Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Wataalamu wanaoweza kuingia hospitali jamaa wakisema dawa hakuna na kufanya tracing ya papo kwa papo kwa kuchukua prescription tu ya mgonjwa na kubaini uongo wao amuwataki.
Mnachezea sana maisha ya watu. It is never personal simjui Ummy Mwalimu wala sina chuki nae binafsi. Ila hiyo wizara ni too technical for her.
Waingereza wana msemo it’s only easier if you know it, tatizo wengi awakumuelewa Dr Gwajima kwa sababu ya limitations zao ya management za afya.
Kwenye hiyo video if you know anything about auditing anachoongea ni kwamba anaijua inventory system ya dawa. Kuanzia kuagiza, idadi inayokuja na zinazotoka packet to packet akiamua kufanya full audit; na kawapa mfano live.
Akikuta zimepungua anaweza kukwambia kiasi gani kimedokolewa. Kwa sababu anaijua inventory system yote.
Utaki kujua amegundua vipi damu azija pelekwa maabara for that inabidi uwe muelewa wa quality management ya afya na madhara yake kwa watumia huduma unapochelewesha vipimo.
Majungu mengine ya siasa yana madhara sana kwa raia wanaotumia hizo huduma.
Inawezekana Tanzania kuna wataalamu wengi lakini binafsi nilio wasikia wenye viwango vya kimataifa namkubali Dr Kimei kwenye banking na Dr Gwajima kwenye health management she is something else basi tu anaishi nchi ya ovyo.
Dr Gwajima ata ulaya anapata senior management post kwenye University Hospital (ni hospitali kubwa na za kimataifa) ana sifa zote.
Kuna maamuzi yana madhara wahusika awaelewi tu. Kusema Ummy Mwalimu ni bora kushinda Dr Gwajima wizara ya afya ni kujifurahisha, but in the process kuna costs za maisha ya watu.