kutuangusha Ilibidi basi lisimame abiria wakamtetea dereva.
Ni kweli usemacho lakini kuna watu wenye dhamana hiyo pia. Wewe uliweza sio kila abiria anaweza ndio maana kuna vyombo vya kusimamia
 
Inaumiza Sana , Kama mpaka maisha ya Watu tunayawekea siasa. Wanadamu tukumbuke kuwa hakuna kidumucho hapa duniani. Imeniumiza Sana comment yake kwa kuwa NIMETOKA kusoma taarifa ya ajali ya ISAMILO.
Ya Isamilo ni moja ua taarifa nyingi zinazotokea kila siku
 
Kwani waziri ni dereva wa hayo magari yanayopata ajali?
Nimeitafakari hii comment....Napata wakat mgumu kujua ww ni boga kiasi gani!

Ajali zimeongezeka , hakuna utekelezaji toka kwa IGP na waziri, Juzi nikuwa nasafiri kuelekea dodoma nkitokea dar nilikuwa kwenye ya speed 100+ na gari ambayo iko na uwezo kidgo...Cha kushangaza kuna bus lilini-overtake ( sitolitaja hilo bus) kwa speed kali yani...

ni zile overtake mpka unabaki unashangaaa unabakia kucurse tu Maninaaaaa....!!

wakati hui ikumbukwe halitakiwa kuzid speed 90/80

WAKATI WA CHUMA AJALI ZILIPUNGUA SANA KWASABABU VIONGOZI WALIOGOPA KUTUMBULIWA SASA HIVI IMEKUWA ........FUNGULIA MBWA KILA MTU OYA OYA TU.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Habari za asubuhi wana Jamii Forume

Kwa maslahi ya taifa naona tujadili hili swala. Naona halizungumzwi mahali popote ukiachilia matatizo mengi tuliyonayo kama taifa kwa sasa.

Kumezuka tatizo la ajali za kila mahala takribani ajali 4-5 kwa siku zinaripotiwa kwenye mitandao ya kijamii zikihusisha vyombo vya usafiri wa abiria kama Mabasi yaendayo mikoani.

Pamoja na kuwa usafiri na usimamizi wake uko chini ya Wizara ya mambo ndani hatuoni hatua yoyote inayochukuliwa na Waziri mwenye dhamana Mh Simbachawene. Sio tu kuchukua hatua bali hata kulizungumzia tu yuko kimya.

Kwa maono yangu na jinsi navyoona ripoti hizi naweza kusema baada ya vifo vya corona Ajali tanzania inashika namba mbili.

Tusifanya siasa kwenye maisha ya watu. Mh Rais anakopa pesa kila siku zije nchini kusaidia watanzania sasa kama watanzania wanateketea kwa ajli kila siku huku wengi wakiachwa na ulemavu wa kudumu itakuwa haina maana.

Utendaji wa Mh Simbachaweni uko chini ya kiwango kuliko hata wa Kangi Lugola.
Hiyo nayo yaweza kuwa fursa Kwa wengine ndio maana hali inaachwa Ili fursa iongezeke, huenda wapo wanawekeza mahosplitali pembezoni mean Barbara ili wapate wateja wakutosha, au kampuni za bima🚣.
 
Habari za asubuhi wana Jamii Forume

Kwa maslahi ya taifa naona tujadili hili swala. Naona halizungumzwi mahali popote ukiachilia matatizo mengi tuliyonayo kama taifa kwa sasa.

Kumezuka tatizo la ajali za kila mahala takribani ajali 4-5 kwa siku zinaripotiwa kwenye mitandao ya kijamii zikihusisha vyombo vya usafiri wa abiria kama Mabasi yaendayo mikoani.

Pamoja na kuwa usafiri na usimamizi wake uko chini ya Wizara ya mambo ndani hatuoni hatua yoyote inayochukuliwa na Waziri mwenye dhamana Mh Simbachawene. Sio tu kuchukua hatua bali hata kulizungumzia tu yuko kimya.

Kwa maono yangu na jinsi navyoona ripoti hizi naweza kusema baada ya vifo vya corona Ajali tanzania inashika namba mbili.

Tusifanya siasa kwenye maisha ya watu. Mh Rais anakopa pesa kila siku zije nchini kusaidia watanzania sasa kama watanzania wanateketea kwa ajli kila siku huku wengi wakiachwa na ulemavu wa kudumu itakuwa haina maana.

Utendaji wa Mh Simbachaweni uko chini ya kiwango kuliko hata wa Kangi Lugola.
Madereva wavute bangi na kunywa nyagi lawama apewe Waziri
 
Watu wanaosoma vyo huria ni watu w akuunga unga elimu sana. Huwa hata haziwabadilishi.
Kama kaanzia kwenye utingo elimu lazima iwe ya kuunga unga, tena ile tu basi acha amalize......na kama kasoma kipindi ameshaukwaa uheshimiwa basi hakuna msomi hapo, ni garasa tu...
 
Usalama wako unaanza na wewe mwenyewe! Ajali nyingi ni speed kubwa
Hapa huwa kuna tatizo la abria kutetea madreva wakikaamatwa!
 
Back
Top Bottom