pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Labda anamaanisha shisha.Madawa ya kulevya ni mengi, waziri afafanue zaidi ni madawa yapi yanatumiwa hasa na watoto wa kike .
Wacha wawauzie tu , maana wanataka waoBiashara ya madawa ya kulevya Imewakwamua vijana na kuwaangamiza nasijui kwanini wanaohusika na uuzaji ni Waarab ila Jumba bovu linawaangukia watu wausi.
Magenge yote yako kazini sasa!Hata wafuasi wake wamemchoka mapema sana sahivi wameamua kutwambia ukweli watanzania. Mungu ni mkubwa sana na awasimamie waendelee kutwambia ukweli ulivyo wa hii serikali ya hovyo ya matapeli wa mjini
Umesema ukweli, ni mnafiki kiwango cha sgr!Si alikuwa waziri wa mambo ndani majuzi tu? Mbona hakupambana nao?
Unafiki huu hadi lini? Si bora angekaa kimya tu kuficha udhaifu wake?
Simbachawene sio waziri wa mambo ya ndani wewe unaishi wapi?? [emoji38][emoji38]Huyo ni waziri wa mambo ya ndani anaongea hivyo aisee ni kweli imekuwa tangu lile jahazi la kina Nape,Riz na Jmakamba likamatwe na tani 1 then ikaonekana limebeba ngano tangu hapo unga umekuwa fashoon.