Waziri Ummy: Bima ya Afya (NHIF) inakaribia kufa

Waziri Ummy: Bima ya Afya (NHIF) inakaribia kufa

Watumiaji wakubwa wa NHIF ni watumishi wa serikali na mashirika ya umma. Niliwahi kuuliza humu nikajibiwa kwamba wanakatwa 3% ya mshahara kama ada ya uanachama. Maana yake anayepokea milioni moja kwa mwezi atakatwa 30,000 na kwa mwaka 360,000.

Kijana wa miaka 25 anachangia zaidi ya 500,000 kwa mwaka kama si muajiriwa. Mfanyakazi anapata huduma kwa hadi watu sita. Mtu binafsi ni yeye peke yake.

Hawa wanaochangia binafsi wamepunguziwa huduma ambazo wafanyakazi na wategemezi wao wanapata pamoja na kwamba wao wanalipa zaidi ya wafanyakazi.

Hili linahitaji kuangaliwa.
Hizo bei umechemka mkuu, wakifurushi mwenye miaka 25 hachangii hiyo pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani umeizidisha mara tatu. Jitafakari kauli zenu bob[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanajifilisi wenye kwa gharama kubwa kwenye hospitali za mikoa na rufaa.double standard inawakamua wenyewe.

Imagine kwenye hospitali ya wilaya upasuaji mkubwa ni 110,000, upasuaji huo huo kwenye hospitali ya mkoa ni 320,000 na kwenye hospitali ya rufaa ni 600,000 au 700,000

Lakini kwa sasa si tunalipa matozo mengi, nafikiri serikali ipeleke ruzuku huko NHIF kuokoa jahazi
Hapa chief nivema ungeuliza NHIF kwanini ilikuwa hivyo bila kutoa opinion. Usijibu jambo usilolijua
 
Kwani magonjwa yasio ya kuambukiza ndo hayatakiwi kutibiwa kwa bima? Au mim ndo meelewa vibaya
Umeelewa vibaya mkuu, wewe umepewa taarifa ila ukaona mtu anakushtumu. Hivyo umeelewa vibaya.
 
Unahakika unachoandika? Why don't they have same problems like NHIF? NHIIF isn't telling us the real story. Let them come with actual figures kimkoa na hospitals.
Kaingie chief hujakatazwa. Kule bima ni biashara ila hii ni serikari, sasa kaa fikiria. Serikari inafanya biashara??
 
Tatizo mnajilipa mishahara mikubwa mikubwa posho nene
Kuna zile posho mnatupa huku hospital eti za kuwasaidia kuhudumia wateja wenu
Japo zinatusaidia sana lkn sio haki
Ndiyo maana mfuko una collapse

Wazir amesema mnaenda kufa je nan atawazika????



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Boss bima haitoi hizo posho. Bali baada ya malipo ya bima, hospitali ndio hupanga kufanya nini na 50% za pesa zilizoingia. Bima huilipa hospitali sio daktari.
 
Mbona leo mnataka kufa??
Mkuu ebu kuwa serious kidogo
Hapa una wasiliana na wasomi pengine wamekuzidi
Kwa nn unapenda kudanganya??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unabisha chief[emoji23][emoji23][emoji23], basi fika wizara ya afya upewe documents.
 
Ila mashirika ya umma kwanini kila shirika ni hasara tu ninachojua ni usimamizi mbovu ona TTCL nayo suala la mda
Jibu unalo tayari SHIRIKA LA UMMA toka lini kitu cha Jumuiya a.k.a UMMA Tanzania kiliwahi kuwa na tija lazima serkali ifanye mapinduzi ya kwali TZ waachanane na mambo haya sijui shirika la UMMA kila kitu kifanye na private sectors ndio solution iliyopo.

Mfano mdogo tu kama wameshindwa kutoa services ndogo ya kuvusha watu KIGAMBONI miaka nenda rudi ni shida wata weza nini ?.
 
Hizo bei umechemka mkuu, wakifurushi mwenye miaka 25 hachangii hiyo pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani umeizidisha mara tatu. Jitafakari kauli zenu bob[emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia kifurushi cha timiza
 
Hizo bei umechemka mkuu, wakifurushi mwenye miaka 25 hachangii hiyo pesa[emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani umeizidisha mara tatu. Jitafakari kauli zenu bob[emoji23][emoji23][emoji23]
Umri 18 hadi 35
NAJALI 192,000
WEKEZA 384,000
TIMIZA 516,000
Ninaye binti yangu namlipia 516,000
 
Waziri anakosea anapokiri bima ya afya NHIF inakaribia kufa, kwanini wasitafute njia mbadala itakayowawezesha kumudu hayo mazingira ya kuongezeka gharama za matibabu?

Kuna watu wanaweza kupoteza ajira zao hapo kutokana na kufa kwa hicho kitengo, wasiwe wepesi kukiri kushindwa bila kwanza kutafuta majibu ya changamoto zinazoukabili huo mfuko.

Mfano, kama inapoonekana gharama za matibabu anazopata mwanachama ni kubwa zaidi ya kile anachochangia mwanachama, kwanini NHIF wasigawane gharama za matibabu na mwanachama 50/50 ili kuepuka tatizo la mfuko kuzidiwa na gharama mwishowe kutengeneza madeni?

Hili nimeona linatokea kwa bima nyingine za afya, licha ya wanachama kulipiwa na mifuko hiyo, bado hutakiwa kutoa sehemu nyingine za gharama ya matibabu yao toka mifukoni mwao ili kufidia nyongeza ya kile wasichochangia kwenye bima zao za afya.

Kama hilo lisipowezekana, basi nashauri kiasi cha pesa anazochangia mwananchama ambaye ni mgonjwa wa hayo magonjwa makubwa yasiyoambukiza kiongezwe ili kuendana na gharama halisi za matibabu yao.
Je ikiwa sitaugua watanirudishia hiyo 50?
 
Mh. Waziri Ummy nadhani kafanya hivyo ili kupunguza kelele mitaani. Il kiuhalisia, mfuko wowote wa bima huwa ni vigumu sana kuishiwa iwapo kuna usimamizi mathubuti wa mfuko husika. Kilichopo pale ni pooling of risks (in case kwenye magonjwa maana yake unakuwa kundi la watu ambapo wachache wanaugua na walio wengi wanasaidia matibabu ya hao wachache. Lengo hasa la bima yeyote ni kusaidia kugharamia kitu fulani. Matumizi ya hii mifuko inaongozwa na upigaji mahesabu ya hali ya juu. Inavyoonekana, palikuwa na uzembe wa hali ya juu kwenye matumizi ya ndani ya NHIF, lakini pia inaonekana kulikuwa na forgery nyingi sana toka kwa watoa huduma binafsi kwa kushirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa NHIF. Njia sahihi ya kuunusuru mfuko ni kuitisha ukaguzi maalumu ili kuweza kuziba mianya ya rushwa na upotevu wa mapato.
 
Kuna Jambo ambalo lazima tuliseme wazi, NHIF imeelemewa baada ya kuanza kuhudumia watu binafsi kwa mfumo wa vifurushi tofauti na zamani ambapo Mfuko ulikua unahudumia watumishi wa sekta ya Umma tuu. Asilimia kubwa ya watu binafsi wanaojiunga na bima ni wale wenye magonjwa Sugu ambao hutafuta namna ya kupunguza gharama za Matibabu. Sasa, NHIF futeni ivyo vifurushi, bakini na watumishi wa umma tuu otherwise mzigo mlionao ni mkubwa na muda si mrefu mtafilisika.
Approach ya kupunguza gharama za Matibabu haitawasaidia kwani gharama ya vitendanishi na dawa Sokoni inazidi kupaa mathalan, Cuevets za kupima HB zilizokua zinanunuliwa Elfu 50, Sasa zinauzwa laki 1 na elfu 10 , na Wakati huo huo ninyi mnataka mshushe Bei ya kulipa kipimo Cha wingi wa damu ilihali kwenye facilities Bei zimebanda. Sasa hili litapelekea wamiliki wa hospital waweke utaratibu wa top up kwa wateja wote wa NHIF ili kufidia gharama inayoongezeka.
 
Kuna Jambo ambalo lazima tuliseme wazi, NHIF imeelemewa baada ya kuanza kuhudumia watu binafsi kwa mfumo wa vifurushi tofauti na zamani ambapo Mfuko ulikua unahudumia watumishi wa sekta ya Umma tuu. Asilimia kubwa ya watu binafsi wanaojiunga na bima ni wale wenye magonjwa Sugu ambao hutafuta namna ya kupunguza gharama za Matibabu. Sasa, NHIF futeni ivyo vifurushi, bakini na watumishi wa umma tuu otherwise mzigo mlionao ni mkubwa na muda si mrefu mtafilisika.
Approach ya kupunguza gharama za Matibabu haitawasaidia kwani gharama ya vitendanishi na dawa Sokoni inazidi kupaa mathalan, Cuevets za kupima HB zilizokua zinanunuliwa Elfu 50, Sasa zinauzwa laki 1 na elfu 10 , na Wakati huo huo ninyi mnataka mshushe Bei ya kulipa kipimo Cha wingi wa damu ilihali kwenye facilities Bei zimebanda. Sasa hili litapelekea wamiliki wa hospital waweke utaratibu wa top up kwa wateja wote wa NHIF ili kufidia gharama inayoongezeka.
Soma hayo maelezo tatizo ni hili
 

Attachments

  • IMG_20220902_100148_369.jpg
    IMG_20220902_100148_369.jpg
    149 KB · Views: 3
  • IMG_20220902_100154_738.jpg
    IMG_20220902_100154_738.jpg
    89.2 KB · Views: 3
Kuna Jambo ambalo lazima tuliseme wazi, NHIF imeelemewa baada ya kuanza kuhudumia watu binafsi kwa mfumo wa vifurushi tofauti na zamani ambapo Mfuko ulikua unahudumia watumishi wa sekta ya Umma tuu. Asilimia kubwa ya watu binafsi wanaojiunga na bima ni wale wenye magonjwa Sugu ambao hutafuta namna ya kupunguza gharama za Matibabu. Sasa, NHIF futeni ivyo vifurushi, bakini na watumishi wa umma tuu otherwise mzigo mlionao ni mkubwa na muda si mrefu mtafilisika.
Approach ya kupunguza gharama za Matibabu haitawasaidia kwani gharama ya vitendanishi na dawa Sokoni inazidi kupaa mathalan, Cuevets za kupima HB zilizokua zinanunuliwa Elfu 50, Sasa zinauzwa laki 1 na elfu 10 , na Wakati huo huo ninyi mnataka mshushe Bei ya kulipa kipimo Cha wingi wa damu ilihali kwenye facilities Bei zimebanda. Sasa hili litapelekea wamiliki wa hospital waweke utaratibu wa top up kwa wateja wote wa NHIF ili kufidia gharama inayoongezeka.
Si kweli. Kabla ya vifurushi watu binafsi walikuwa wakilipa 1.5m na kuhudumia watu 6 kama ilivyo kwa wafanyakazi.
Shida niionayo ni wasioajiriwa kufanywa raia wa daraja la chini na hawana haki kama wafanyakazi.
Kuanzisha vifurushi kumefanya watu binafsi walipe walipe zaidi walivyo kuwa wakilipa awali.
 
Hujaumwa magonjwa yakutisha eeh, au kupata ndugu wahivyo. Usiombe!
Magonjwa ya kutisha Kama yapi boss ..wengine toka tunazaliwa hata parasetamu hatujawahi kumeza. Hayo magonjwa labda uko kwenu nyie. Mimi ni mzima kwa Iman yangu kuumwa mwiko.
 
Back
Top Bottom