Waziri Ummy: Tanzania yawa miongoni mwa nchi zilizoongoza duniani kwa unywaji wa pombe kali kwa Vijana Umri kati ya Miaka 15-19

Waziri Ummy: Tanzania yawa miongoni mwa nchi zilizoongoza duniani kwa unywaji wa pombe kali kwa Vijana Umri kati ya Miaka 15-19

Yaan viongozi hovyo kabisaaa...wapige marufuku matumiz ya pombe tuone....yaan hakuna aliye salama kwa hili...yaani pombe fake zinafyatuliwa sio poa...ziwe za bei ndogo au za gharama zinafyatuliwa haswa...tena wahindi ndio wanaongoza kufyatua...kwa Arusha ndio usiseme viwanda vidogo vipo mageton yaan hizi nyagi zinafyatuliwa haswa...k vant ndio usiseme...hennessy Jgr mstr...yaan ni mwendo wa kufyatuliwa...


Tukubaliane...viongoz wanatamqn vijanw wapotee ili wazidi kujinufaisha...yaan kwa kifupi changanya na zako lakin ukwel tunafaham...Tatizo ni mfumo...hivi duniani Tanzania inaongoza kwa unywaj wa pombe. Maana yake kodi kupitia pombe ni kubwa hawajui wafanye nin
 
Anaandika Ummy mwalimu Baada ya Report ya World Health Statistics 2023 ya WHO..

Taarifa zaidi kuhusu Kiwango cha Matumizi ya Pombe Tanzania na Magonjwa YasiyoAmbukiza.

Kwa mujibu wa World Health Statistics 2023 kiwango cha matumizi ya Pombe isiyozimuliwa (Pure alcohol - 100% ) nchini Tanzania kwa mwaka kwa kila mtu mwenye umri wa miaka 15 na kuendelea ni Lita 10.4. Wastani huu ukiwa ni wa juu zaidi wa wastani wa Africa (4.5 Lita); America (7.5 Lita); South East Asia (3.8 Lita); European Region 9.2 L.

Kwa kawaida Bia inayotumika (regular) huwa na kiasi cha kilevi (pure alcohol) cha asilimia 3 - 7; sasa piga hesabu lita 1 ya Pombe isiyozibuliwa ni sawa na chupa ngapi za Bia iliyozimuliwa. Halafu piga hesabu wanaokunywa Pombe nchini ni asilimia 20 ya watanzania wenye umri wa miaka 15 na kuendelea ambayo ni sawa na mtu 1 katika kila watu 5 ndio anakunywa Pombe. Then utapata jibu kama 10.4L ya Pure alcohol kwa mtu mmoja ni pombe nyingi au la?

Wajibu wetu ni kuwaeleza ukweli kuhusu Madhara ya Unywaji wa POMBE KUPITA KIASI. Unywaji wa POMBE KUPINDUKIA HUSABABISHA:
• Madhara kwa Ini
• Madhara ya Moyo na Mishipa ya Damu ikiwemo shinikizo la damu (hypertension), matatizo ya moyo kama vile kuziba kwa mishipa ya damu (atherosclerosis), na hatari ya kiharusi.
• Matatizo ya Afya ya Akili
• Kuathiri Mfumo wa Kinga
• Ugonjwa wa figo
• Ugonjwa kwenye kongosho na kuleta kisukari

Ninatoa rai kwa wananchi kupunguza unywaji wa Pombe kupita kiasi ili kujikinga na kudhibiti magonjwa yasiyo ambukiza. Uamuzi ni Wako.
#KingaNiBoraKulikoTiba #AfyaYakoWajibuWako

View attachment 2973446View attachment 2973447
View attachment 2973460
Hizi data wanazipataga wapi?
 
Leo umejua kama najua kuandika kiswahili fasaha kuzidi bi Faiza?

Juzi nilipoandika "CCM mbere kwa mbere" ukaniahukia kama mwewe,bial kujua muktadha wa nilichokusudia.
Kudadeq! Sasa mwenzako nakumbuka hataa? Id yako ndo kwanza naiona leo
Naomba unisamehe kama nilikuudhi mkuu
 
Anaandika Ummy mwalimu Baada ya Report ya World Health Statistics 2023 ya WHO..

Taarifa zaidi kuhusu Kiwango cha Matumizi ya Pombe Tanzania na Magonjwa YasiyoAmbukiza.

Kwa mujibu wa World Health Statistics 2023 kiwango cha matumizi ya Pombe isiyozimuliwa (Pure alcohol - 100% ) nchini Tanzania kwa mwaka kwa kila mtu mwenye umri wa miaka 15 na kuendelea ni Lita 10.4. Wastani huu ukiwa ni wa juu zaidi wa wastani wa Africa (4.5 Lita); America (7.5 Lita); South East Asia (3.8 Lita); European Region 9.2 L.

Kwa kawaida Bia inayotumika (regular) huwa na kiasi cha kilevi (pure alcohol) cha asilimia 3 - 7; sasa piga hesabu lita 1 ya Pombe isiyozibuliwa ni sawa na chupa ngapi za Bia iliyozimuliwa. Halafu piga hesabu wanaokunywa Pombe nchini ni asilimia 20 ya watanzania wenye umri wa miaka 15 na kuendelea ambayo ni sawa na mtu 1 katika kila watu 5 ndio anakunywa Pombe. Then utapata jibu kama 10.4L ya Pure alcohol kwa mtu mmoja ni pombe nyingi au la?

Wajibu wetu ni kuwaeleza ukweli kuhusu Madhara ya Unywaji wa POMBE KUPITA KIASI. Unywaji wa POMBE KUPINDUKIA HUSABABISHA:
• Madhara kwa Ini
• Madhara ya Moyo na Mishipa ya Damu ikiwemo shinikizo la damu (hypertension), matatizo ya moyo kama vile kuziba kwa mishipa ya damu (atherosclerosis), na hatari ya kiharusi.
• Matatizo ya Afya ya Akili
• Kuathiri Mfumo wa Kinga
• Ugonjwa wa figo
• Ugonjwa kwenye kongosho na kuleta kisukari

Ninatoa rai kwa wananchi kupunguza unywaji wa Pombe kupita kiasi ili kujikinga na kudhibiti magonjwa yasiyo ambukiza. Uamuzi ni Wako.
#KingaNiBoraKulikoTiba #AfyaYakoWajibuWako

View attachment 2973446View attachment 2973447
View attachment 2973460
Ongeza na nondo hizi
 
Back
Top Bottom