Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, aagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Meneja udhibiti na ubora

Huyo jamaa yako alitaka kuona maambukizi yanaisha baada ya maombi ya siku 3, haikuwa hivyo, akaanza kuagiza watoe taarifa za wanaopona na akasema wapo 100, ni kipimo gani kilitumika, nobody knows.

Siasa ni mbaya sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto inahusu maabara, lakini katika hiyo kamati wataalam wenyewe wa maabara wapo wawili tu, tena wastaafu. Hii imekaaje?
 
dadadaki! sasa tunapambana na mashine za kupimia, corona tupa kule! Tz raha sana
 
hapan kabisa, hao wataalamu wa kada zingine waingie hapo kufanya nini?
 
quiet an idea in the middle of the storm
 
Kudeal na Corona kunaanza na kushughulikia wataalam wazembe, Acha kupotosha wewe jitihada zote za serikal ikiwemo kupeleka Ndege Madagascar hauoni tuu?
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Dr. Nyambura Moremi na Jacob Lusekelo Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.

Nimejibu Maswali kuhusu Vipimo vya Corona kwenye video hii kwa kupitia BBC Swahili:
Je papai na mbuzi wanaweza kuwa na Corona?
 

Hizi ndio Sample tulizo zipeleka Maabara kupima Corona Virus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…