Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nyumba au apartment??
Tena waambie huko us $200,000 tu unapata nyumba
Mbona huku bongo unakuta mbweni huko mtu kajenga nyumba kagaramia
Mln 600,000
Sasa ukirudi kwa jk urais wote atashindwa kweli kumiliki mjengo usa
Ova