Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

Nenda youtube kaone mwenyewe.
Kingereza kizuri tu na huyo anayeongea nae ni mchina ambaye pia kingereza sio lugha yake ya kwanza.

Vijana wa CHADEMA mnatafuta kwa nguvu kubwa hoja hasi za kuiponda serikali na mawaziri kitu ambacho mnapaswa kuachana nacho mpaka kufikia muda huu.

Mlipaswa kuja na mikakati ya kisiasa yenye kuendana na wakati tuliopo.
 
Kwani kiingereza ni intelligence ya mtu au ni lugha tu kama kiswahili, mbona wa Japan wengi hawajui kiingereza..........hizo ndo comment za watanzania walio shindwa kumudu lugha ya kiinaereza.
Tunao ushamba wa kuona muongea kingereza ndio mfalme kwenye maisha yetu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Watanzania jmn hadi uzi mmeanzisha
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Kipindi nasoma advance mkuranga bwana ulega alikuja shuleni kwetu kutuhonga buku buku alizozichenjisha ili tumpigie kura! Najuta nilikula hela yake na sikuenda kumpigia kura
 
  • Kicheko
Reactions: 7ve
Hoja yake ni muendelezo ule ule wa utumwa wa lugha ya mkoloni aliyetutawala. Umeshawahi kumsikia Rais wa China akiongea kingereza hadharani?, lakini dunia nzima inamheshimu kwa namna alivyoweza kuliweka juu taifa lake.
Utumwa haukwepeki as long as mmeamua kuweka viongozi wasio na uwezo.
Kutegemea na kupokea misaada ni utumwa kuliko hata kutumia lugha ya kiingereza.
 
Utumwa haukwepeki as long as mmeamua kuweka viongozi wasio na uwezo.
Kutegemea na kupokea misaada ni utumwa kuliko hata kutumia lugha ya kiingereza.
Misaada ilianza kupokelewa tangu awamu ya kwanza ukiamua kuwaponda viongozi kwa kigezo cha kupokea misaada maana yake uwe tayari kuwaponda wote kuanzia Nyerere mpaka Samia.

Kingereza ni lugha tu kama kimakua au kishubi, ni umaskini wa fikra kumpima mtu kwa kigezo cha lugha ya kikoloni wakati tunazo lugha nyingi tu za asili.
 
Viongozi wetu +wakandarasi + media = political mileage.

Ila wananchi wakielewa kinachokuwaga hapo katikati wangepuuziaga tu hizi mambo....
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Lugha ya majahazi ni tatizo Sana..muhimu kaeleweka
 
Kaongea vizuri tu mbona ?? Kiko sawa sawa...
You have our money ndo kuongea vizuri?😅😅😅

We are not shamba la bibi
We are not aaaaaaa, shamba la bibi kwa kiingereza ni nini?🤣🤣🤣

Huyo Waziri hapo kaongea kama mtoto wa kindergarten anayeanza kujifunza kiingereza. Anavutaaaa maneno, anakosea maneno wakati yupo kwenye issue serious. No wonder huyo mchina alianza kumcheka🤣🤣🤣
 
Lugha ya majahazi ni tatizo Sana..muhimu kaeleweka
Ndo mana mchina mwenyewe akaanza kutoa kichezo hadi Waziri anamind jamaa anacheka.

Hivi tumekosa kabisa watu hapo bongo hadi tunakuwa na mawaziri wa namna hiyo?
 
Misaada ilianza kupokelewa tangu awamu ya kwanza ukiamua kuwaponda viongozi kwa kigezo cha kupokea misaada maana yake uwe tayari kuwaponda wote kuanzia Nyerere mpaka Samia.

Kingereza ni lugha tu kama kimakua au kishubi, ni umaskini wa fikra kumpima mtu kwa kigezo cha lugha ya kikoloni wakati tunazo lugha nyingi tu za asili.
Kwa nini asingeenda na mkalimani akaongea tu kiswahili mkalimani akatafsiri.

Hiyo ni lugha ya biashara. Waziri ni mtu mkubwa sana anapaswa kuwa mtu anayefahamu kuzungumza hiyo lugha kwa ufasaha sio anaenda kuvuta maneno kama mtoto wa kindergarten anayejifunza kuongea kiingereza.
 
Duuu, ni broken kweli kweli!! 😅😅 Lack of proper vocabularies in context concern!!

Mwenyewe anaona katema, ameshuka YAI 😅😅😂😂😂🤣🤣🤣🔥🔥🔥
 
Sasa mzee wetu, hicho ndio kingereza chetu cha bongo,,, tatizo umebeba ublitish mwingi kwakumpima kigezo uwaziri, wakati huyo waziri ni mtu kama wew,,, pongezi nyingi kwake swala la kingereza sio lugha yetu ila mbwembwe tu zakujipendekeza kwenye mataifa ya watu
 
Misaada ilianza kupokelewa tangu awamu ya kwanza ukiamua kuwaponda viongozi kwa kigezo cha kupokea misaada maana yake uwe tayari kuwaponda wote kuanzia Nyerere mpaka Samia.

Kingereza ni lugha tu kama kimakua au kishubi, ni umaskini wa fikra kumpima mtu kwa kigezo cha lugha ya kikoloni wakati tunazo lugha nyingi tu za asili.
Tukienda kupatana kuhusu mikataba, tunatumia kiswahili na kuwa na mkalimani!!?
Tukienda kuomba China, pamoja na muwakilishi wa China kutumia kichina, sisi huwa tunatumia kiswahili na kuwa na mkalimani wa kuwatafasiria Wachina!!??
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Watanzania jmn hadi uzi mmeanzisha
We unaona sawa Waziri kuvuta maneno kama mtoto wa kindergarten anayejifunza kuongea?
Hadi mchina wawatu akaanza kumcheka. Si angeenda tu na mkalimani?
 
Back
Top Bottom