Waziri Ummy, Usipotoshwe maamuzi yako kuhusu ADDO na wafamasia mtawaumiza Watanzania


Daah sijakusoma kabisa mzee baba..hata mfamsia anaweZa kufungua hospitali kubwa na akaajiri watu na akapiga hela..wapo ma dr wana mapharmacy makubwa wameajiri watu na wanapiga hela ..hakuna wivu ni udumavu wa akili ya kutafuta hela tu..Dr unaanze kulalamika mtaani kuwa huna hela sababu ya wafamasia..!!!
 

Yaah..ila sidhan kama anahaja ya kujua dozi inatengenezwaje sio issue kwake ye katoa dawa na mfamasia achanganye dawa kwa taratibu zake then ampe mgonjwa the recommended dose basi..tatizo la baadhi ya wafamasia wanaona kua Dr kazi yake ni ku diagnose then mfamasia atoe dawa..!yani anaona kama Dr hatakiw kuandika prescription which is wrong..nishapita pita ughaibuni huwez pewa
Dawa kwenye pharmacy bila prescription ya Dr au authorized clinician kutegemea na tatizo ni STRICTLY huwezi kutoa dawa bila prescription ya Dr kama kuna walakini kuna form unajaza kuelezea sababu za kutokutoa dawa na inakubalika
 
Mkuu wewe ndio unaelewa tatizo la Madaktari na hili ndio tatizo lenyewe.

Wapiganie wapewe mamlaka ya usimamizi wa hizi health facilities ili waweze kujikwamua kama walivyo wa Wafamasia
 
Daktari anataka Asimamie Famasii.. Afungue Duka la dawaa bila kuwa na Cheti cha mfamasiaaa yani HICHO NDO WANACHOTAKA.
 
kwani hospital za vijiji wanafanyaje si ndio kama hivi unakuta kituokina tabibu mmoja na yeye anafanya haya yote pamoja na kuzalisha
 
we jamaaa nimekufatilia kwenye huu mjadala maoni yako ni mepesi sana,mifano yako ni irelevant uko shallow sana.
 
Mkuu majibu ya Glucose level si chap kwa haraka sas insulin unayo... una NS fluid ipo why usianze management chap!! Maana hyperglacemia na dehydration zinaenda sambambaa...
[emoji1][emoji1][emoji1]Rasmi nimejiridhisha wewe sio mfamasia ni fundi sanifu wa dawa chief pia bado ni kijana
 
we jamaaa nimekufatilia kwenye huu mjadala maoni yako ni mepesi sana,mifano yako ni irelevant uko shallow sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kijana maoni yako ni mazito sanaa kichwani umejaza madini sana.
 
kwani hospital za vijiji wanafanyaje si ndio kama hivi unakuta kituokina tabibu mmoja na yeye anafanya haya yote pamoja na kuzalisha
Kazi ili iwe sahihi lazima kuwe na mgawanyo wa majukumu....Kufanya kila kitu haina maana ndiyo inavyotakiwa na ndio maana bado huduma za afya nchi yetu zipo chini...na makosa ni mengi pia..! Ifike kipindi tuone umuhimu wa mgawanyo wa majukumu ndiyo tutapata matokeo mazuri zaidi...kuliko hii mtu mmoja kufanya kila kitu yeye!
 
And good thing ni kwamba vijana wanazalishwa wengi sana kutoka vyuoni kwa sasa tofauti na zamani.

Kila mtu akae eneo lake ili kazi ifanyike vizuri kama inavyostahili kufanyika.
 
tatizo la baadhi ya wafamasia wanaona kua Dr kazi yake ni ku diagnose then mfamasia atoe dawa..!yani anaona kama Dr hatakiw kuandika prescription which is wrong
Kudiagnose mfamasia pia anaweza ingawa anazidiwa na Daktari ambaye yupo, wale wa mchongo anazidiwa pia na mfamasia ambaye yupo deep. Diagnosis ndio jukumu kubwa na Daktari, Mfamasia hajawahi kulalamika hapa maana sio jukumu lake ingawa anaweza.

Kuprescribe ni jukumu la Dk kulingana na sheria zetu, ingawa Mfamasia anaweza pia hasa Clinical Pharmacist(huyu ana Master ya Clinical Pharmacy). Huko kwa wenzetu Wafamasia wanaruhusiwa kuprescribe kulingana na sheria zao
Hamna Mfamasia aliyelalamika kuwa Dk asiprescribe isipokuwa yeye anajukumu la kuhakiki dawa iliyoandikwa ni sahihi kulingana na tatizo la mgonjwa, kama haiko sahihi atatoa ushauri wake. Hao wanafuata sheria zao walizojipangia ndio maana unaona ni tofauti na huku ambapo dawa zinatolewa hata kama zinahitaji cheti cha daktari
 
Hongera,japo mie sie mtu wa kada ya afya bali ni Accountant,nimekuwa impressed na majibu yake yasiyo na mihemko na yanayofocus professionalism.The bottom line ni kuwa ni Muhimu kila mtu kuheshimu taaluma husika kila mtu afanye alichobobea,ili hata akipuyanga iwe possible kum-hold accountable
 
And good thing ni kwamba vijana wanazalishwa wengi sana kutoka vyuoni kwa sasa tofauti na zamani.

Kila mtu akae eneo lake ili kazi ifanyike vizuri kama inavyostahili kufanyika.
Ukitaka kujua haya mambo ya mgawanyo wa kimajukumu kwa kada zetu za afya yalivyokuwa changamoto, angalia Taasisi kubwa kama MSD kila siku malalamiko ufanisi wake ni mdogo.

Ila kumbe watu wanaohusika na hiyo Taasisi hawana utaalamu wowote kuhusu mambo ya madawa sasa unategemea nini??

Hapa wanasema sisi Wafamasia tubaki na kazi ya kutunza dawa sijui kutengeneza ila ukienda Bohari za MSD unaweza usikute Mfamasia.

Yaani kuanzia sasa hili suala la ADDO na ku reshuffle MSD ni mwanzo tu ila nashauri waziri Ummy aende mbali zaidi mpaka mahospitalini huko katika Pharmacy kuna manesi wanagawa dawa wakati mtaani kuna wasomi kibao (Pharm Tech & Pharm Assistants) ambao ndo wataalamu wa ku dispense na kupunguza hizo medication errors katika Hospital zetu.
 
kwani hospital za vijiji wanafanyaje si ndio kama hivi unakuta kituokina tabibu mmoja na yeye anafanya haya yote pamoja na kuzalisha
Unataka na Muhimbili afanye hivyo?

Badala ya kumhurumia kwa kufanya kazi kubwa pekee yake na zisizomhusu na kuona namna bora ya kumsaidia ila ndio unatolea mfano wawe wanafanya hivyo. Zinduka!
 
Daktari anataka Asimamie Famasii.. Afungue Duka la dawaa bila kuwa na Cheti cha mfamasiaaa yani HICHO NDO WANACHOTAKA.
Hapo wamezingua..naona njaa ndio inawasumbua sana..sasa wanataka kupoka kila fursa ndani ya kada za afya..absurd

Madaktari wamichongo hawa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nahisi ulisoma kwa kujiandaa kuingia mitaani kuanzisha duka la dawa. Sasa hapa unakomaa, kufa-kufufuka ili usiambiwe hiyo haitoshi. Komaa shingo lakini ukweli unabaki hapo hapo; Acha kushinda dukani ukisubili prescription. Ingia maabara, ongeza ubora wa madawa. Shirikiana na watu wa microbiology, tengeneza vaccines; COVID-19 bado inasumbua, Trypanosomiasis bado haina tiba ya amani, n.k.

Madaktari, tena wengine ni professors nao wajiongeze siyo kushinda kwenye 'vioski' vya upanga na mitaa mingine wakikusanya elfu 10 za consultation. Hospitali hawakai, hawana uwezo wa kutibu nje ya yale waliyofundishwa darasani. Hakuna ubunifu ktk tiba zetu. Ndo maana nimeandika mwanzoni kwamba Wizara ya afya ni tatizo na ushenzi tu! Imejaa watu wa aina yako, na mashindano ya ndani kwa ndani; Ooh, Nesi hawezi, daktari hawezi, mfamasia hawezi..... rubbish!
 
Busara ingekuelekeza kujibu hoja badala ya kumshambulia kibinafsi. Nakushauri shambulia hoja yake kwa kuonesha yalipo mapungufu ya hoja yake bila kutafuta namna ya kumshusha hadhi yake.
Mimi simshushii hadhi yake, anaishusha mwenyewe kwa maandishi ambayo yanaonyesha dhahiri kwamba hajui anachokiandika.
Unataka nijibu hoja zipi kwenye andiko ambalo halina weledi wowote.

Wewe huoni kwamba ni shutuma anazoelekezea taaluma nyingine, tena kwa vitisho kwamba wataua waTanzania? Hii unaiita hoja wewe?

Huyu ni mtu anayepigania maslahi binafsi na hana utetezi wowote kwa maslahi ya wananchi.

Andiko lake ni potofu kabisa, na kama wewe unaona hoja humo, basi utakuwa unapigania maslahi yaleyale anayopigania yeye na wote hamna chembe ya kuwatumikia waTanzania kwa manufaa yao.

Mnaingia kwenye taaluma ambazo mnatakiwa mtoe huduma, kumbe nyinyi ndio watoa roho za watu kwa manufaa yenu binafsi.

Hopeless kabisa.
 
Kaa na hisia zako, haziniongezei wala kunipunguzia chochote.

Wewe bwana mdogo (ndiyo, nakuita bwana mdogo), ulipoingia humu JF nilijibizana nawe kungali mapema sana, na ukaniomba nikupe orodha ya vitabu nilivyokuwa nasoma wakati huo. Nilikupa taarifa juu yake na hukuonekana tena kufuatilia nilichokuwa nikiandika humu.

Wewe ni mbishi mpuuzi, na wala huna kumbukumbu ya jambo lolote unaloandika juu yake.

Sasa angalia hapo uliyoandika kujibu niliyokufahamisha juu ya uwezo wako wa kujua kemia ya madawa. Kama si uchizi huu utauita kitu gani.

Kuwepo dukani au mahali popote palipo na shughuli za dawa kwa Mfamasia ni takwa la sheria duniani kote. Haliwezi kubadilishwa leo eti kwa vile wewe unataka iwe hivyo. Na hao wafamasia wanaokuwa huko ni chaguo lao kuingia kwenye mkondo huo wa taaluma yao. Kw mtu duni kama wewe hujui maana ya wao kutakiwa kuwa huko, kwa sababu hujui maana yake. Wewe unachoona tu ni kugawa dawa, kwa sababu huna ufahamu wa zaidi ya hapo.

Hata hivyo wewe ni mpuuzi tu, huna tofauti na mbuzi anayepigiwa gitaa ili acheze kwa furaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…