Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Huyu Waziri analishwa keki kabisa na mwanaume mwenzake watu wa Pwani wanajua. Joan Pinto yupo wapi siku hizi. Unaweza kutenganisha vipi na kumuendesha mwanaume mwenzio Landani kwenye baiskeli na kulishwa keki na mwanaume mwenzio Washingistine. Wapi Papa Mataka mzee wa upinde wa mvua
 
Ulisikia Nyerere ana nyumba nje ya nchi?
Fact.

na huyo amekuwa Rais miaka 24, tena wakati ule hakuna mpinzani, hakuna Jamiiforums, hakuna mwanaharakati wa kumnyooshea kidole.

Akafa anasema hana senti tano nje ya nchi.

Alikuwa mzalendo anaejitambua. Huwezi kupewa dhamana ya kuwaibua watu kwenye lindi la ufukara, halafu wewe unajionyesha wazi wazi kwao kwamba wewe binafsi umaskini umekuisha! Ndio kina Mzee Kikwete walivyo, haelewi kabisa kabisa, hajitambui anachokifanya.

Only Afrika vitu hivi vinakubalika.
 
Jk nyumba ya marekani kaanza kumiliki toka akiwa waziri wa mambo ya nje, kitambo sana
Mimi mwenyewe kuna boss wangu mmoja zamani alikuwa serikalini alishastaafu,lakini kuna nyumba anamiliki uingereza na Sweden
Huko....
Jk kitambo huko anamiliki nyumba
Sawa kabisa

Ova
 
As much as simpendi JK lakini hapo sio nyumbani kwakwe na sio kwamba hawezi kununua nyumba ulaya au marekani ila hapo ni hotelin
 
Nyumba ni kitu gani, mwenzako amekuwa Waziri kwa miaka mingi, amekuwa Rais kwa miaka 10, jamani mambo mengine ni madogo sana kuuliza au kushangaa.
AY ana nyumba Marekani, msanii tu. Wanashangaa rais mstaafu na mwenyekiti wa mavitu gani sijui huko UN kuwa na nyumba US, JK ishi mzee, kwanza tunaokudiss hapa tupo bongo tunakatwa tozo, kelele zetu ni za chura tu
 
JK ana vijana wake wengi sana tangu kwenye serikali ya JPM na hadi sasa. JPM aliunganishwa na MAMLUKI wengi sana
Kinana alipozinguana na Hayati, Kesho yake Bashe akaitisha press conference akamsema sana Mzee Kinana, Hayati akamteua Bashe kwny Serikali yake immediately

…1x 1 is equal to one ila one plus 1 is 2.


sie Wagner group wastaafu tukacheeeeeeka tukajisemea …kuna mtu kishajipiga kanzu na tobo


mchezo wa 'draft' ni muhimu sana kuujua kabla ya kuwa Mwanasiasa
 
Kikinuka wao tayari wana makazi huko ughaibuni, wanakuwa wanachungulia tu kwa mbaaali.

Inavyoelekea kwa serious minded persons ni lazima kuwa na mpango wa kuweka makazi ya kudumu first world countries, third world countries maisha yanaweza kuendelea kuwa yasiyo ya kutabirika na yaliyojaa hatari nyingi.
 
HUYU BENJA KAJIOZEA ZAKE HUKO MTWARA HALAFU KAACHA MAJUMBA YA KIFAHARI UGHAIBUNI.

YAANI VINGINEVYO HAWA WAHUNI WAWE NA UJUZI WA KIROHO WA KUHAMA MWILI MMOJA KWENDA MWINGINE BAADA YA KUFA- KAMA YULE MWENZAO WA MUSOMA.

ANAKUFA ANAHAMIA MWILI MWINGINE. QUANTUM IMMORTALITY. Hahahaa.

KWA SABABU BILA HIVYO, HUU UFISADI WOTE NI KWA FAIDA YA NANI HASWA?
OMG bichwa komwe umetumia code ngumu mno. Nchi ina mazito hii. Yaani mpaka Mchonga khaaa?! Kumbe anaishi jamani? Na huenda akawa deep state member kwa sasa
 
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.

NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba

View attachment 2565319

View attachment 2565320
View attachment 2565321
JK mbona mtu mkubwa sana, nyumba Marekani hata Msukuma ana uwezo huo.

USD 100,000/= hupati nyumba Marekani!?
 
JK angekuwa Mzungu au Mwarabu au hata Mnaijeria, kumiliki nyumba New York isingekuwa issue. Kasumba ya ujamaa bado inatesa Tz!
Hata mTz yeyote anayekopeshe ka anapata mkopo wa nyumba huko kwa wenzetu kwa urahisi. Nyumba yenyewe ni dhamana na ni kitega uchumi.
 
Back
Top Bottom