Waziri Ummy: Tanzania yawa miongoni mwa nchi zilizoongoza duniani kwa unywaji wa pombe kali kwa Vijana Umri kati ya Miaka 15-19

Si vibaya serikali ikaingilia kati kukataza uuzwaji wa haya mapombe makali ili kuepusha shida kwa vijana wetu
Matatizo ya figo kwa wananchi yanaongezeka.
Kulinda afya za wananchi ni jambo jema
Zibakie Serengeti tu na Kilimanjaro πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…