mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Si ndio baraza jipya hilo!?Wote WAONDOLEWE yaani Waziri wa Afya na Naibu wake kwa sababu hawawezi kuhamasisha na kusimamia chanjo waliyokuwa "WANAIKEJELI"
WOTE "OUT"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio baraza jipya hilo!?Wote WAONDOLEWE yaani Waziri wa Afya na Naibu wake kwa sababu hawawezi kuhamasisha na kusimamia chanjo waliyokuwa "WANAIKEJELI"
WOTE "OUT"
Unataka kusema nn? Kwamba Tanzania hakuna UVICO?Kama kafa kwa UVIKO kwanini tangu kifo hicho kwanini hamtoi taarifa za nani alifuatia kufa, nani kati ya waliomhudumia ameugua au kufa kwa UVIKO?
Jibu maswali uliulizwa sio kuibua kitu kingine kisichohusiana.Unataka kusema nn? Kwamba Tanzania hakuna UVICO?
Na picha za hawa watu km mbili nimeziweka ili yawe makumbusho kwa wajukuu wangu ...kua Tanzania ilipwata na viongozi km hawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii picha imenichekesha sana. Pia kunisikitisha! Hakuna viongozi hapo bali wasaka tonge tu. Ndiyo maana sijawahi kusikia kiongozi amejiuzulu zaidi ya Mwinyi alipoweka hostoria akiwa waziri wa mambo ya ndani.
😂 😂 😂 😂Wanakusikiliza kwa umakini
View attachment 1788717
Kama Mungu alitunusuru sasa hivi mnamfanyia mzaha atatulipua. Wakati wa kuvaa barakoa mlipiga marufuku na tukavuka salama sasa hivi mnaforce kitu ambacho hakipo ili kiwe... uko sahihi! Korona ni janga ila kupitia janga hilo Mungu ameinusuru sana nchi hii maana ilikuwa inaelekea kwenye majanga mabaya zaidi! Kwa kuwa yale majanga zaidi tumenusurika, tahadhari zichukuliwe ipasavyo.
Walimpotosha kivipi; Kwani Watanzania wamekufa wangapi kwa ugonjwa wa corona?sio kila ugonjwa unaoua wazungu na sisi africa lazima tufe, corona imekuwa tatizo kwasababu imetokea kwao, lakini ingeanzia africa wangekuwa wanashangilia kama wakati wa ebora, lakini kwasababu viongozi wa africa wengi ni akili tegemezi nao wanafuata mkumbo.Kama corona ingelikuwa na nguvu hivi wanavyoikuza Tanzania akuna mtu angelipona, maana maisha tuliyokuwa tukiishi tokea corona ianze kutangazwa Mungu ndiye anayejua.Sasahivi Mambo yametulia mpaka Kenya waliokuwa wakishadadia huu ugonjwa wameamua kuachana nao,wameona bora maisha yaendeleree,sisi uku ndio tunatangaza matokea ya tume eti nchi itangaze kuwa tuna corona,kisa wapate misaada na mikopo yenye unafuu.Hili ndilo tatizo la kuongozwa na Rais asiyekuwa na maono,kila kitu anategemea kusaidiwa tu.Hadi muda huu, Waziri wa Afya na naibu wake walipaswa kuwa wamejiuzuru.
Walimpotosha Magufuli na kuwapotosha watanzania kwa kupuuzia sayansi ya kupambana na Corona.
Corona imeua viongozi wetu na wananchi wetu kwa sababu ya maamuzi ya hao viumbe.
Hawa waondolewe walijazwa UJINGA NA JPMKama mtu umelazimishwa kufanya kitu ulichokuwa hukiamini ni vigumu sana kukitekeleza kwa ufanisi. Kuratibu ni pamoja na....
Kuagiza, kusafirisha, kutunza, kusambaza na....
Kuhamasisha jamii waliyoiaminisha chanjo hazifai ili ipate chanjo.
Kuhamasisha jamii kunawa mikono tiririka.
Kuhamasisha watu kuvaa barakoa wakaki wao hawazivai au walizipuuza.
Kuondoa imani kwa wananchi ya kujifukiza ili wapate chanjo.
Kurudisha imani kwa wananchi kuwa chanjo hazina madhara tena kwa sababu Tanzania haina chanjo yake chanjo zote ni za mabeberu.
View attachment 1788659
Rais wa sasa ni Samia Suluhu unatakiwa ulijue hilo.Hili ndilo tatizo la kuongozwa na Rais asiyekuwa na maono,kila kitu anategemea kusaidiwa tu.
Huyu ni Rais wa Katiba tu,sisi Watanganyika atujamchagua,ni rais wa KatibaRais wa sasa ni Samia Suluhu unatakiwa ulijue hilo.
Kama mtu umelazimishwa kufanya kitu ulichokuwa hukiamini ni vigumu sana kukitekeleza kwa ufanisi. Kuratibu ni pamoja na....
Kuagiza, kusafirisha, kutunza, kusambaza na....
Kuhamasisha jamii waliyoiaminisha chanjo hazifai ili ipate chanjo.
Kuhamasisha jamii kunawa mikono tiririka.
Kuhamasisha watu kuvaa barakoa wakaki wao hawazivai au walizipuuza.
Kuondoa imani kwa wananchi ya kujifukiza ili wapate chanjo.
Kurudisha imani kwa wananchi kuwa chanjo hazina madhara tena kwa sababu Tanzania haina chanjo yake chanjo zote ni za mabeberu.
View attachment 1788659
Maaigizo huumba uhalisia, eti kutekeleza maazimio ya kimataifa, kupata kibali cha kupata misaada na sifa za utii kwa haki za binadamu. MKama Mungu alitunusuru sasa hivi mnamfanyia mzaha atatulipua. Wakati wa kuvaa barakoa mlipiga marufuku na tukavuka salama sasa hivi mnaforce kitu ambacho hakipo ili kiwe
Kinuju Umevurugwa mbaya unaropoka ovyo kama umekunywa maji ya chooniBora wamechelewa kuleta hii report yao wangeleta mwaka 2020 hali ingekuwa mbaya sana kwa watanzania.
Wakitangaza lockdown watajilock wenyewe.
# hongera biswalo mganga kwa kuapishwa kuwa jaji ili sasa Lema akome kabisa.
Unajua chochote kitaalamu kuhusu masuala ya afya?Hakuna kilichothibitishwa kwenye ripoti ya tume yake, soma vizuri inakinzana yenyewe kwa yenyewe
Acha kunirukia kama utambulisho wako, anayetakiwa kujua utalaamu wa afya ana sura pembuzi ya kumbaini yukoje?Unajua chochote kitaalamu kuhusu masuala ya afya?
TakatakaAcha kunirukia kama utambulisho wako, anayetakiwa kujua utalaamu wa afya ana sura pembuzi ya kumbaini yukoje?
Usiniletee uanaharakati na siasa uchwara; I am not of your rogue calibre
Takataka ni mbolea sasa hapo mwenye hadhi ni nani kati yangu na wewe huna sifa ya uhaiTakataka
Sijui kina Ummy Mwalimu na genge lake wanajisikiaje? Alipokuwa anapinga ushauri wa Madakitali wakati yeye hajawahi hata kuwa mkunga wa jadi.Hii picha imenichekesha sana. Pia kunisikitisha! Hakuna viongozi hapo bali wasaka tonge tu. Ndiyo maana sijawahi kusikia kiongozi amejiuzulu zaidi ya Mwinyi alipoweka hostoria akiwa waziri wa mambo ya ndani.
Una wazimu wewe. Makamu wa rais hakupigiwa kura ndo unavyotaka kusema? Gimme a break!Huyu ni Rais wa Katiba tu,sisi Watanganyika atujamchagua,ni rais wa Katiba