Waziri Simbachawene: Wanaomchafua Rais Samia mitandaoni watafutwe na kufikishwa Mahakamani

Waziri Simbachawene: Wanaomchafua Rais Samia mitandaoni watafutwe na kufikishwa Mahakamani

Kama una weza kumuambia mama yako hivo basi sawa. Ila ile hotuba nadhani watu hawakusikiliza vizuri kupata context, na vyombo vya habari vili potosha. Simtetei mama ila tue na heshima na tujibishane kwa hoja na kuheshimiana.
Pumbavu nimuheshimu kwani mama yangu huyo! Yeye ni mtumishi kama wengine akituzingua naye atazinguliwa! Halafu wewe ndiye unajipotosha wengine tumemsikia live!
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.

Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.

Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.

View attachment 1940567
Simba apunguze kudemka
 
Anzeni na komredi polepole ana kipindi cha kumbagaza mama yetu
 
Simbachawene ni mfano wa viongozi wabovu tulionao.
Kwa nini hajamkamata mch.Gwajima ambaye ushahidi upo wazi,na bunge lilisema afikishwe kwenye vyombo vya dola?.
Why Tanzania!!??...
 
Kwa hiyo chuichawene anatafuta kukamata wakosoaji wa mama huku mitandaoni, kama ndo kazi ya waziri wa mambo ya ndani hiyo bado tuna safari ndefu sana kama wadanganyika.......
 
do they have that manpower and resources kama magereza, au ni ile kutaka kuonekana tu?
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.

Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.

Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.

View attachment 1940567
Hangaya hangaya ×500
 
wanaomtetea hachafuliwi bali wananchi hawamtaki maana hakuna cha maana anachokifanya zaidi tu tunasikia leo yupo hapa kesho kule ....tulisema mapema hana uwezo huyo wa kuliongoza taifa hili nadhani wananchi wamechachamaa wanataka uchaguzi ufanyike hata leo wampige chini kwa nguvu zote
 
Kwa sababu ni lady, na mpole wanamtusi ee!!!. Ila wabongo huwajui wanamtaka rais mwenye vigezo ganoooo. Wakati wa kikwete ivyo ivyo, wakati wa magu ivyoivyo, kwa mama ivyoivyo. Labda muwachiwe ninyi muiongoze nchi.


Wakamatwe maramoja waswekwe ndani.
 
Back
Top Bottom