chechemtungi
Senior Member
- Dec 4, 2016
- 126
- 113
Naomba nieleze hili ambalo kwenye Moyo wangu siwezi kuliacha kamwe na sintolisahau katika mwaka uliopita linalohusu hospitali ya Mwananyamala.
Mnamo Tarehe 30/12/2020 nilimsaidia majeruhi wa pikipiki ambaye alikuwa amegongwa na gari kumuwahisha hosptali kwa ajili ya Matibabu, aligongewa mitaa ya Sinza , so awali tulifika hosptali ya Palestina then palestina kwaissue ya mgonjwa ilivyo walituambia twende hosptitali ya Mwananyamala.
Hapa ndio msingi wa Jambo ambalo nataka kuwasilisha kwenu wanajamii,
Tulipofika hosptali ya Mwanayamala majila ya saa Nne usiku tuliandikisha kadi pale Reception Then tukaenda ili tuonane na daktari, tulipofika pale tuliambiwa vyumba vinavyotoa huduma ni No 3 na No 5 lakini havikuwa na mtu,
pale pembeni pakusubiria wagonjwa tulimkuta Mama mjamzito mmoja amekaa,
ilibidi tumuulize daktari kaenda wapi, Alitujibu yeye alipofika majira ya saa mbili daktari alikuwa anatoka kwenye chumba No 5 so aliniambia anarudi ,hadi muda huu Saa Nne hajarudi,
duuh kwanza hilo lilitushtua kuona mama Mjamzito kafika Muda wote huo na bado hajapata huduma ilibidi tukae tumsubilishe mgonjwa wetu tukimsubili daktari, Muda ulienda ,waliongezeka watu kadhaa pale nao wakiwa seriously kidogo ilibidi tusubili hapo muda unaenda saa tano.
Watu uzalendo ukawashinda ikabidi kila mmoja aanze kuongea kwa Jazba kidogo,
Mimi nikiangalia kushoto kwangu kuna mtu anaumwa mbavu hapumui vizuri kulia huku kuna mtu vidole vimechanika nikimwangalia mgonjwa wangu huku naye Mguu umevunjika analalamika daaah nikasema kimoyo moyo duuh hii ni hatari sasa,
Huku nikiendelea kuwaza mara ghafla aliingia Jamaa kamuweka mtoto kwenye mikono yake miwili ya mbele wanaandikisha kadi wapo haraka haraka akiwa na mama cjui kama ndio alikuwa mama wa mtoto sikujua kabisa ,
wakafika moja kwa moja kufungua mlango chumba cha kwwnza hamna mtu chumba cha pili nacho hmna mtu kama nusu saa hivi wanahangaika kumtafuta daktari.
tulipomuangalia mtoto yule tukaona analegea kabisa ilibidi tuanze kupiga kelele pale jamani dakatri ,mara tukamuona kuna jamaa anadeki kavaa kama nguo za manesi tukazani muhusika kumbe alikuwa nimfagizi wa pale akawaambia wale waliokuja na mtoto Nendeni emergence napo emergence hamna mtu wakarudi tena ikabidi twende Reception kugomba pale mara wakapiga simu wakaongea sijui na nani mara akaja Nesi pale na daktari ikabidi sisi wote tusubili Wale wenye mtoto waanze, kufungua malango kuingia ndani kwa daktari wakakaa kama dakika Moja mara mama anatoka ndani anaanza kulia, Mtoto alikuwa kashafariki tena mikononi mwao kwa kukosa huduma ya Mapema ,mtoto wa miaka 9 au 8 maskini alipoteza uhai wake mikononi mwao wazazi wake.
Wote tuliumia sana Huzuni ilikuwa imetawala kubwa sana tena sana mahali pale. Haikuishia hapo baada ya kutoka nilikuwa nikisikia kuna Mzee mmoja wa makamo alimfwata yule daktari nikisikia Maongezi yao kwa nje pale.
Mzee alimwambia Yule daktari hivi kuwa Kazi anayofanya siyo kazi yakuweka Maslahi mbele , Udkatari ni kazi ya Wito kutoka kwenye Moyo wako nasi vinginevyo sikuyamwisho ya hukumu atajibia hichi kitendo walichofanya leo mzee aliongea aya flani za kiislamu sikuweza kuzielewa maneno niliyosikia ndio hayo.
Nini nachotaka kuwasilisha kwenu kwanza kwa Watanzania na Kwa waziri wa Afya
Kwa waziri wa Afya jaribu kupitia hizi hosptali zako za serikali zinashida sana tena sana Hasa nyakati za usiku nakuachia wewe hili.
Kwa Watanzania Wenzangu kama unauwezo na umepata emergence issue nyakati za usiku kabisa please napenda kusema usimpeleke mgonjwa wako katika hosptali za serikali Nenda private kama unachochote mfukoni kama hauna haina Jinsi tujibane hivyo hivyo humu
ILA WATOA HUDUMA ZA UMMA TUJITATHIMINI, MH. MAGUFULI HAWA WATU WAMEANZA KUJISAHAU HEBU ILE KAMBA YA CHUMA ULIYOWAFUNGA 2015 HEBU IFUNGE TENA MWAKA 2021 TUMBUA TUMBUA HAWA WATU MH RAIS.
Mnamo Tarehe 30/12/2020 nilimsaidia majeruhi wa pikipiki ambaye alikuwa amegongwa na gari kumuwahisha hosptali kwa ajili ya Matibabu, aligongewa mitaa ya Sinza , so awali tulifika hosptali ya Palestina then palestina kwaissue ya mgonjwa ilivyo walituambia twende hosptitali ya Mwananyamala.
Hapa ndio msingi wa Jambo ambalo nataka kuwasilisha kwenu wanajamii,
Tulipofika hosptali ya Mwanayamala majila ya saa Nne usiku tuliandikisha kadi pale Reception Then tukaenda ili tuonane na daktari, tulipofika pale tuliambiwa vyumba vinavyotoa huduma ni No 3 na No 5 lakini havikuwa na mtu,
pale pembeni pakusubiria wagonjwa tulimkuta Mama mjamzito mmoja amekaa,
ilibidi tumuulize daktari kaenda wapi, Alitujibu yeye alipofika majira ya saa mbili daktari alikuwa anatoka kwenye chumba No 5 so aliniambia anarudi ,hadi muda huu Saa Nne hajarudi,
duuh kwanza hilo lilitushtua kuona mama Mjamzito kafika Muda wote huo na bado hajapata huduma ilibidi tukae tumsubilishe mgonjwa wetu tukimsubili daktari, Muda ulienda ,waliongezeka watu kadhaa pale nao wakiwa seriously kidogo ilibidi tusubili hapo muda unaenda saa tano.
Watu uzalendo ukawashinda ikabidi kila mmoja aanze kuongea kwa Jazba kidogo,
Mimi nikiangalia kushoto kwangu kuna mtu anaumwa mbavu hapumui vizuri kulia huku kuna mtu vidole vimechanika nikimwangalia mgonjwa wangu huku naye Mguu umevunjika analalamika daaah nikasema kimoyo moyo duuh hii ni hatari sasa,
Huku nikiendelea kuwaza mara ghafla aliingia Jamaa kamuweka mtoto kwenye mikono yake miwili ya mbele wanaandikisha kadi wapo haraka haraka akiwa na mama cjui kama ndio alikuwa mama wa mtoto sikujua kabisa ,
wakafika moja kwa moja kufungua mlango chumba cha kwwnza hamna mtu chumba cha pili nacho hmna mtu kama nusu saa hivi wanahangaika kumtafuta daktari.
tulipomuangalia mtoto yule tukaona analegea kabisa ilibidi tuanze kupiga kelele pale jamani dakatri ,mara tukamuona kuna jamaa anadeki kavaa kama nguo za manesi tukazani muhusika kumbe alikuwa nimfagizi wa pale akawaambia wale waliokuja na mtoto Nendeni emergence napo emergence hamna mtu wakarudi tena ikabidi twende Reception kugomba pale mara wakapiga simu wakaongea sijui na nani mara akaja Nesi pale na daktari ikabidi sisi wote tusubili Wale wenye mtoto waanze, kufungua malango kuingia ndani kwa daktari wakakaa kama dakika Moja mara mama anatoka ndani anaanza kulia, Mtoto alikuwa kashafariki tena mikononi mwao kwa kukosa huduma ya Mapema ,mtoto wa miaka 9 au 8 maskini alipoteza uhai wake mikononi mwao wazazi wake.
Wote tuliumia sana Huzuni ilikuwa imetawala kubwa sana tena sana mahali pale. Haikuishia hapo baada ya kutoka nilikuwa nikisikia kuna Mzee mmoja wa makamo alimfwata yule daktari nikisikia Maongezi yao kwa nje pale.
Mzee alimwambia Yule daktari hivi kuwa Kazi anayofanya siyo kazi yakuweka Maslahi mbele , Udkatari ni kazi ya Wito kutoka kwenye Moyo wako nasi vinginevyo sikuyamwisho ya hukumu atajibia hichi kitendo walichofanya leo mzee aliongea aya flani za kiislamu sikuweza kuzielewa maneno niliyosikia ndio hayo.
Nini nachotaka kuwasilisha kwenu kwanza kwa Watanzania na Kwa waziri wa Afya
Kwa waziri wa Afya jaribu kupitia hizi hosptali zako za serikali zinashida sana tena sana Hasa nyakati za usiku nakuachia wewe hili.
Kwa Watanzania Wenzangu kama unauwezo na umepata emergence issue nyakati za usiku kabisa please napenda kusema usimpeleke mgonjwa wako katika hosptali za serikali Nenda private kama unachochote mfukoni kama hauna haina Jinsi tujibane hivyo hivyo humu
ILA WATOA HUDUMA ZA UMMA TUJITATHIMINI, MH. MAGUFULI HAWA WATU WAMEANZA KUJISAHAU HEBU ILE KAMBA YA CHUMA ULIYOWAFUNGA 2015 HEBU IFUNGE TENA MWAKA 2021 TUMBUA TUMBUA HAWA WATU MH RAIS.