Kwa hiyo hamna shughuli inayoendelea maabara ya taifa mpaka May 13, hii ni hatari kwa kweli. Maisha yetu yanawekwa rehani kizembe sana[emoji54]Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.
Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona
View attachment 1439553
Kwanza namuona kilaza .Alitakiwa apeleke hizo sample kwa mashine tano tofauti ili walau kupata usahihi wa mashaka yake. Zile sample angetuma Kampla na Nairobi pia.
Sawa,Ni huwa inachukua muda kukamilisha upimaji,lakini kumbuka upimaji haukuwa wa holela,Bali suspected case ndo walipimwa,Mimi siyo mtaalam wa maabara. Ila inawezekana wapo wachache. Pia muda unaotumika kutest sample moja; uwezo wa equipment etc. Ni mawazo yangu.
Hata huyo Mh. anatakiwa kuwajibika kwa uzembe akiwa kiongozi wa wizara husika.Yaani hii nchi. Mkurugenzi asimamishwa kazi.
And time wasting too. It is a strategy to misdirect our attention to the corona national mismanagement.Misuse of government revenues and taxpayers monies
Hakuna kosa bado, kuna tuhuma.Hata sifahamu kuna kosa gani hapo sasa.
hakuna machine hivi sasa ambazo ziko sahihi kwa sababu watu wanataka kupiga pesa tu. UK walinunua mchine kwa £20 million ambazo zinaoza tu kwa sasa na wapo njiana kudai mpunga wao. Tuwe makini tu na kujiridhisha bila kukurupuka.Hujanielewa. Lengo ni kulinganisha majibu. Na kujua effectiveness ya machine.
Tatizo lako naliona, ni kuwa mpo tofauti na mawazo ya Magufuli. Wewe unataka kuona kama machine yetu hapa Tanzania zinatoa majibu halisi, wakati yeye anaamini machine zipo Sawa ila majibu yanahujumiwa ili tuonekane hapa Tanzania kuna wagonjwa wengi.Kwanza namuona kilaza .Alitakiwa apeleke hizo sample kwa mashine tano tofauti ili walau kupata usahihi wa mashaka yake. Zile sample angetuma Kampla na Nairobi pia.
Hongera! Haka nikambinu kapya kakutufanya tusipate taarifa rasmi za maendeleo ya homa ya covid-19 kila siku.Ni sawa :kusimamishwa" kupisha uchunguzi ni taratibu za kawaida duniani Kote nadhani.
Hawajafukuzwa hawa watumishi. Na kuwa mkurugenzi haimaanishi yeye ndiye hupima, wao ni wasimamizi wa wafanyakazi wengi...
Hivyo tuwape muda watuletee majibu.