Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

06 March 2025

Tanzania's Finance Minister Mwigulu Nchemba Shares How He Joined the BoT Right After University



View: https://m.youtube.com/watch?v=AQFRdX_dKB8
The 9th Gilman Rutihinda Memorial Lecture: Driving the Shift Towards A Cash-Lite Economy | Bank of Tanzania 2025.

This event honors the legacy of the late Governor Gilman Rutihinda, whose visionary leadership and transformative reforms continue to shape our financial landscape today.

This year’s theme, “Driving the Shift Toward a Cash-Lite Economy: Opportunities for Financial Innovation and Inclusion,” aligns with Government initiatives to promote digital financial services and enhance financial inclusion. The lecture will be officiated by the Hon. Dr. Mwigulu Lameck Nchemba, Minister of Finance, and attended by senior government officials, economic and private sector leaders, and renowned researchers.
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Yuko vizuri
 
Sawa mkuu, wewe umeshatoka kwenye lugha.

Vipi kwenye substance.

Kuna watu wanasema Ulega muongo, haiwezekani serikali itoe hela yote halafu mkandarasi azembee hivyo.

Ama serikali haijatoa pesa zote, ama kama imetoa pesa zote hata kwenye upande wa serikali ufuatiliaji umezembea.

Kuna mtaalamu mmoja niko naye hapa anasema hivi.

Lazima kampuni Class A itumie hela zake.

Lazima ulipaji uende awamu kwa awamu kila awamu ikikamilika malipo yafanywe.

Serikali kama wamelipa hela zote, kwa nini hawakukagua mradi mpaka mwezi mmoja kabla ya mradi kukamilika?

Kwa nini Ulega anaweka drama nyingi wakati angeweza kusema anavunja mkataba kwa kuwa mkandarasi hajatimiza vigezo hivi na vile vya mkataba?

Hapo vipi?

Huoni kwamba kwa kujikita kwenye Kiingereza cha Ulega (bila kujali ni kizuri au kibaya) tunakosa kujadiliana kwenye haya mambo mengine muhimu sana?
Ndiyo shida ya Watanzania tunafikri kuongea Kiingereza kizuri ndio usomi huo. Lakini kwa level yetu ya Kiingereza hicho kinatosha kabisa kufikisha ujumbe. Lengo la mawasiliano ni kufikisha ujumbe, kitu ambacho bwana Ulega amekifanya! Sasa hayo mengine uliyoibua ndiyo ulipaswa iwe hoja ya msingi badala ya kushambulia Kiingereza cha Mh. Ulega!
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Wazungu wakiongea kiswahili vibaya Huwa hatuwacheki,ila sisi tukiongea kingereza vibaya tunachekana,poor mindset. By the way nimesikiliza kuanzia dakika ya kwanza Hadi ya nne sijaona broken English ya kukufanya uanzishe Uzi, waziri kaua ,ni mzuri wa lugha
 
Kiingereza cha Waziri, katika nchi ambayo Kiingereza ni lugha rasmi, si kizuri, huwezi kukitetea.

Na pengine kama hujazoea Kiingereza kizuri, huwezi kuona mapungufu.

So, from the outset Ulega kakosea, aliyemteua Ulega kakosea. Hilo kwangu halina mjadala. Waziri anatakiwa kujua Kiingereza. Akisafiri nje ataongea Kiswahili? Hata kama atatafsiriwa, kama Kiingereza chake cha matata, ataweza kusoma na kuelewa mambo ya nje ya Tanzania? Kutokujua Kiingereza, hata kama kuna watafsiri, kunapunguza efficiency ya mawasiliano.

Hiki Kiingereza angeongea Waziri wa DR Congo, ningeweza kumtetea kuwa nchi yao hawaongei Kiingereza. Lakini kwa nchi ambayo Kiingereza ni lugha rasmi, Kiingereza hiki si kizuri, lakini pia si Kiingereza fulani ambacho hakieleweki Waziri anasema nini.

Sasa hapo tunapaswa kujiuliza swali.

Of course in the perfect world tunatakiwa kuwa na Waziri anayejua Kiingereza vizuri na anayewabana anaotakiwa kuwabana kwa Kiingereza kilichonyooka kabisa.

Lakini je, ukiwa na Waziri kama Ulega mwenye Kiingereza cha kuvuta kwa manati, ungependa afanye nini? Asifanye kazi yake ya kuwabana anaotaka kuwabana mpaka aweze kuongea Kiingereza cha Mfalme Charles kwa lafudhi ya Received Pronunciation ya James Naughtie wa BBC?

Labda vijana wa sasa hamjui habari ya Bunge la Tanzania kuanza kukubali Kiswahili ilianzaje.

Mbunge wa Kinondoni ( nafikiri Kinondoni), Bibi Titi Mohammed, alikuwa bungeni akitaka kuwakilisha watu wake vizuri, akitaka kudai umeme upelekwe Magomeni watu wa Magomeni wafaidi kuwa na taa za umeme.

Lakini Bibi Titi Mohammed, ingawa alikuwa na ari kubwa sana ya kuwasikisha hoja yake hii bungeni, hakuwa msomi, hakujua sana Kiingereza.

Bobi Titi Mohammed akawa na uamuzi mgumu sana. Je, asimame na kudai anachotaka kudai kwa Kiingerwza ambacjo hakijui vizuri na anaweza kuboronga maneno akachekwa na watu? Au akae kimya na kuogopa kuharibu Kiingereza, lakini kwa kukaa kimya hivyo, aiachie nafasi ya kupigania haki za wananchi waliomtuma bungeni?

Bibi Titi Mohammed akaamua kusimama na kuongea kwa Kiingereza hicho hicho cha manati alichokijua.

Hapo ndipo aliposimama na kutoa hotuba iliyopata umaarufu ya "fire in the bottle". Akisema kwamba "We want fire in Magomeni...We want fire in small bottles".

Watu wajawa hawaelewi, anamaanisha nini kwa kusema "We want fire in small the bottles"?

Wakaja kugundua kuwa alikuwa anadai umeme ili watu wa Magomeni wapate taa za umeme, "fire in small bottles" ni zike taa za umeme.

Sasa hapo utamcheka Bibi Titi kuwa alikuwa hajui Kiingereza? Au utamsifia kuwa huyu alikuwa shujaa wa kupigania maslahi ya wananchi waliomtuma, hata pale ambapo hakujua Kiingereza vizuri, alisimama hivyohivyo ili nradi kawakikisha watu wake tu?

Serikali ililiona hili tatizo. Watu wetu wwngi hawajui Kiingerwza, kwa nini tunalazimisha bunge liwe ka Kiingereza?

Wakabadilisha mfumo wakaruhusu wabunge kuongea Kiswahili.

Ulega kaharibu lugha. Hapo siwezi kumtetea.

Vipi kuhusu substance?

Kuna watu wamezungumzia substance ya alichoongea Ulega?

Au tumeishia kucheka lugha tu?
Aisome The Palm Beach , ujumbe kwake. Umenituhumu kwa kuto kuweza/ kujua kingereza Ila kwa namna Fulani siwezi shindwa kuomba umeme kwa kusema "We want fire in small the bottles"? 😊😊

NB.
Ukiwa KIONGOZI hakuna EXCUSES inapo Kubidi kuzungumza kwa lugha ya kingereza Kama hujiwezi ni Bora ukawa A COMMON MAN.
 
Ndiyo shida ya Watanzania tunafikri kuongea Kiingereza kizuri ndio usomi huo. Lakini kwa level yetu ya Kiingereza hicho kinatosha kabisa kufikisha ujumbe. Lengo la mawasiliano ni kufikisha ujumbe, kitu ambacho bwana Ulega amekifanya! Sasa hayo mengine uliyoibua ndiyo ulipaswa iwe hoja ya msingi badala ya kushambulia Kiingereza cha Mh. Ulega!
Mkuu, sawa Mbona kiranga kaelezea vyema Sana TU.

Tusijifiche kwenye kichaka...ni sawa na Mimi niseme THE PICTURE IS DROPPING WITHOUT BECAUSE.. WITHOUT BECAUSE niki maanisha bila sababu..ntakua sahihi kweli 😅
 
Mkuu, sawa Mbona kiranga kaelezea vyema Sana TU.

Tusijifiche kwenye kichaka...ni sawa na Mimi niseme THE PICTURE IS DROPPING WITHOUT BECAUSE.. WITHOUT BECAUSE niki maanisha bila sababu..ntakua sahihi kweli 😅
Kiranga mimi nimemwelewa, hoja wala haikupaswa kujikuta kwenye Kiingereza cha Mh. Ulega!
 
Nimemsikia Waziri anasema "We are not shamba la bibi, shamba la bibi ni nini kwa kizungu ?"😃
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
You know sometimes photocopy together...We are not shamba la bibi ,we have long time relationship.
 
Do you know that according to our contract you left with one month ,, oohhh yes
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Mbona fresh tu. Yeye sio mwingereza. Kazungumza fresh tu.
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana [emoji28]. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Cha ajabu nini hapo? Yeye ni Mtanzania na lugha yake mama ni Kiswahili. Kiingereza ni lugha tu, tena ya watu wengine. Ni absolutely sensible yeye kutokuwa fluent. Ni kama kumcheka mzaramu hawezi kuongea kisukuma. Au mzungu hawezi kuongea kiswahili. Ni upuuzi.

Au na mimi nikucheke wewe usiyejua Deutsch?
 
Wachina kiingereza sio lugha yao ila angalia hiyo habari alafu linganisha kiingereza cha mchina na waziri wetu ambaye nchi yetu inakitambua pia kiingereza kama moja ya lugha rasmi.

Kuwa moja ya lugha rasmi haimaanishi kuwa ni mandatory or a cultural norm. Nenda uswahilini na uangalie wangapi wanatumia huyo lugha rasmi.

Ni ushamba na ujinga wa hali juu na kipekee kudhani kujua kiingereza ni sign of intelligence or whatever twisted conception you believe in.
 
Kwa mtu aliyesoma Tanzania na hawezi kuwasiliana vizuri kwa kiingereza maana yake hata masomo ya kuanzia sekondari hakuyaelewa vizuri, kwa hiyo hayupo intelligent. Hao wajapani elimu yao hawakusoma masomo kwa kiingereza, ila kiingereza kinaweza kuwa ni somo moja tu, tofauti na Tanzania
Unachanganya academical English na communicative English. Hiyo ndiyo sababu watu wanapass physics na kufail English.
Huyo jamaa anaweza kuwa na matatizo yake lakini napinga kwamba kujua English ni sign of ownership or lack of anything.
 
Back
Top Bottom