Waziri Simbachawene: Matumizi ya dawa za kulevya yamekuwa 'fashion'

Waziri Simbachawene: Matumizi ya dawa za kulevya yamekuwa 'fashion'

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera na Uratibu, George Simbachawene amesema kwa sasa, si ajabu kukuta pengine matumizi ya Dawa hizo yanafanywa hata na watu wenye nafasi kubwa, akieleza "Hali hii iliendelea tutakuwa na Taifa gani kesho?"

Akiwa Bungeni, Simbachawene amesema ameamua kuzima ukimya kwasababu anafahamu hali hiyo kwa kiasi fulani na hali sio nzuri akisisitiza, "Imekuwa kama 'Fashion' na unakuta matumizi haya yanafanywa zaidi ya Watoto wa Kike kuliko wa Kiume"
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera na Uratibu, George Simbachawene amesema kwa sasa, si ajabu kukuta pengine matumizi ya Dawa hizo yanafanywa hata na watu wenye nafasi kubwa, akieleza "Hali hii iliendelea tutakuwa na Taifa gani kesho?"

Akiwa Bungeni, Simbachawene amesema ameamua kuzima ukimya kwasababu anafahamu hali hiyo kwa kiasi fulani na hali sio nzuri akisisitiza, "Imekuwa kama 'Fashion' na unakuta matumizi haya yanafanywa zaidi ya Watoto wa Kike kuliko wa Kiume"
Wadada lazma watumie maana kwa hii biashara yao ya kuuza mbususu, unakutana na mitibwa sugar ya kila aina na unafanywa mambo ambayo kwa kweli inabidi tuu utumie dawa hizo iliweze kufanya
 
Hata wafuasi wake wamemchoka mapema sana sahivi wameamua kutwambia ukweli watanzania. Mungu ni mkubwa sana na awasimamie waendelee kutwambia ukweli ulivyo wa hii serikali ya hovyo ya matapeli wa mjini
 
Najua tuu hapo anaizungumzia bangi, aka msuba , cha Arusha , cha tarime, cha Ukucha ,marijane ,kush , bangi ni moja ya psychedelics inakupa utambuzi wa mambo KWA kina na KWA upana , unajifanya uweze kupambanua mambo KWA Mapana zaidi , inakupa confidence na mambo mengine mengi kama kumtongoza mama mkwe , au kumwona mshua ni fala.

Bangi na uheshimiwe .. Dabiliyuu Hechiooo siyo wajinga kuitoa kwenye kundi la madawa yasiyolevya.
 
Hata wafuasi wake wamemchoka mapema sana sahivi wameamua kutwambia ukweli watanzania. Mungu ni mkubwa sana na awasimamie waendelee kutwambia ukweli ulivyo wa hii serikali ya hovyo ya matapeli wa mjini
Kwani watumiaji wameanza leo
Mbona kuna marubani, wataalam wa it,wahandis, ehh ashakuwa mtu anamiliki kiwanda cha kutengeneza madawa ya binadam
Na wote hao wanatumia madawa
Hii dunia mzee kna mambo yaliikuwepo na yataendelea kuwepo
Kwenye mfumo huu wa dunia

Ova
 
Ndio kwanza wauzaji wanaachiwa waje kuteketeza nguvu kazi ya taifa.
Kwani wauzaji wakikamatwa ndy biashara itakufa
Alikamatwa Pablo,elchapo nk biashara ilikufa
Kuna mambo tayar yako kwenye mfumo wa kidunia
Kikubwa,zakuambiwa changanya na zako

Ova
 
Sasa hivi ni kati ya wafuasi wa
Magufuli Vs wafuasi wa mama,mpaka rangi za chupi wanazopendelea kuvaa zitajulikana.
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera na Uratibu, George Simbachawene amesema kwa sasa, si ajabu kukuta pengine matumizi ya Dawa hizo yanafanywa hata na watu wenye nafasi kubwa, akieleza "Hali hii iliendelea tutakuwa na Taifa gani kesho?"

Akiwa Bungeni, Simbachawene amesema ameamua kuzima ukimya kwasababu anafahamu hali hiyo kwa kiasi fulani na hali sio nzuri akisisitiza, "Imekuwa kama 'Fashion' na unakuta matumizi haya yanafanywa zaidi ya Watoto wa Kike kuliko wa Kiume"
Madawa ya kulevya ni mengi, waziri afafanue zaidi ni madawa yapi yanatumiwa hasa na watoto wa kike .
 
Ngoj tuendelee shuhudia mtanange!?
 
Kwani wauzaji wakikamatwa ndy biashara itakufa
Alikamatwa Pablo,elchapo nk biashara ilikufa
Kuna mambo tayar yako kwenye mfumo wa kidunia
Kikubwa,zakuambiwa changanya na zako

Ova
Hebu soma tena ulichoandika.
 
Kwani watumiaji wameanza leo
Mbona kuna marubani, wataalam wa it,wahandis, ehh ashakuwa mtu anamiliki kiwanda cha kutengeneza madawa ya binadam
Na wote hao wanatumia madawa
Hii dunia mzee kna mambo yaliikuwepo na yataendelea kuwepo
Kwenye mfumo huu wa dunia

Ova
Hakuna anayebisha kuhusu hilo, sie tunaloliongelea hapa ni kwamba serikali hii haitaki kusikia watu wakiujua ukweli wa mambo ulivyo kwa sahivi ili tusije kuwakosoa na kuwaona wanafeli kadri siku zinavyosonga.

Na ndio maana tunawaombea kwa Mungu wasaidizi wake waukatae utumwa na wauseme ukweli ili wananchi tuendelee kuweka mizania sawa.
 
Huyo ni waziri wa mambo ya ndani anaongea hivyo aisee ni kweli imekuwa tangu lile jahazi la kina Nape,Riz na Jmakamba likamatwe na tani 1 then ikaonekana limebeba ngano tangu hapo unga umekuwa fashoon.
 
si ajabu kukuta pengine matumizi ya Dawa hizo yanafanywa hata na watu wenye nafasi kubwa, akieleza "Hali hii iliendelea tutakuwa na Taifa gani kesho?"
Ndio ilivyo hivyo hao ndio wateja wakubwa,
Hawa mateja ya kuokota chupa wanajiingiza tu
 
Back
Top Bottom