Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya

Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya

Kadri hizi habari zinavotoka naanza kuziona dalili mbaya najiona kabisa muda mfupi ujao nabeba kila kilicho cha muhimu narudi zangu kijijini hadi pale hill janga litakapokuwa limepita. Allah tuepushe
 
Wacha tufe! Binadamu tumekuwa wengi sana kwenye uso wa Dunia! Hivi sasa tunakaribia watu Bilioni nane huku binadamu ambao wamesha kufa mpaka sasa tangu kuumbwa kwa Ulimwengu wakikadiriwa kuwa Bilioni 50! (Hii ni zaidi ya miaka 5000 BC na miaka mingine 2000 AD wamekufwa watu bilioni 50)!

Kwa maana hiyo Annual rate of death has been somewhere around watu milioni 7. (50,000,000,000/7000).
Korona haijaweza kuua hata watu laki tano kati ya watu milioni saba 'wanaotakiwa kuwa wamekufa' kwa mwaka Duniani!
Hahaha mkuu hayo mahesabu ni ya ki Mikopo Chefuchefu! Kwani hao waliokufa kwa magonjwa mengine mahesabu yake unayo?
 
Tumeshauri mambo ya maana mengi wakati hali ikiwa inaruhusu,but you have been slow in dealing with this issue.Tuliwaambia mfunge mipaka,mkimbizane sana na muda na kuwe na umakini mkubwa kuzuia tatizo lisifikie community spread,lakini waapi nchi hii sijui ina watu wa aina gani jamani!Sina la kusema tena!
Labda kuna scale ya ugonjwa mnayoitaka ifikiwe ili msitishe uchaguzi mkuu,manake sielewi hali hii ya uzembe kwa jambo serious hivi inatoka wapi,hata uoga hakuna?!!ajabu!!Thanks to God still fatality rate ni ndogo kwa waafrika,lakini spreading ikiwa kubwa sana means wale ambao ni immunocompromised(ambao tunao wengi Africa) watasababisha fatality rate kuwa kubwa.Ndio maana tulishauri sana pale mwanzo ilitakiwa mbinu za kivita kabisa zitumike kupambana na muda kuzuia ugonjwa huu ila waapi!mwafrika mwafrika tu..mpaka aumie ndio kichwa kinasogeza akili..msss!So dissapointed with you Ummy and your fellows!
Now you are faced with two life threatening challenges,afya za watu na uchumi wa watu,sababu tuendako hali ikizidi kuwa mbaya watu watajifungia ndani wenyewe bila amri ya kiongozi,tayari ni tatizo la kiuchumi hilo.

Nyinyi viongozi mna faida gani kwetu ikiwa kila jambo linalotaka leadership mnafeli?Mna maana gani kwetu?Hopeless!Rasilimali za ardhi ya Africa zimejaa utajiri,lakini hamuutumii kufanya nchi mnazoongoza ziwe tajiri.Mungu kawapeni mtu bora kabisa,mweusi mwenye nguvu na uvumilivu.Immunity ya mwafrika inawapeni muda wa kutosha kupambana na huu ugonjwa lakini bado hamtumii hizi priviledge za Africa.Hatukuwa na ulazima wa kufikia emergence kama ya wazungu sababu ya slow spreading ambayo kila mtu dunia nzima walishangaa na hakuna namna ya kuelezea sababu zaidi ya strong immunity aliyonayo mwafrika na idadi kubwa ya waafrika kutosafiri sana nje ya nchi,lakini nyinyi viongozi mna laana gani sijui mmeshindwa kutumia hii divine priviledge!Niende madhabahuni pa Yahweh tu sasa na kumlilia sana,kama mna lenu jambo litawarudia hili nawaambia hakuna damu ya mtanzania itaenda bure lazima mtailipa!Nimeshikwa na hasira ngoja niishie hapa.mss..!
 
Tumeshauri mambo ya maana mengi wakati hali ikiwa inaruhusu,but you have been slow in dealing with this issue.Tuliwaambia mfunge mipaka,mkimbizane sana na muda na kuwe na umakini mkubwa kuzuia tatizo lisifikie community spread,lakini waapi nchi hii sijui ina watu wa aina gani jamani!Sina la kusema tena!
Labda kuna scale ya ugonjwa mnayoitaka ifikiwe ili msitishe uchaguzi mkuu,manake sielewi hali hii ya uzembe kwa jambo serious hivi inatoka wapi,hata uoga hakuna?!!ajabu!!Thanks to God still fatality rate ni ndogo kwa waafrika,lakini spreading ikiwa kubwa sana means wale ambao ni immunocompromised(ambao tunao wengi Africa) watasababisha fatality rate kuwa kubwa.Ndio maana tulishauri sana pale mwanzo ilitakiwa mbinu za kivita kabisa zitumike kupambana na muda kuzuia ugonjwa huu ila waapi!mwafrika mwafrika tu..mpaka aumie ndio kichwa kinasogeza akili..msss!So dissapointed with you Ummy and your fellows!
Now you are faced with two life threatening challenges,afya za watu na uchumi wa watu,sababu tuendako hali ikizidi kuwa mbaya watu watajifungia ndani wenyewe bila amri ya kiongozi,tayari ni tatizo la kiuchumi hilo.

Nyinyi viongozi mna faida gani kwetu ikiwa kila jambo linalotaka leadership mnafeli?Mna maana gani kwetu?Hopeless!Rasilimali za ardhi ya Africa zimejaa utajiri,lakini hamuutumii kufanya nchi mnazoongoza ziwe tajiri.Mungu kawapeni mtu bora kabisa,mweusi mwenye nguvu na uvumilivu.Immunity ya mwafrika inawapeni muda wa kutosha kupambana na huu ugonjwa lakini bado hamtumii hizi priviledge za Africa.Hatukuwa na ulazima wa kufikia emergence kama ya wazungu sababu ya slow spreading ambayo kila mtu dunia nzima walishangaa na hakuna namna ya kuelezea sababu zaidi ya strong immunity aliyonayo mwafrika na idadi kubwa ya waafrika kutosafiri sana nje ya nchi,lakini nyinyi viongozi mna laana gani sijui mmeshindwa kutumia hii divine priviledge!Niende madhabahuni pa Yahweh tu sasa na kumlilia sana,kama mna lenu jambo litawarudia hili nawaambia hakuna damu ya mtanzania itaenda bure lazima mtailipa!Nimeshikwa na hasira ngoja niishie hapa.mss..!

Serikali ya Magufuli haitokwepa lawama Watanzania wakianza kufa kwa wingi.
Tulipiga kelele sana humu JF wafunge mipaka wazuie wageni kuingia lakini wakawa stubborn na kuonyesha ubishi wa kimadaraka. Sasa waziri wa Afya anacomplain eti "Ugonjwa tumeletewa kutoka nje", Sasa kwa nini nyoka asiingie ndani ya nyumba wakati unalala milango wazi?
 
Hapo wanaanza kutengeneza mazingira ya kutangaza idadi yenyewe na siyo zile ngonjera

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Usemalo linaweza kuwa na ukweli ndani yake.
 
Nyinyi viongozi mna faida gani kwetu ikiwa kila jambo linalotaka leadership mnafeli?Mna maana gani kwetu?Hopeless!Rasilimali za ardhi ya Africa zimejaa utajiri,lakini hamuutumii kufanya nchi mnazoongoza ziwe tajiri.Mungu kawapeni mtu bora kabisa,mweusi mwenye nguvu na uvumilivu.Immunity ya mwafrika inawapeni muda wa kutosha kupambana na huu ugonjwa lakini bado hamtumii hizi priviledge za Africa.Hatukuwa na ulazima wa kufikia emergence kama ya wazungu sababu ya slow spreading ambayo kila mtu dunia nzima walishangaa na hakuna namna ya kuelezea sababu zaidi ya strong immunity aliyonayo mwafrika na idadi kubwa ya waafrika kutosafiri sana nje ya nchi,lakini nyinyi viongozi mna laana gani sijui mmeshindwa kutumia hii divine priviledge
Mkuu 'kerubi afunikae', umeandika mengi ya msingi sana, hasa kuhusu kiburi walichoonyesha hawa viongozi wetu hapo mwanzo wa ugonjwa huu.

Njia zao ni zile zile, za kujiona wao ni tofauti na wengine na kufanya yao bila hata ya kuwa na ushahidi wowote kuwa njia zao ni bora kuliko zinazotumiwa na wengine kote dunia nzima.

Kwa kufanya hivyo, wanategeshea tu wapewe sifa endapo Mungu atapitishia mbali hili janga, watu wetu wasidhurike zaidi. Hapo ndipo utakapowasikia wakijipiga vifua kwa kujisifu, kana kwamba walifuata mwongozo wowote uliokwishaonyesha ubora wa njia hizo kuliko zinazofuatwa na wengine wote.

Katika andiko lako, kidogo ni kama unajichanganya, ndio nikaona niku'quote' na kuandika juu ya haya uliyoandika hapa.

Ninakubaliana nawe moja kwa moja kwamba, mwafrika, kama atapona kwa kiasi kikubwa na huu ugonjwa, ili maambukizi na 'fatality' zisiweze kufikia zile za wenzetu huko nje, kuepuka kwetu huko kutahusiana kwa kiasi kikibwa na kinga ya aina fulani, kimwili au kimazingira.

Kwa hapa tulipofikia sasa, ninayo matumaini makubwa kwamba Afrika tutatoboa. Hatutafika kule kwa hali ya ulaya na Marekani.

Pale ninapoona kama umejichanganya ni ..., kama kinga itakayotulinda inatokana na miili yetu kuwa nauwezo wake, basi, pengine hata bila kujali waliyofanya hawa viongozi wasiokuwa makini ni sehemu mhimu inayopelekea miili yetu ijilinde na haya magonjwa ya milipuko kila mara inapojitokeza.

Inawezekana nikawa sikuunganisha vizuri kukuonyesha mkanganyiko unaoonekana katika hoja zako; kwa sababu nimetiririka tu baada ya kukusoma na sikurudi nyuma kuhakiki.

Ikinibidi, italazimu nikuchambue taratibu kuonyesha ni wapi nilipoona mkanganyiko huo.

Lakini kwa yote, naungana nawe kulaumu 'cavalier attitude' waliyoionyesha viongozi wetu mbele ya ugonjwa hatari kama huu.
Hili linawaondolea sifa ya kuwa viongozi wanaojali maisha ya wananchi wao.

Walichoweka mbele ni kulinda uchumi zaidi ya kulinda maisha ya wananchi.

Tungekuwa na wananchi wanaojitambua vyema, hili jambo lingewapa wakati mgumu sana hawa viongozi. Lakini, ndio hivyo, basi. Tutaishia kusifu hatua zilizochukuliwa kutulinda, kumbe ni bahati au kudra za Mwenyezi Mungu ndizo zilizo tuepushia janga.
 
Hawa kuna kitu wanatuficha hasa kwenye takwimu za walioambukizwa huu ugonjwa nchini. Ngoja ngoma isambae watafichua wenyewe.
Ukitaka kujua kama wanaficha au wanasema ukweli, ebu fanya kautafiti kadogo mtaani kwako. Wameugua wangapi hapo? Wamekufa wangapi hapo? Kama hawapo mtaani kwako wapo mtaa wa nani? Ufipa?
 
IBADA ya IJUMAA JUU LEO
Kwa nia NJEMA kabisa TUNAOMBA serikali isaidie kuzingatia umati WA watu makanisani pale wakijiridhisha inatosha BASI WENGINE WAKAE NJE kutoruhusu HALI YOYOTE ya hofu JUU ya maambykiz ya Corona

Si MBAYA pia mnaochelewa mkawekewa VITI NJE ama mabench kupunguza msongamano WA WAUMINI ndani
 
Back
Top Bottom