Waziri wa Afya Oman: Asilimia 18% ya wasafiri wanaotokea Tanzania wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, tunafikiria kusitisha safari za ndege

Waziri wa Afya Oman: Asilimia 18% ya wasafiri wanaotokea Tanzania wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, tunafikiria kusitisha safari za ndege

Watakuwa wanatumiwa tu na mabeberu waarabu koko hao.

Hizi ni chuki tu za mabeberu kwa kipenzi cha Mungu Dkt JPM.

Watakuwa wanatuonea wivu tu kwa kuwa tuko uchumi wa kati.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ndio unasema uongo.
 
Dunia nzima tujifunze kuishi na hivi vijimafua visivyo na madhara yoyote kwa binadamu, kuzuia watu kusafiri au lockdown haiwezi kuwa suluhisho make hivi vijimafua bado vipo vipo saaana tu!
Wewe kama nani unaiambia dunia?
 
Watu wanalalamika humu, kwanin wasitengeneze chanjo zao wenyew ?wamekalia kulalamika mara ooh Wazungu wanataka watuue, Sasa najiulz mnaopinga chanjo si mtengeneze yenu?
 
Dunia nzima tujifunze kuishi na hivi vijimafua visivyo na madhara yoyote kwa binadamu, kuzuia watu kusafiri au lockdown haiwezi kuwa suluhisho make hivi vijimafua bado vipo vipo saaana tu!
Una maanisha kama huyu mhandisi?
Kwani ukiwahi kusikia kuwa tuna vipimo vya corona?
Vyetu huwa vya mbuzi na mapapai. Siyo vya watu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
View attachment 1703573
View attachment 1703577

Waziri wa Afya wa Oman amethibitisha takwimu za maambukizi ya Corona kwa wasafiri wanaotokea nchini Tanzania kuwa katika kiwango cha juu sana, ambapo asilimia 18 ya wasafiri wamekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Waziri huyo amesema wanafikiria kuzuia safari za ndege kutoka nchi zinazoonyesha kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya virusi vya corona.
Mbona hawafi wala kuumwa sasa hao wasafiri?
 
Tanzania tunakiri corona ipo. Hata Abas kashaliweka sawa. Ila tunatofautiana namna ya kukabiliana nayo. Sisi kama nchi hatuko tayar kwa chanjo ambayo haijafanyiwa uhakiki wa kutosha. Hatuko tayar kwa lockdown. Sana sana tuongeze vifaa tiba kama oxygen na watoa huduma wa kutosha ikibid. Tuchukue taadhar za kawaida kama usafi, distancing na barakoa[barakoa si muhim sana]. Tupunguze mikusanyiko isiyo ya lazma[lakin ya kiuzalishaji iendelee]. Pia tuziamin dawa zetu za asili kama kufukiza na limao na tangawizi. na tule vyakula vya kuongeza virutubisho kinga. Tuone kama herd immunity pia itafanya kaz. Tusijiingize kwenye mbinu zinazotugharim kwa tija kidogo. Muhim zaid tupunguze hofu mana huu si ugonjwa wa kuisha leo. Tukabilane nao. Lawana na laana ziwaendee waliotengeneza hiyo virus kwa maslahi yao.
Kumbe waTanzania wenye angalau akili kichwani bado mpo, safi sana..
 
View attachment 1703573
View attachment 1703577

Waziri wa Afya wa Oman amethibitisha takwimu za maambukizi ya Corona kwa wasafiri wanaotokea nchini Tanzania kuwa katika kiwango cha juu sana, ambapo asilimia 18 ya wasafiri wamekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Waziri huyo amesema wanafikiria kuzuia safari za ndege kutoka nchi zinazoonyesha kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya virusi vya corona.
18% tu alafu unasitisha safari?? Yeye nchini kwake maambukizi ni % ngapi??

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Watu wanalalamika humu, kwanin wasitengeneze chanjo zao wenyew ?wamekalia kulalamika mara ooh Wazungu wanataka watuue, Sasa najiulz mnaopinga chanjo si mtengeneze yenu?

Tuuliwe tuna nini? ARV tu ni kwa hisani ya watu wa huko huko? Achilia mbali vyandarua?

Kujikinga mwambafy kwingine, khaaa! Mbona hata kichefu chefu?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ukipinga chanjo itabidi upinge Kila kitu, pinga madawa yote ya Kizungu, pinga elimu ya Mzungu, pinga simu ya Mzungu, Pinga dini ya Mzungu, au Kama vp tengeneza chanjo yako unayoiamini iweze kutusaidia, Ila kama unapiga porojo tu na hata nguo ulizovaa zimetoka kwa Wazungu.

Ukipinga chanjo itabidi upinge Kila kitu, pinga madawa yote ya Kizungu, pinga elimu ya Mzungu, pinga simu ya Mzungu, Pinga dini ya Mzungu, au Kama vp tengeneza chanjo yako unayoiamini iweze kutusaidia, Ila kama unapiga porojo tu na hata nguo ulizovaa zimetoka kwa Wazungu basi hoja yko haina mashiko
Sasa huo ni mlinganisho wa kimahesab zaid. Maisha hayako hivyo. Kwan huwez kuwa na rafiki unaweza kufanya nae biashara lakin hamwez kukopeshana? Chanjo hii ina maswali meng kuliko majibu. Iwe kwetu. Iwe kwao. Iwe kwa jiran zao. Afya haijaribiwi. Nijibu kwanini South Africa wameisitisha chanjo? Kweli hili jiongeze maarifa zaidi ya milengo ya kisiasa. Muhim tushirikiane kumwomba Mungu ashughulike na kidudu na aliyetengeneza.
 
Sasa huo ni mlinganisho wa kimahesab zaid. Maisha hayako hivyo. Kwan huwez kuwa na rafiki unaweza kufanya nae biashara lakin hamwez kukopeshana? Chanjo hii ina maswali meng kuliko majibu. Iwe kwetu. Iwe kwao. Iwe kwa jiran zao. Afya haijaribiwi. Nijibu kwanini South Africa wameisitisha chanjo?

Chanjo ya South Africa imesitishwa kwa sababu ufanisi wake kwa virus vipya vya South Africa ni mdogo. Zipo chanjo katika zilizopo zenye ufanisi pia na kwa virus hivi. Iliyositoshwa itaelekezwa kusiko virus vya South Africa. Tatizo like wapi?

Si nchi zote zina virus daraja hili la Africa Kusini ambavyo ni vikali zaidi.

Kwani sisi vya Africa Kusini vipo hapa nchini kwetu pia? Au navyo ni nyara za serikali?

Chanjo haina maswali yoyote zaidi ya kuwa wasio wataalamu wameteka nyara mambo ya ugonjwa huu kwa maslahi binafsi.

Enyi msiokuwa katika makundi yaliyoko hatarini tafadhali fungeni midomo yenu inanuka uvundo! Mna nini cha kufanya nyie au mnawacheza shere tu hawa wanaokufa?
 
Watakuwa wanatumiwa tu na mabeberu waarabu koko hao.

Hizi ni chuki tu za mabeberu kwa kipenzi cha Mungu Dkt JPM.

Watakuwa wanatuonea wivu tu kwa kuwa tuko uchumi wa kati.

Au nasema uongo ndugu zangu?unasema ujinga wa kiwango cha juuu
 
Ndio unasema uongo.

Basi kama ninasema uongo, ukweli ni kuwa:

Hayupo beberu wala mtumiwa na beberu. Tuna gonjwa ndani ya nchi. Gonjwa hili na tulikabili vinginevyo tunachofanya ni kujidanganya tu.

Better late than never!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Chanjo ya South Africa imesitishwa kwa sababu ufanisi wake kwa virus vipya vya South Africa ni mdogo. Zipo chanjo katika zilizopo zenye ufanisi pia na kwa virus hivi. Iliyositoshwa itaelekezwa kusiko virus vya South Africa. Tatizo like wapi?

Si nchi zote zina virus daraja hili la Africa Kusini ambavyo ni vikali zaidi.

Kwani sisi vya Africa Kusini vipo hapa nchini kwetu pia? Au navyo ni nyara za serikali?

Chanjo haina maswali yoyote zaidi ya kuwa wasio wataalamu wameteka nyara mambo ya ugonjwa huu kwa maslahi binafsi.

Enyi msiokuwa katika makundi yaliyoko hatarini tafadhali fungeni midomo yenu inanuka uvundo! Mna nini cha kufanya nyie au mnawacheza shere tu hawa wanaokufa?
Hakuna anayependa mtanzania afe. Nchi hii haijawai kuzalisha shetan. Naamin kupitia chanjo hata wewe huna uhakika kuwa watu hawatakufa. Kuwa umepata suluhisho. Sio tiba ile. Haijathibitishwa ipasavyo. MRNA sio kama chanjo nyingine ulizotolea mfano. Ni bora nusu shari kuliko shari kamili. Katika vita kuna askar hupotea pia. Mashujaa. Tumetupiwa tatzo. Tulikabili kwa namna hatutazalisha tatzo kubwa zaid. Tena la kudumu.
 
Tanzania tunakiri corona ipo. Hata Abas kashaliweka sawa. Ila tunatofautiana namna ya kukabiliana nayo. Sisi kama nchi hatuko tayar kwa chanjo ambayo haijafanyiwa uhakiki wa kutosha. Hatuko tayar kwa lockdown. Sana sana tuongeze vifaa tiba kama oxygen na watoa huduma wa kutosha ikibid. Tuchukue taadhar za kawaida kama usafi, distancing na barakoa[barakoa si muhim sana]. Tupunguze mikusanyiko isiyo ya lazma[lakin ya kiuzalishaji iendelee]. Pia tuziamin dawa zetu za asili kama kufukiza na limao na tangawizi. na tule vyakula vya kuongeza virutubisho kinga. Tuone kama herd immunity pia itafanya kaz. Tusijiingize kwenye mbinu zinazotugharim kwa tija kidogo. Muhim zaid tupunguze hofu mana huu si ugonjwa wa kuisha leo. Tukabilane nao. Lawana na laana ziwaendee waliotengeneza hiyo virus kwa maslahi yao.

Huu ugonjwa unauwa zaidi wazee na wenye magonjwa mengine. Kundi jingine la walioko hatarini ni wafanyakazi wa afya.

Ujasiri wa kuwaongelea kwa sauti wahanga hawa wanao endelea kufa kama makafara tu hali nyie haliwahusu mnaupata wapi?

Unasema kuepuka mikusanyiko, ila ya uzalishaji hamna shida. Nani alikwambia ya uzalishaji haina maambukizi?

Hivi:

IMG_20210214_214251_251.jpg


Kwa nini wewe unadhani uko kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuonyesha uelekeo ufaao kuliko wataalamu wetu wa afya?

Ni Tanzania tu ambako vita hivi vimepokwa tokea kwa wataalamu wa afya. Hilo pia halikufikirishi?

Mna maslahi gani kwenye kuhozi vita hivi huku watu wakiendelea kupukutika hivi?

Serikali inajua kuwa kuna janga na ndiyo inaongeza kodi zaidi na kuzipandisha zaidi zilizokuwapo? Ili iweje?

Wapandisha kodi wenyewe ndiyo hawa hawa wasio lipa kodi stahiki au hawakupoteza kodi kabisa?

Mkuu ulichoandika mbona ni bonge la utopolo mtupu?
 
Back
Top Bottom