Waziri Ulega: Rais Samia unawaonesha kwa vitendo wasemaji wa ovyo ovyo, vizabi zabina

Waziri Ulega: Rais Samia unawaonesha kwa vitendo wasemaji wa ovyo ovyo, vizabi zabina

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Akiwa kwenye sherehe ya uzinduzi bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko, Waziri wa Uvuvi amerusha mawe kwa raia wote waliokuwa wanapinga uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam wakidai kwamba kwa uwekezaji ule basi nchi haitoweza kuendeleza bandari nyingine yoyote.Amewaita raia hao vizabina

Nanukuu

"Wako watu hapo karibuni walisema maneno mengi sana tulipokubaliana kufanya uwekezaji mkubwa wa kuinua bandari ya Dar es salaam, wapo waliobeza na wapo waliosema kwamba kutokana na uwekezaji unaokwenda kufanywa hatutaruhusiwa kuendeleza bandari yetu sehemu nyingine yoyote"

"Mhe. Rais leo unawaonyesha kwa vitendo wasemaji wa hovyo hovyo, vizabi zabina watu wasioeleweka hatuna kujua kwamba hawa ni popo au wanadamu ukifanya jema hawaelewi, tangu Tanzania iundwe na Mungu leo umeanzisha jambo hapa"
 
Aache kuleta mambo ya kiswahili swahili kwenye maswala yenye maslahi mapana kwa taifa, Kwa hiyo tuseme yeye ni bora kumzidi Mashimba kama siyo uchawa na majungu kuhusika?
 
Aendelee tu kulegeza hilo domo kama ameng'atwa nyigu.
 
Yaani anasema hayo kana kwamba hawaja wataarifu DPW? thubutu! Mfyuuuuuuuu

Eniweyi, Sijui atatamka yapi wakati hao viongozi anaojipendekeza kwao wakianza kwenda Ukonga kwa Ufisadi na Ugawiaji wa Nchi na Nyara za Serikali.

Aibu tupu kwa SSH, na hakika hata mwenyewe yanamkera. Kuna lipi jema la kugawia Bandari kwa milele?
 
Akiwa kwenye sherehe ya uzinduzi bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko, Waziri wa Uvuvi amerusha mawe kwa raia wote waliokuwa wanapinga uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam wakidai kwamba kwa uwekezaji ule basi nchi haitoweza kuendeleza bandari nyingine yoyote.Amewaita raia hao vizabina

Nanukuu

"Wako watu hapo karibuni walisema maneno mengi sana tulipokubaliana kufanya uwekezaji mkubwa wa kuinua bandari ya Dar es salaam, wapo waliobeza na wapo waliosema kwamba kutokana na uwekezaji unaokwenda kufanywa hatutaruhusiwa kuendeleza bandari yetu sehemu nyingine yoyote"

"Mhe. Rais leo unawaonyesha kwa vitendo wasemaji wa hovyo hovyo, vizabi zabina watu wasioeleweka hatuna kujua kwamba hawa ni popo au wanadamu ukifanya jema hawaelewi, tangu Tanzania iundwe na Mungu leo umeanzisha jambo hapa"
Ukisha ona waziri anakuwa na maneno ya mipasho hapo jua kabisa huyo hakupaswa kuwa waziri bali alitakiwa awe muimba taarab
 
Akiwa kwenye sherehe ya uzinduzi bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko, Waziri wa Uvuvi amerusha mawe kwa raia wote waliokuwa wanapinga uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam wakidai kwamba kwa uwekezaji ule basi nchi haitoweza kuendeleza bandari nyingine yoyote.Amewaita raia hao vizabina

Nanukuu

"Wako watu hapo karibuni walisema maneno mengi sana tulipokubaliana kufanya uwekezaji mkubwa wa kuinua bandari ya Dar es salaam, wapo waliobeza na wapo waliosema kwamba kutokana na uwekezaji unaokwenda kufanywa hatutaruhusiwa kuendeleza bandari yetu sehemu nyingine yoyote"

"Mhe. Rais leo unawaonyesha kwa vitendo wasemaji wa hovyo hovyo, vizabi zabina watu wasioeleweka hatuna kujua kwamba hawa ni popo au wanadamu ukifanya jema hawaelewi, tangu Tanzania iundwe na Mungu leo umeanzisha jambo hapa"
vizabizabina wenyewe wanasemaje?
 
Waziri utadhani mwanamke. Kuna status ukiwa nayo unapunguza maneno ya kanga.
 
Akiwa kwenye sherehe ya uzinduzi bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko, Waziri wa Uvuvi amerusha mawe kwa raia wote waliokuwa wanapinga uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam wakidai kwamba kwa uwekezaji ule basi nchi haitoweza kuendeleza bandari nyingine yoyote.Amewaita raia hao vizabina

Nanukuu

"Wako watu hapo karibuni walisema maneno mengi sana tulipokubaliana kufanya uwekezaji mkubwa wa kuinua bandari ya Dar es salaam, wapo waliobeza na wapo waliosema kwamba kutokana na uwekezaji unaokwenda kufanywa hatutaruhusiwa kuendeleza bandari yetu sehemu nyingine yoyote"

"Mhe. Rais leo unawaonyesha kwa vitendo wasemaji wa hovyo hovyo, vizabi zabina watu wasioeleweka hatuna kujua kwamba hawa ni popo au wanadamu ukifanya jema hawaelewi, tangu Tanzania iundwe na Mungu leo umeanzisha jambo hapa"


Waziri wa Uvivu!!

Hajui hata mkataba uanasema vipi!
 
Nanukuu

"Wako watu hapo karibuni walisema maneno mengi sana tulipokubaliana kufanya uwekezaji mkubwa wa kuinua bandari ya Dar es salaam, wapo waliobeza na wapo waliosema kwamba kutokana na uwekezaji unaokwenda kufanywa hatutaruhusiwa kuendeleza bandari yetu sehemu nyingine yoyote"

"Mhe. Rais leo unawaonyesha kwa vitendo wasemaji wa hovyo hovyo, vizabi zabina watu wasioeleweka hatuna kujua kwamba hawa ni popo au wanadamu ukifanya jema hawaelewi, tangu Tanzania iundwe na Mungu leo umeanzisha jambo hapa"
Chama cha mipasho, vijembe, kejeli na kuropoka
 
Akiwa kwenye sherehe ya uzinduzi bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko, Waziri wa Uvuvi amerusha mawe kwa raia wote waliokuwa wanapinga uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam wakidai kwamba kwa uwekezaji ule basi nchi haitoweza kuendeleza bandari nyingine yoyote.Amewaita raia hao vizabina

Nanukuu

"Wako watu hapo karibuni walisema maneno mengi sana tulipokubaliana kufanya uwekezaji mkubwa wa kuinua bandari ya Dar es salaam, wapo waliobeza na wapo waliosema kwamba kutokana na uwekezaji unaokwenda kufanywa hatutaruhusiwa kuendeleza bandari yetu sehemu nyingine yoyote"

"Mhe. Rais leo unawaonyesha kwa vitendo wasemaji wa hovyo hovyo, vizabi zabina watu wasioeleweka hatuna kujua kwamba hawa ni popo au wanadamu ukifanya jema hawaelewi, tangu Tanzania iundwe na Mungu leo umeanzisha jambo hapa"
Aache uongo ujenzi wa bandari ya Lindi ya Samaki ilianza muda sana tena kipindi cha Kikwete mwishoni akapokea JPM ndio maana hata kule Kisiju imewekwa barabara ya lami kutokea Mkuranga ili kurahisisha kufika kwenye fukwe za bahari na ilitangazwa sana wakati wa kipindi cha "KISHINDO CHA AWAMU YA TANO"

Hawa wabunge wa Pwani waliopendelewa kupewa uwaziri ndio wanajiona wana akili sana wakati huyu huyu waziri wa mifugo kwa sasa wakati JPM akifanya ziara kutoka kusini kurudi Pwani alisimamishwa Mkuranga ambapo wananchi na wanafunzi walilalamika kuhusu madawati na vyoo akaitwa mkurugenzi baadae yeye lakini hawakuwa na majibu mazuri ndipo raisi akaanzisha mchango pale ili vitu vilivyolalamikiwa vitengenezwe. Jimbo lake huyu bwana hakuna chochote anachokifanya zaidi ya kuweka mabango mengi njia nzima kuanzia Mwandege mpaka Mkuranga lakini maendeleo ni sifuri.
 
Back
Top Bottom