Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi unapimaje kejeliiAtakamata wote! Ataanza na wewe kwa kuwa wewe ni mmoja wa vinara wa kumkejeli raisi.
Tena Gwajima anafikia mpaka hatua ya kukataa kukalia vitiKwanini ahangaike kutafuta wa mitandaoni wakati wapo kina Polepole na Gwajima wanaomchafua na kumpinga hadharani.
Kondakta George Simbachawene
Anza na Humphrey Polepole
Tunarudi kulekule, raisi anapaswa kuhangaika kukuza uchumi.na sio kuhangaika na wanaomkosoaKwanini ahangaike kutafuta wa mitandaoni wakati wapo kina Polepole na Gwajima wanaomchafua rais na kumpinga hadharani.
Kondakita alie tumia cheti cha udereva wa veta kusomea sheria open. Baada ya kuukwaa ubunge[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kondakta George Simbachawene
Anza na Humphrey Polepole
Gwajiboy mmeshamkamata?Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.
Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.
View attachment 1940215
Rais Samia Suluhu akiwa na Waziri Simbachawene.
Bora nikae kimya mtaniNgoja tujisajili na nida humu jf