Waziri Ummy: Rushwa sekta ya afya inatisha imefika hatua Daktari anamuomba rushwa Daktari mwenzake. Nashauri JKCI ihamie Mloganzila

Waziri Ummy: Rushwa sekta ya afya inatisha imefika hatua Daktari anamuomba rushwa Daktari mwenzake. Nashauri JKCI ihamie Mloganzila

Madaktar wanafanya kaz kubwa mno nchi hii ambayo huwes tegea hata sku1 ial wanamishahara duni sana compared na hao wanasiasa
Upo sahihi kabisa,
  • Mtu darasa la saba anashinda anagonga meza, hakai ofisini masaa yote, ati kwakuwa tu ni mhe analipwa 11Mil,
  • Dakitari, Mwl, Askari wanaokimbizana na uhai wa taifa wanachezewa wanalipwa posho ya mbunge ya siku moja.
  • Ifike wakati sasa wabunge wapunguzwe, wawe sawa kwa idadi na RCs na wafanye kazi full time, fedha inayookolewa huko ipelekwe kwa madakitari, walimu na askari
 
Ila huu ukweli ukweli wa ummy utamcost soon.
Binafsi namwona ni female Kinana, shujaa wa pili ndani ya siku zisizozidi 7, sauti za raia hazikusikilizwa na mamlaka husika zimekuwa zikiziba masikio, PCCB na wale wa usalama are sleeping wanasubiri wapelekewe form za malalamiko, mzee kutoka Tanga yuko hoi atajaza hizo fomu saa ngapi mpaka akafike pccb ameshakufa njiani masikini
 
Kwahiyo yeye kama waziri wa afya, amechukua hatua gani kwa hao madaktari walioombana rushwa?
Amesoma alama za nyakati;
  • Angeanza kuwashughulikia ndani kwa ndani, angegusa ndevu za simba, tazama unapotaja "JKCI" unamgusa nani
  • Kuna taasisi haitimizi majukumu yake, imewalinda traffic police for decades, Ummy lazima aiseme kinamna
  • Tamko la Ummy limeziamsha sekta nyingine pia kutambua kuwa sasa hali siyo shwari kuna sehemu ina ufa
  • Kitendo cha yeye kutamka hadharani, amenawa mikono akimaanisha kuna genge linalinda watu wao
  • Mishahara ya madakitari ni duni, ikumbukwe ni 6 years sasa watumishi wanaishi kwa viwango vya zamani na hapo gharama za maisha zimepanda sana tena mfululizo
 
Kiongozi shupavu na mkali akiiongoza taasisi ya urais, basi rushwa katika utumishi wa umma huwa zinapungua sana. Kinyume chake rushwa hutamalaki na kugeuka kuwa chanzo kikuu na mbadala cha mapato.
 
Back
Top Bottom