Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

aibu nimeona mimi
halafu humu kumejaa wenzake wanamtetea...
 
Kwani kiingereza ni intelligence ya mtu au ni lugha tu kama kiswahili, mbona wa Japan wengi hawajui kiingereza..........hizo ndo comment za watanzania walio shindwa kumudu lugha ya kiinaereza.
Shida kuforce. Angetumia mkalimani kama Wachina wanavyofanya wakiwa kwao angepungukiwa nini?
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Asimamishwe na kufutwa kazi tu, haya ndiyo madhara ya uchawi kazini......mtu hajuwi akifanyacho lakini anapewa kazi na kupoteza muda.
 
Aliyemteua hajui kitu chochote, hivyo akisikia hiki kiingereza cha ugoko cha Ulega anasikia kama ni cha Bill Clinton . Huyu mama ni laana kwa taifa.
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
I see.

It's obvious that his English is not fluent as its not his first language.

However, Mr Ulega should have called his victims for a meeting behind the scene instead of deciding to create a circus somewhere in Dar-es-Salaam.

One problem to note though, finger pointing, shouting and showing aggressive behaviour towards people regardless of their positions in the societal culture are typical aspects of lacking leaderships skills.
 
Kaeleweka kwako. Kwa mchina kaonekana kama Comedian ndo mana mchina wawatu alianza kucheka.
Tatizo una mentality ya kimaskini ndio maana unatukuza lugha za wengine.

Huyo mchina nina uhakika angeongea kingereza kingekuwa kibovu kuliko cha ulega.
 
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Akimaliza hapo anapewa posho yake, Wachina wanatucheka Sana. Hapo kuna jamaa anaitwa Mr Wei Ndio business manager Ndio anayefanya Mambo.

Hao mainjinia ni wala rushwa Tu. Namuona Injinia Nanihii Hapo, aulizwe kuhusu zege ubora wake, anyway wacha niiishie hapa
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Kwani lazima singer kiingereza?
 
Kuna watu ukiwaangalia tu usoni unajua nini kiko kichwani... Aliwahi kurekodiwa anaongea upuuzi, nashangaa leo ni waziri bado.
Achana naKingereza ,huyu .aliingizwa na Magufuli baada ya kutetea ule uharinifu alikuwa anafanya Magunkwenye ule mfuko wa korosho! Enzi zileee!
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
 
Nimesikiliza Hadi dk ya 3 mbona poa tu! Mlishawahi sikiliza English ya JPm nyie?!🥴
 
Shamba la bibi = grandma's farm
😂😂
We umeona wapi mtu amekasirika eti alafu anasema we are not aaa aaaaaaa



Alafu anauliza shamba la bibi mnasemaje kwa kiingereza?🤣🤣

Hii nchi ina comedy sana. Ndo mana hatupati maendeleo tunayostahili!
 
Kwani kiingereza ni intelligence ya mtu au ni lugha tu kama kiswahili, mbona wa Japan wengi hawajui kiingereza..........hizo ndo comment za watanzania walio shindwa kumudu lugha ya kiinaereza.
Hapa siyo Japan, mfano wa kipuuzi sana huo. Tukubali tu kuwa jamaa kapuyanga frankly speaking yaani karibu ajambe.
 
Achana na Kingereza ,huyu .aliingizwa na Magufuli baada ya kutetea ule uharinifu alikuwa anafanya Magunkwenye ule mfuko wa korosho! Enzi zileee!
Sasa nimeelewa, nilikuwa nawaza ilikuwaje.
 
Wewe mwenyewe unakiweza kingereza au ni wale wale wenye kupenda kucheka lugha za watu?.

Unaweza ukawa unaongea kingereza cha mfalme George wa UK halafu unachunga ng'ombe wa Babu zako kijijini kwenu, unaweza ukawa hujui kingereza vizuri lakini ukawa tajiri mwenye kufanya biashara kubwa za kidunia.
Hapa hatuzungumzii utajiri, topic iliyopo kwenye huu uzi ni Kiingereza. Tusiende nje ya mada, it doesn't take a neuroscientist to know that.
 
Back
Top Bottom