Waziri wa Afya na Naibu wake wataweza kuratibu upatikanaji wa chanjo waliyokuwa wanaipinga?

Wamependekeza ile juisi ya Uviko
 
Kiini cha haya yote ni KATIBA yetu - Rais wetu anapewa mamlaka makubwa mno kiasi ukienda na atakavyo yeye basi umekwenda na maji.

Wakati mwingine Waziri inabidi ufanye mambo hata kama unajua ni ya hovyo ili kumridhisha boss wako ili mkono ufike kinywani.

Hawa wasomi wa utabitu kwa sasa wanafanya kazi katika wakati mgumu mno - yaani kufanya u-turn ya nyungu na moja kwa moja kwenda kuratibu chanjo ya covid chini ya usimamizi wa mama aiseee inakuwa kazi ngumu mno.

Ningekuwa mimi nangeomba kupisha wengine.
 
Chanjo ni hiari....unataka chanja hutaki acha
 
Jinsi walivyo wanafiki wataweza tu.
 
"Only stupid people don't change their minds"..Boutros Boutros-Ghali,Secretary-General of the United Nations from January 1992 to December 1996😷😷😷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…