Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, aagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Meneja udhibiti na ubora

Hao wataalamu wanafanya variation kwa vifaa vile vile au wanaout souce??
Maana vifaa vya maabara hununuliwa nje!!
Mwaka huu kuna kazi tutulie tutaona mengi.

Jihadhari na CORONA hii kitu ni hatari, kuwa makini!!
 
Sielewi sasa kwanini wanaendelea kupima ikiwa ubora wa matokeo ya vipimo yana mashaka.
 
Hapo zamani za kale kulikuwa na Boss aliyeamini katika ulozi, hadi wafanyakazi walipokuwa wanaomba likizo aliamini wanaenda kumloga...

Yafaa nini kuwa na vitengo wakati Boss anajua kila kitu....!!?
 
Swadakta, basi iwe tume huru ya kuchunguza. Sio hii ambayo Rais keshatengeneza tuhuma nzito kwa wataalamu wake kisha anaunda tume ambayo wote ni waajiriwa wake anao walipa huku hatma za kazi na maisha yao zinamtegemea mtoa tuhuma. Lazima majibu yampe favor
 
Chukua mapapai watumie tena hawa wa leo watakuletea majibu yaleyale.
Jiwe anasolve tatizo kwa fukuza fukuza tu, ila mzizi wa tatizo uko palepale tu.
 
Yani wewe ni mjinga kwelikweli. Sasa unetoa upuuzi gani huu. Unajua wanaopimwa wanakuwa katika stage gani? Ni sawa na unaenda kupima kuthibitisha kama una Cancer wakati upo stage 4. Tumieni akili
 
Ulichokiona ndio hicho hicho nilichokiona kinakwenda kutokea. Hapo wanakwenda tu kukoleza kitu kile kile alichokisema Magu. Tusitegemee ripoti tofauti.

Wajumbe wote hao ni watumishi wa taasisi za umma, na wapo kulinda nafasi na ajira zao. Hakuna mwenye uwezo au ujasiri wa kuja na taarifa ya haki ambayo itakuwa kinyume na maneno ya Rais.
 
Watende haki wasiende na majibu ya kuwapendeka wakubwa wao. Bado sioni kama hii ni tume huru.
 
Kweli kabisa. Tume hii ingekuwa na maana kama mzee angeficha kwanza yale majibu yake ili kuja kuyathibitisha mbaada ya majibu ya tume hii. Vinginevyo ni kwenda kuwaonea watu na kumfurahisha zaidi jamaa.
 
Yani wewe ni mjinga kwelikweli. Sasa unetoa upuuzi gani huu. Unajua wanaopimwa wanakuwa katika stage gani? Ni sawa na unaenda kupima kuthibitisha kama una Cancer wakati upo stage 4. Tumieni akili
wajinga ndio waliwao!! angalia usiambukize wanao ujinga wa kuto think before you vaporize! mkuu unatumia data za US au za wapi? lazima utakuwa dokta tu wewe , hivi hukusikia habari ya samples za mafenesi mapapai kware mbuzi na kondoo na majibu yao? hivi hujui bongo watu wanapimwa na mashine feki maabara feki wahudumu wa Maabara incompetent wewe peke yako tu ndo umebaki unaamini hizo takwimu!!
 
Shida ni lengo na mazingira ya hili tukio. Rais anatafuta visingizio baada ya kuona mikakati yake ya kupambana na korona imebuma. Imeundwa kamati nzito, lakini sidhani kama ripoti yao itawekwa hadharani.

Na kama wataamua kuianika hadharani, basi haitakuwa ile orijino, ila feki. Kinachotakiwa mkubwa apate mahali pa kuficha uso wake.

Itakuwa kama ishu za ripoti ya Makinikia
 
MMmmmh wakiwekwa wataalamu wa kada zingine na wao si watasangaa kuona sampuli ya papai inasoma positive coona?
 
Ya Dr.Mwele Malecela yanajirudia, huyu bwana sijui vipi,ilifika mahali alimshingizia Dada wa watu kuwa anatumika na mabeberu ukiwa unawaapisha viongozi ikulu..anashindwa Ku handle mambo ya kitaifa na kuanza kusingizia watu wanatumika kila siku wewe tu unahujumiwa na mabeberu kwa kipi hasa kama mikataba inayohusu rasilimali za nchi viongozi waliokutangulia kabla yako na hata wewe pia umesaini hiyo mikataba ya kimangungo kupitia serikali yenu ya kiCCM

Hao walioundiwa tume wala wasijipe hope ya kurudi kwenye nafasi zao baada ya uchunguzi kupita kwa sababu hiyo tume kamwe haitokwenda kinyume na mawazo ya bwana bichwa na watu hao wataaenda mbali zaidi na kusema sio sample hizo tu za mapapai,fenesi n.k bali wanaweza kuweka vitu ambavyo hata bwana mkubwa hakuvitaja ili wapate kumfurahisha.

Mmeacha kupambana na korona mnaanza kudeal na watu hii serikali bana sijui ipoje na siku ya hiyo report kuletwa mezani kwa bwana bichwa gari zitapita mtaani na kutangaziwa kuanzia mida fulani tukae karibu na runinga zetu...hapo hakuna cha ziada zaidi ya kuwatoa kafara
 
mtanzania ukishindwa kuchukua tahadhali na kujilinda mwenyewe wakati tahadhali zote zimetolewa na watalaam wa afya kifuatacho .... ?

kaburi
 
Wangekuwa wanasiasa kama Mwigulu wanaotegemea Siasa kuishi ingekuwa tatizo ila watu wenye taaluma ya udaktari ( afya kwa ujumla) ni sawa na kumpiga teke chura kama Mwele
 
Na wale manabii wanaowashawishi wafuasi wao kuwa Corona haitawagusa hivyo wasiwe na wasiwasi, je hawa wanatekeleza maagizo ya wataalamu?
 
Usikute pengine apparatus na laboratory chemicals zilishachakaa kitambo na bajeti zilisha pelekwa wizarani lakini fungu halikutolewa kwa wakati leo wanalaumiana mbona hayo mambo yanatokea kwenye maabara za shule nafikiri hadi leo yanatokea sana tu lakini kwakua hakuna pa kuyasemea na mtu wa kuyasema basi wanafunzi kila siku wanafeli mitihani ya practical kutokana na ubovu wa vifaa na chemicals.
 
Narudia narudia tena tuna raisi wa ajabu kweli kweli haijawahi kutokea
 

Inawezekana maji ya papai yalikuwa contaminated na Virus. Wamepima maji ya papai kudetermine presence of virus. They found it positive . I.e the virus was présent


Mk54
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…