Wadada lazma watumie maana kwa hii biashara yao ya kuuza mbususu, unakutana na mitibwa sugar ya kila aina na unafanywa mambo ambayo kwa kweli inabidi tuu utumie dawa hizo iliweze kufanyaWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera na Uratibu, George Simbachawene amesema kwa sasa, si ajabu kukuta pengine matumizi ya Dawa hizo yanafanywa hata na watu wenye nafasi kubwa, akieleza "Hali hii iliendelea tutakuwa na Taifa gani kesho?"
Akiwa Bungeni, Simbachawene amesema ameamua kuzima ukimya kwasababu anafahamu hali hiyo kwa kiasi fulani na hali sio nzuri akisisitiza, "Imekuwa kama 'Fashion' na unakuta matumizi haya yanafanywa zaidi ya Watoto wa Kike kuliko wa Kiume"
Kwani watumiaji wameanza leoHata wafuasi wake wamemchoka mapema sana sahivi wameamua kutwambia ukweli watanzania. Mungu ni mkubwa sana na awasimamie waendelee kutwambia ukweli ulivyo wa hii serikali ya hovyo ya matapeli wa mjini
Kwani wauzaji wakikamatwa ndy biashara itakufaNdio kwanza wauzaji wanaachiwa waje kuteketeza nguvu kazi ya taifa.
Madawa ya kulevya ni mengi, waziri afafanue zaidi ni madawa yapi yanatumiwa hasa na watoto wa kike .Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera na Uratibu, George Simbachawene amesema kwa sasa, si ajabu kukuta pengine matumizi ya Dawa hizo yanafanywa hata na watu wenye nafasi kubwa, akieleza "Hali hii iliendelea tutakuwa na Taifa gani kesho?"
Akiwa Bungeni, Simbachawene amesema ameamua kuzima ukimya kwasababu anafahamu hali hiyo kwa kiasi fulani na hali sio nzuri akisisitiza, "Imekuwa kama 'Fashion' na unakuta matumizi haya yanafanywa zaidi ya Watoto wa Kike kuliko wa Kiume"
Hebu soma tena ulichoandika.Kwani wauzaji wakikamatwa ndy biashara itakufa
Alikamatwa Pablo,elchapo nk biashara ilikufa
Kuna mambo tayar yako kwenye mfumo wa kidunia
Kikubwa,zakuambiwa changanya na zako
Ova
Hakuna anayebisha kuhusu hilo, sie tunaloliongelea hapa ni kwamba serikali hii haitaki kusikia watu wakiujua ukweli wa mambo ulivyo kwa sahivi ili tusije kuwakosoa na kuwaona wanafeli kadri siku zinavyosonga.Kwani watumiaji wameanza leo
Mbona kuna marubani, wataalam wa it,wahandis, ehh ashakuwa mtu anamiliki kiwanda cha kutengeneza madawa ya binadam
Na wote hao wanatumia madawa
Hii dunia mzee kna mambo yaliikuwepo na yataendelea kuwepo
Kwenye mfumo huu wa dunia
Ova
Hapo sasa !!Ndio kwanza wauzaji wanaachiwa waje kuteketeza nguvu kazi ya taifa.
Hatari !! Anasema yapo kwenye mfumo wa dunia kwahiyo yaachiwe tu !! Ama kweli Akili za kuambiwa changanya na zako !!Hebu soma tena ulichoandika.
Hisia zimezidi akili.Hatari !! Anasema yapo kwenye mfumo wa dunia kwahiyo yaachiwe tu !! Ama kweli Akili za kuambiwa changanya na zako !!
Ndio ilivyo hivyo hao ndio wateja wakubwa,si ajabu kukuta pengine matumizi ya Dawa hizo yanafanywa hata na watu wenye nafasi kubwa, akieleza "Hali hii iliendelea tutakuwa na Taifa gani kesho?"