exactly! Hawawezi andika tofauti na Jiwe anvyotaka. Kumbuka akina Osoro Lisu aliowata Professorial rubbish!Ulichokiona ndio hicho hicho nilichokiona kinakwenda kutokea. Hapo wanakwenda tu kukoleza kitu kile kile alichokisema Magu. Tusitegemee ripoti tofauti.
Wajumbe wote hao ni watumishi wa taasisi za umma, na wapo kulinda nafasi na ajira zao. Hakuna mwenye uwezo au ujasiri wa kuja na taarifa ya haki ambayo itakuwa kinyume na maneno ya Rais.
usiitumie misemo vibaya. Tathmin kaul yako. Ha2na kchaa anaye ongoza nchi, kata, mtaa wala kijiji ukweli ni kwamba mihemko yako inakusumbua! Unakua kimwili bila kuzishnda hisia zakoKuna usemi katika kiswahili ,"kichaa kapewa rungu"
Kwani lazima urudie habari ambayo ishatumwa na attachment imewekwa? Nyumbu wengine hopelessWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Dkt. Nyambura Moremi (Mkurugenzi) na Bw. Jacob Lusekelo (Meneja Udhibiti wa Ubora) kupisha uchunguzi.
Hilo limekuja baada ya hotuba ya Mh. Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa JMT hapo jana Mei 3, 2020 ambapo alibainisha changamoto na mapungufu ya utendaji wa maabara hiyo.
Sent from my TECNO AX8 using Tapatalk
Echeni upumbavu wa kuwaonea watu. Chukueni hizo spaceman za wanyama na matunda mkapime kwenye vifaa vya kupimia malaria muone italeta majibu gani!Ni sawa "kusimamishwa" kupisha uchunguzi ni taratibu za kawaida duniani Kote nadhani.
Hawajafukuzwa hawa watumishi. Na kuwa mkurugenzi haimaanishi yeye ndiye hupima, wao ni wasimamizi wa wafanyakazi wengi.
Tuwape muda wafanye kazi yao, tusianze kuwa hukumu kabla.
Vinavyochunguzwa vingi naamini, watu uzoefu na taaluma zao hasa wahusika, machines zenyewe, chemicals/ reagents.
Na vingine tusivyo vijua.
Hivyo tuwape muda watuletee majibu.
Hahaha mimi sio mjumbe wa tume, na sio decision maker, unanionea kuniweka kundi lao.Echeni upumbavu wa kuwaonea watu. Chukueni hizo spaceman za wanyama na matunda mkapime kwenye vifaa vya kupimia malaria muone italeta majibu gani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza kuwa kweli, tusubiri tuone. Itajulikana tu, ni swala la muda tu.Shida ni lengo na mazingira ya hili tukio. Rais anatafuta visingizio baada ya kuona mikakati yake ya kupambana na korona imebuma. Imeundwa kamati nzito, lakini sidhani kama ripoti yao itawekwa hadharani. Na kama wataamua kuianika hadharani, basi haitakuwa ile orijino, ila feki. Kinachotakiwa mkubwa apate mahali pa kuficha uso wake.
Itakuwa kama ishu za ripoti ya Makinikia
Umewahi kuwa chini ya uchunguzi wa serikali, mfano TAKUKURU, ambao unaweza kuamua hatma ya ajira yako, yaani kufukuzwa kazi, au hatma ya maisha yako yaani kwenda jela, halafu unaambiwa endelea na kazi kama kawaida!!!!! Huku unajua huenda baada wiki chache ukawa jela, tena uchunguzi ni maagizo toka juu?Soma hiyo barua mistari mitatu ya mwisho.
Huyo bosi mthibiti ubora nae anapima samples ndani ya maabara?Umewahi kuwa chini ya uchunguzi wa serikali, mfano TAKUKURU, ambao unaweza kuamua hatma ya ajira yako, yaani kufukuzwa kazi, au hatma ya maisha yako yaani kwenda jela, halafu unaambiwa endelea na kazi kama kawaida!!!!! Huku unajua huenda baada wiki chache ukawa jela, tena uchunguzi ni maagizo toka juu?
Tuendelee kuwaombea wahudumu wa afya.
mkuu upo vizuri! asante sana.Ila swab kuweza kutofautisha kwa macho kuwa haikutoja kwa binadamu Ni vigumu Sana,,maana kunakuwa na unyevu tu kwenye pamba.
Macho hayawezi kudetermine kuwa huu unyevu umetoka kwenye mbuzi ama papai.
Kuna testing Aina tatu katika kudetermine infection,
1molecular test-ambayo hi ndo wanatumia kipimo Cha PCR,,wanaangalia RNA ya virus,wanaconvert into DNA kuweza kubaini uwepo wa virus,bacteria.
2,Culture testing- hii vipimo vinakuwa cultured ili kukuza bacteria,virus.
3,Antibodies test-hii wanapima damu ili kuweza kubaini antibodies dhidi ya ugonjwa huska,
So sielewi Hawa wataalamu vipi walishindwa kutofautisha RNA ya virus na ile ya maji ya papai
Member wakongwe wa jf ni werevu sana kasoro wewe bogus sana. Unashindwaje kujua kwamba nyuzi hasa za breaking news sometimes huwa zinagongana?Kwani lazima urudie habari ambayo ishatumwa na attachment imewekwa? Nyumbu wengine hopeless