Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya

Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya

WIKI MBILI ZIJAZO ZITATOA PICHA YA MLIPIKO WA CORONA TANZANIA: UMMY

“Ninaomba niwaeleze ukweli..wiki ya kuanzia Jumatatu … mpaka wiki mbili, ndiyo itatupa mwelekeo wa hali ya mlipuko wa ugonjwa wa #Covid19 utakavyokuwa katika nchi yetu…ndipo tutakapojua kama tutalala au hatutalala,” - #WaziriWaAfya, Ummy Mwalimu.

#MlipukoCoronaTanzania #CoronaTanzania #MaambukiziYaCorona #
 
Pale Uganda Mzee museven anafanya mazoezi chumbani angalia hapa lakini hapa Tanzania Mzee yupo chato angalia hapa
 

Attachments

  • JsZu_eSAVyPzPXtl.mp4
    1.8 MB
  • IMG_20200324_092252.jpg
    IMG_20200324_092252.jpg
    119.8 KB · Views: 1
Yeremia : Mlango 30
17 Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema BWANA, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, ambao hapana mtu autakaye.
 
Tuache kutishana kuhusu corona
Ugonjwa wa corona sio busha useme utalificha
Leteni taarifa za vifo kutokana na corona ili serikali ichukue maamuzi
Corona ni ugonjwa wa siku tano mbaka 10 kisha huo unasepa zake
Kama kuna mtu anataarifa ya kifo au vifo kutokana na corona weka ushahidi mezani hapa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo siku 10 Ni incubation period,lakini ukishaupata hata Kama hufi,ukilazwa unaweza maliza mwezi,mpaka Sasa Kama sikosei waliolazwa na kupona Ni watatu tu,,wengine bado wako hospital na leo Ni wiki ya tatu nadhani,,
Ukiupata kabla haujazidiwa unaweza ambukiza family you kabla hujajigundua una corona
 
Yeremia : Mlango 4
18 Njia yako na matendo yako yamekupatia haya; huu ndio uovu wako; kwa maana ni uchungu, hakika unafikilia hata moyo wako.Huzuni kwa Taifa Liangamialo
 
Wacha tufe! Binadamu tumekuwa wengi sana kwenye uso wa Dunia! Hivi sasa tunakaribia watu Bilioni nane huku binadamu ambao wamesha kufa mpaka sasa tangu kuumbwa kwa Ulimwengu wakikadiriwa kuwa Bilioni 50! (Hii ni zaidi ya miaka 5000 BC na miaka mingine 2000 AD wamekufwa watu bilioni 50)!

Kwa maana hiyo Annual rate of death has been somewhere around watu milioni 7. (50,000,000,000/7000).
Korona haijaweza kuua hata watu laki tano kati ya watu milioni saba 'wanaotakiwa kuwa wamekufa' kwa mwaka Duniani!
Bila shaka utakuwa ndugu yake "kilaza".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini serikali imeruhusu mpaka ugonjwa umefikia kwenye community transmission? Serikali ilikua na nafasi ya kufanya maamuzi magumu hata kwa kuweka partial lockdown,,kuzuia shughuli za mikusanyiko kama ibada,,starehe nk.

Mgaufuli atafanya maamuzi magumu sasa wakati athari za kiuchumi na vifo itakua kubwa zaidi,,,watanzani tutalipa bei kubwa sana kwenye hili janga la Corona huku waimba mapambio wakihamisha magoli tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Its tooo late
Hatujachelewa Sana,kinachohitajika full lockdown hasa miji mikubwa dar,mz,Arusha,mbeya kwa mda wa siku 14,hii itazuia maambukizi mapya na wale walioambukizwa hizo siku zinatosha ugonjwa kuwa incubated na hivyo watajulukana na kuwa isolated

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom