Waziri wa Afya Oman: Asilimia 18% ya wasafiri wanaotokea Tanzania wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, tunafikiria kusitisha safari za ndege

Dawa za Madagascar nani aliona mafanikio yake mbona Chopa ya Rais ilitumwa kwenda kuzifuata zilithibitishwa wapi, huuulizi zilienda wapi na umeshawahi kuuliza nani alizibugia. Vita ya Corona ni ngumu sana shida ipo kwenye approach ya wenye dhamana, hutaki lockdown fine lakini kwa nini uhamasishe watu wasivae barakoa. Akili kichwani mwako kijana wewe Corona hautakuumiza ila mkumbuke mzazi wako bado ana hamu ya kuishi
 
Brazaj kaongelea kumsanifu mzee sio kwamba anaunga mkono jinsi alivyoandika ni kama jokes fulani lakini kijembe kwa bwana mkubwa.
mkuu watu wanaoikomba kwa MEKO mimi huwa nawaona ni MAPUNGA tu
 
Ni mkweli kabisa hakuna anoambiwa kuwa anayo Kuna kesi nyingi sana nchi mbali mbali watu wanaonekana wanayo wakati wana vyeti negative kutoka Tanzania. Huu umekuwa mtaji mkubwa wakupata hizo dola.

Wasichokijua corona ipo bongo na tunaishi nayo.
Kwa hiyo wewe unaona raha kuishi na ugonjwa, basi hapo unajiona wewe ndiyo Tupac Shakur na umejibu kishujaa kwelikweli. Mweh mataahira Nchi hii sijui yataisha lini πŸ™„
 
Kwa hiyo wewe unaona raha kuishi na ugonjwa, basi hapo unajiona wewe ndiyo Tupac Shakur na umejibu kishujaa kwelikweli. Mweh mataahira Nchi hii sijui yataisha lini [emoji849]
Nakosa cha kukujib ni km umekurupuka usingizini ama hujaelewa, haya ahsante

Jaribu tena kusoma hako kasentesi kafupi, km huelewi iache tu, si lazima ujibu jibu.
 
Nakosa cha kukujib ni km umekurupuka usingizini ama hujaelewa, haya ahsante

Jaribu tena kusoma hako kasentesi kafupi, km huelewi iache tu, si lazima ujibu jibu.
Nimeshaandika sifuti
 
Ndugu watanzania
Tangu tuingie Uchumi wa kati nchi nyingi zinatuonea wivu sana
Sisi tunasema,,,,

Sio Mitano tena ni milele kabisa tafadhali.....

Uchumi wa kati.....

Nchi hii ni tajiri sana....

Au nasema uongo ndugu zanguuuuu....

Hao waarabu wanayajua mavieitee!!!!

Sisi tunatembelea vieitee......
 
Watakuwa wanatumiwa tu na mabeberu waarabu koko hao.

Hizi ni chuki tu za mabeberu kwa kipenzi cha Mungu Dkt JPM.

Watakuwa wanatuonea wivu tu kwa kuwa tuko uchumi wa kati.

Au nasema uongo ndugu zangu?

waoman nao mabeberu ??
 
We kapigwe chanjo tu uendelee na maisha yako.....tusipangiane
 

Mit 29:1-14 SUV​

Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa..............
 
Tangu wa anze kupima Corona kwenye viwanja vya ndege Tanzania wajawai wakuta wagonjwa isije wakawa na vipimo feki kama vile vya mwakajana mpaka mapapai yalikua na ugonjwa
 
Nawahurumia wazanzibar!
Kwa kitu gani? Kilichoileta Oman Air Zanzibar sio idadi ya waoman au wazanzibari wanaokuja kutumbeleana. Ndege nyingi za International flights zinakuja Zanzibar kuleta watalii. Hatujapungukiwa na kitu. Kumbuka, kuna kipindi hapakuwa na ndege hata moja ikitua Zanzibar hapo last year tu, na watu walikuwa wanalalamikia UTALII sio ndugu/jamaa/marafiki waliopo Oman.

Anza kuwahurumia watu wa Arusha. Watalii wengi saivi wanakuja na direct flights to Zanzibar (chartered Airlines) na wanaishia Zanzibar. Wanatokea Western Europe.
 
KLM Zanzibar nasikia hawataki ufala. Hawataki hio PCR test, unafanyiwa rapid test 4 hours before flight na wanafanya wao wenyewe ndio uruhsiwe kuingia kwenye ndege zao.

Hapa tunaona kuwa kinacho icost Zanzibar ni MUUNGANO. Rais wa Zanzibar hawezi kusema kuna corona wala hakuna jitihada yoyote juu ya huu ugonjwa mpaka Rais wake atoe amri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…