Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
- Thread starter
- #261
SahihiIlibidi awe mvumilivu kwani matusi yote aliyokuwa anatukanwa yalikuwa ya kweli!! Aliuza nchi kwa wamanga wa HOME SHOPPING CENTRE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiIlibidi awe mvumilivu kwani matusi yote aliyokuwa anatukanwa yalikuwa ya kweli!! Aliuza nchi kwa wamanga wa HOME SHOPPING CENTRE!
Kwani chadema sio chama Cha umma?Kwani Mbowe amewahi kuwa mtumishi wa umma
Lakini mbowe ana mamlaka ya kupokea ruzuku ambazo zimetokana na Kodi zetu pamaja ni michango mingine ya wanachamaMbowe amewahi kuwa Rais wa nchi hii wewe phunga? Amewahi kuwa na mamlaka ya kukusanya kodi zetu na kuzipangia matumizi atakavyo?
Mbowe inajulikana wazi hadi kwa mtoto mdogo kwamba ni mfanyabiashara mkubwa, ni bilionea yule. Kikwete anafanya biashara gani? Kwanini anafanya hizo biashara zake (kama zipo) kwa KUJIFICHA FICHA?
🤣🤣🤣🤣Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321
Acha Viongozi wetu wale maisha, serikali haina shamba🤣🤣🤣🤣
Hakya Nani...
Tena bwanamaji mzima na nchi ipo kwenye mgao wa maji halafu analishwa keki.Jitu zima hovyo linakula keki na linafanya birthday
Mama kasha waambia stupidAcha Viongozi wetu wale maisha, serikali haina shamba
Kwani amekula hela za ndege? Ameiba hela ya vishikwambi? Amesaini mikataba feki?Lakini mbowe ana mamlaka ya kupokea ruzuku ambazo zimetokana na Kodi zetu pamaja ni michango mingine ya wanachama
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu watanzania wengi sana wana nyumba state tena wengine sio matajiriJK ana nyumba state? Mwanasiasa si mwenzio
You are appreciated [emoji137][emoji137][emoji3601][emoji137] that is fact, tembo na swala wote wanahitaji vegetation feeding, Lakini kwa kiwango tofauti na wote wanaishi [emoji1241][emoji1241]shida yetu ni umasikini wetu ulioathiri uwezo wetu wa kufikiri!Nimesoma comments zote hadi page ya 4 nimegundua wengi hapa wana chuki na hasira kali sana zinazosababishwa na umaskini wao na familia zao. Mh Jakaya kwa sasa ana vyeo vikubwa sana kidunia kwa mfano mojawapo ya cheo chake kwa sasa ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Global Partner for education na hata juzi niliona katoa tamko kulaani vitendo vya Taleban kuzuia watoto wa kike kupata elimu. JK ana vyeo vingine huko UN hali inayomlazimu kuwepo nchini Marekani mara nyingi sana. Kwa hadhi yake ni lazima UN wangempatia tu nyumba endapo JK angeona sio poa kukaa five star hotel kila mara. Hata mimi ningechagua kuwa na nyumba ndani ya New York kuliko Five Star Hotel.
Hata tuki-assume kwamba nyumba ni yake kajenga au kanunua pia JK asingeshindwa kufanya hivyo. Mtu alikuwa waziri wa fedha enzi za mwinyi na akaja kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kwa miaka 10 atashindwaje kununua nyumba? Isitoshe akamalizia kwa kuwa Rais wa nchi kwa miaka 10. Na kikatiba ana mshahara 80% ya mshahara wa rais aliye madarakani kwa maisha yake yote baada ya kustaafu. Pia tukiachana naye binafsi hivi yeye, Ridhiwani na Mama Salma wakiamua wachange hela baba awe na nyumba New York watashindwa?
Punguzeni hasira ili muweze kutumia akili zenu kwa usahihi. Hapa duniani hatuwezi kuwa sawa. Marehemu peke yao ndo wako sawa. Tulio hai ni kupeana vichapo tu hakuna namna.
Viongozi wako ni MATAPELI wewe, wamejificha kwenye koti la uzalendo huku wakiibia watanzania masikiniYou are appreciated [emoji137][emoji137][emoji3601][emoji137] that is fact, tembo na swala wote wanahitaji vegetation feeding, Lakini kwa kiwango tofauti na wote wanaishi [emoji1241][emoji1241]shida yetu ni umasikini wetu ulioathiri uwezo wetu wa kufikiri!
sio kwa mjomba dubai?Hata Samia kama hana atanunua nyumba London au New-York.
Kule joto sana.Atakuwa anakwenda kuenjoy tu .Atafikia Sofitel hotel.sio kwa mjomba dubai?