Pumbavu nimuheshimu kwani mama yangu huyo! Yeye ni mtumishi kama wengine akituzingua naye atazinguliwa! Halafu wewe ndiye unajipotosha wengine tumemsikia live!Kama una weza kumuambia mama yako hivo basi sawa. Ila ile hotuba nadhani watu hawakusikiliza vizuri kupata context, na vyombo vya habari vili potosha. Simtetei mama ila tue na heshima na tujibishane kwa hoja na kuheshimiana.
Simba apunguze kudemkaWaziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.
Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.
View attachment 1940567
Fikiria huu ni mwaka 2021 lakini Samia anawaza urais 2025,Leo rugemarila aliyekula pesa za escrow kaachiwa, alafu hapohapo mnataka kukamata wanaomkosoa raisj. Aisee nchi ngumu sana hii
Samia hana skills za kukuza uchumiTunarudi kulekule, raisi anapaswa kuhangaika kukuza uchumi.na sio kuhangaika na wanaomkosoa
Aanze na SiroKondakta George Simbachawene
Anza na Humphrey Polepole
Hangaya hangaya ×500Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. George Simbachawene, ameelekeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini kuwatafuta watu wote wanaowachafua wenzao mitandaoni hasa wanaomdhihaki Rais wa Tanzania na Serikali na hatua kali zifuatwe na kuwafikisha mahakamani kwa haraka.
Waziri Simbachawene ameyasema hayo mapema leo Alhamisi Jijini Dodoma wakati akizungumza na viongozi wa idara zote za ulinzi na usalama nchini ambapo ameelekeza kufanyike msako wa haraka kuwabaini watu hao na kuwakamata kwakua kumeibuka tabia ya watu kutumia vibaya mitandaoni hiyo kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameagiza msako wa wezi mitandaoni kwa kuwa inakadiriwa kuwa kwa siku milioni 500 zinakua kwenye wizi wa kimatandao huku akikataza wananchi kutoa fedha kwa ajili yakufuatilia polisi taarifa za simu zao zilizoibiwa.
View attachment 1940567
Wakati JPM anatukanwa mlikuwa mnachekelea tu! Hata huyo mama mashungi hakuwahi kukemea huu upuuzi ngoja wakusute utakubali tu!Kutukana, kukejeli na matusi sio sawa, pinga kwa hoja, hili halina itikadi chama wala dini!
Hata mkumtukana JPM ni makosa makubwa sana, nadhani matusi sio sehemu ya kujifunza,Wakati JPM anatukanwa mlikuwa mnachekelea tu! Hata huyo mama mashungi hakuwahi kukemea huu upuuzi ngoja wakusute utakubali tu!