Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Hizo siku 10 Ni incubation period,lakini ukishaupata hata Kama hufi,ukilazwa unaweza maliza mwezi,mpaka Sasa Kama sikosei waliolazwa na kupona Ni watatu tu,,wengine bado wako hospital na leo Ni wiki ya tatu nadhani,,Tuache kutishana kuhusu corona
Ugonjwa wa corona sio busha useme utalificha
Leteni taarifa za vifo kutokana na corona ili serikali ichukue maamuzi
Corona ni ugonjwa wa siku tano mbaka 10 kisha huo unasepa zake
Kama kuna mtu anataarifa ya kifo au vifo kutokana na corona weka ushahidi mezani hapa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa nilizo Nazo Dar ina hali mbaya zaidi ya Huwan note my word,Hii inchi inaendeshwa kiswahili sana.
Bila shaka utakuwa ndugu yake "kilaza".Wacha tufe! Binadamu tumekuwa wengi sana kwenye uso wa Dunia! Hivi sasa tunakaribia watu Bilioni nane huku binadamu ambao wamesha kufa mpaka sasa tangu kuumbwa kwa Ulimwengu wakikadiriwa kuwa Bilioni 50! (Hii ni zaidi ya miaka 5000 BC na miaka mingine 2000 AD wamekufwa watu bilioni 50)!
Kwa maana hiyo Annual rate of death has been somewhere around watu milioni 7. (50,000,000,000/7000).
Korona haijaweza kuua hata watu laki tano kati ya watu milioni saba 'wanaotakiwa kuwa wamekufa' kwa mwaka Duniani!
Sijazisikia tashititi na tashwishi zake kitamboo..Hivi Kabudi yupo wapi?
tamaaa mbaya,Hapa serikali lazima wakubali kwa huu uzembe wa kujitakia,Tamaa zetu za Watalii waliotuletee hela ndio kama izi
Sijazisikia tashititi na tashwishi zake kitamboo..Hivi Kabudi yupo wapi?
Yaah nilijua mwanzo kulikua na this kind of speculations na ndio zilizoaffect fikira za Magufuli [emoji16]
Kwamba Africans are not affected
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujachelewa Sana,kinachohitajika full lockdown hasa miji mikubwa dar,mz,Arusha,mbeya kwa mda wa siku 14,hii itazuia maambukizi mapya na wale walioambukizwa hizo siku zinatosha ugonjwa kuwa incubated na hivyo watajulukana na kuwa isolated
huyu Ummy atasababisha panic isiyokuwa na maana.
Watanzania wenzangu anzeni kuweka akiba ya chakula, inasubiriwa pasaka ipite nchi nzima tuingie kwenye karantini.
SawaWangezuiwa wageni kuigia tusingefiks hapa