Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Huu ni udhaifu, hata kama angekuwa mmoja, hiyo ni hospitali ya rufaa haiwrzekani wafanye uzembe kama huo. Uzembe unaweza kuwa wa daktari au uongozi kwa kushindwa kuweka madaktari wa kuweza kusimamia changamoto za wagonjwa kama zinavyojitokeza.Daktari yupo mmoja walikuwa kama 6 hapo wanataka huduma tena za dharula na hatujui kafanya kazi muda gan au hakupata mapumziko kabisa hilo limekaaje? Tuangalie pande zote mbili ieleweke sitetei uovu
Ukimsikiliza waziri wao anaongea utagundua kinachofanyika hospital za serikali hakifikii hata 30% ya kile wanapaswa kufanya