butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Unataka afe mapema,anaziweza street hustles!Huyu mzee ni mjinga sn, kwanini yeye asijihuzulu arudi huku tufanye kazi tena yeye tayari ana mtaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka afe mapema,anaziweza street hustles!Huyu mzee ni mjinga sn, kwanini yeye asijihuzulu arudi huku tufanye kazi tena yeye tayari ana mtaji?
Kweli mkuu nashukuru Mungu sina pesa za ujazo Ila na vipesa ambavyo vinanilinda dhidi ya maisha magumu sitesekiMkuu tafuta pesa hakuna maisha magumu
Una uhakika kazi za kufanya hakuna?Kazi zenyewe za kufanya ziko wapi?.Kama Kuna rafiki yake humu,amwambie kuwa cha Arusha ni kikali asitumie sana!
Amelewa??Boniface Simbachawene amewachana live watu waache visingizio na watafute pesa kwa kufanya kazi zaidi kwani maisha sio magumu Bali mahitaji ya pesa yameongezeka.
My Take
Watu waambiwe ukweli hakuna kupakwa mafuta Kwa mgongo wa chupa.😂😂
=====
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene amewataka wananchi kufanya kazi kwa bidii ili kujiingizia kipato cha kuweza kumudu gharama za maisha.
Amesema ni wajibu wa kila mmoja kwa nafasi yake kufanya kazi kwa bidii ili aweze kupata fedha za kumuwezesha kumudu huduma muhimu katika jamii.
Mhe. Simbachawene ametoa wito huo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbuga iliyopo katika Jimbo la Kibakwe, Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, ikiwa ni ziara yake ya kikazi ya kuzungumza na kusikiliza changamoto zinazowakabili wananchi wa jimbo lake.
"Ukiwa huna fedha ikitokea umeumwa, utashindwa kupata matibabu na kuweza kuhatarisha uhai wako, hivyo ni bora kila mmoja wetu akahakikisha anafanya kazi ili apate fedha za kumudu mahitaji muhimu," amesema Waziri Simbachawene.
Amesema kila mwananchi kwa nafasi yake ni muhimu akahakikisha anajikita katika kuzalisha mali ili aweze kupata fedha.
Amefafanua kuwa hakuna maisha magumu kama inavyodaiwa na watu wengi isipokuwa mahitaji ya fedha yameongezeka kutokana na kukua kwa maendeleo.
Kufuatia hatua hiyo, Mhe. Simbachawene amewataka wananchi hao kuacha tabia ya kukaa bila kufanya kazi badala yake waitumie ardhi yenye rutuba waliyojaaliwa kuwa nayo kwa ajili ya shughuli za kilimo ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Chanzo: EA Radio
Kwa hiyo wote wenye pesa ni Mawaziri?Acha uwaziri kama maisha ni rahisi. Nimeamini wajinga ni wengi katika baraza la cuba.
Mafundi nguo leo wamekaaa doroHaya nina ofisi ya welding na mgao huu wa umeme na hapo hapo kila wiki linatakiwa rejesho benki..nafanyeje kazi??
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Yeye Simbachawene hapo alipo hayuko tayari kutoka kwenye ajira wakati tayari ana mtaji, lakini anashauri wengine wakafanye kazi kana kwamba wamekataa.Mkuu tafuta pesa hakuna maisha magumu
Ardhi IPO mvua au irrigation Iko watu tulimeBoniface Simbachawene amewachana live watu waache visingizio na watafute pesa kwa kufanya kazi zaidi kwani maisha sio magumu Bali mahitaji ya pesa yameongezeka.
My Take
Watu waambiwe ukweli hakuna kupakwa mafuta Kwa mgongo wa chupa.😂😂
=====
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene amewataka wananchi kufanya kazi kwa bidii ili kujiingizia kipato cha kuweza kumudu gharama za maisha.
Amesema ni wajibu wa kila mmoja kwa nafasi yake kufanya kazi kwa bidii ili aweze kupata fedha za kumuwezesha kumudu huduma muhimu katika jamii.
Mhe. Simbachawene ametoa wito huo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbuga iliyopo katika Jimbo la Kibakwe, Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, ikiwa ni ziara yake ya kikazi ya kuzungumza na kusikiliza changamoto zinazowakabili wananchi wa jimbo lake.
"Ukiwa huna fedha ikitokea umeumwa, utashindwa kupata matibabu na kuweza kuhatarisha uhai wako, hivyo ni bora kila mmoja wetu akahakikisha anafanya kazi ili apate fedha za kumudu mahitaji muhimu," amesema Waziri Simbachawene.
Amesema kila mwananchi kwa nafasi yake ni muhimu akahakikisha anajikita katika kuzalisha mali ili aweze kupata fedha.
Amefafanua kuwa hakuna maisha magumu kama inavyodaiwa na watu wengi isipokuwa mahitaji ya fedha yameongezeka kutokana na kukua kwa maendeleo.
Kufuatia hatua hiyo, Mhe. Simbachawene amewataka wananchi hao kuacha tabia ya kukaa bila kufanya kazi badala yake waitumie ardhi yenye rutuba waliyojaaliwa kuwa nayo kwa ajili ya shughuli za kilimo ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Chanzo: EA Radio
Wanamaisha Kama ya huyo mdemaji a.k.a mvimbiwa tumbo.Bodaboda sio kazi