Waziri Simbachawene: Watanzania fanyeni kazi na mtafute pesa. Maisha sio Magumu

Acha uwaziri kama maisha ni rahisi. Nimeamini wajinga ni wengi katika baraza la cuba.
 
Amelewa??
 
Yeye anafanya kazi gani ?!!!

Yeye angefanya kazi yake vema tunayomlipa kwa Kodi zetu yeye na wenzake wangekuja na Sera za watu kupata Ujira kwa kufanya shughuli na hivyo wanachopata (income) kingeendana na matumizi kuongezeka....

Hivi yeye anadhani amekaa hapo ili afanye kitu gani ? Kuleta hizi Porojo ?
 
Kazi nyingi zinategemea umeme wa uhakika mfano vinyozi unawakatia umeme kwa masaa 12 wafanyeje kazi ndugu Waziri?
 
Ye kawekeza sana kwenye mabar
Hongera zake

Ova
 
Sa100 amefanya mawaziri wake wote wameshiba hadi wamevimbiwa...ni mwendo wa kuja..mba tu ptuu ptuu ptuuuuuu.
 
Ardhi IPO mvua au irrigation Iko watu tulime
 
Simbachawene Ni mjinga snaa waziri asiyetambua changamoto zinazo wakabili vijan umeme hkn unategemea nn kwa wafetua tofali na welding ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…