Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Swali kuu ni kwamba aliinunua TSH ngapi??.........na pesa aliitoa wapi?.....tuulizane Tu kirafiki kama wanavyouliza TRA Kodi ya Kwanza ulianza kulipa lini? Na je Una Mali ya kiasi gani? Baadaya kuingia kwenye 18 zao
Point kubwa sana hii, CCM kindakindaki wanaruka ruka tu hapo
 
Roho mbaya ya watanzania, hakuna ajabu mtu kama JK kumiliki nyumba marekani , mbona hata lowasa ana nyumba huko, ni kawaida sana na sii hao tu , viongozi wengi wana nyumba marekani hata VP wa sasa ana nyumba State na alinunua akiwa benki ya dunia
Aisee
 
Back
Top Bottom