jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ni wivu tu wa maduka binafsi..huyu waziri kakosa ubunifu naona ni moja ya waziri vilaza..hivi ukisogeza hata 1km ndio madawa yatapatikana hospitali..au hayo maduka private yatakosa madawa.Maduka yote ya dawa nje ya hospitali yanatakiwa kuwa umbali wa mita 500, sheria hii niliipitisha kabla sijaondoka Wizarani, maduka yaliyo ndani ya Mita 500 ndani ya Hospitali Nchi nzima tunakwenda kuyaondoa, Hospitali dawa hakuna, kwanini maduka ya nje dawa zipo? Haikubaliki"
Pia soma
- Mnaopinga uondoaji wa maduka ya dawa maeneo ya hospitali mnaujua ukweli?
- Maduka ya Dawa yaliyo nje ya mageti ya Hospitali za Serikali huwa na dawa muda wote lakini ndani ya Hospitali husika hamna dawa
- Maduka yote ya dawa nje ya hospitali za Serikali marufuku
Boresheni na toeni pesa..na simamieni vzr msd..kama imeshindwa kazi kama hamna pesa..semeni tu sio kuleta siasa uchwara..kwenye huduma za dawa kwa wagonjwa.
Waziri bure huyu.
Nchi hii kuja kuendelea kwa vilaza kama hawa tusahau.
#MaendeleoHayanaChama