Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameifunga ofisi ya Idara ya Ardhi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kuamuru Watumishi wa Idara hiyo kuhamia kwenye Ofisi za Kamishna wa Ardhi Mkoa.
Hatua hiyo inafuatia kukithiri kwa migogoro ya ardhi katika jiji hilo linalotajwa kuwa na kesi zaidi ya 3,000 za ugawaji wa viwanja kwa wamiliki zaidi ya mmoja.
Dawa ni kupanda miti na kujenga.Huko kwenye ardhi kuna machozi ya watu wengi Sana. Jamaa hawana huruma kabisa. Mnasema polisi ni makatili na wala rushwa, siku ukikutana na watu wa ardhi utajua haujui. Nenda Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Vijijiji ukajionee mwenyewe.
Amefanya jambo zuri. Maana Jiji la Dodoma limeoza kwenye ishu ya viwanja. Siyo kwa watendaji, wapimaji, na madalali! Wote ni utapeli tu kwa kwenda mbele.
Binafsi sina hamu nako.
Sijajua ni kwanini mtu uwe na hamu na semi-arid Dodoma region
SawaHujui usemalo….
Nani kwenu ana mimba ya CHADEMA nn? huishi kuitaja aisee!!Chadema watapinga
Usituletee ushuzi wa Makonda, yule hata akili hanaMakonda na Jerry Slaa ndiyo wanaoibeba serikali ya Samia kwa sasa
Ila jamaa atatenguliwa soon. Mashambulizi anayoyapata siyo madogoUsituletee ushuzi wa Makonda, yule hata akili hana
Uko sahi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameifunga ofisi ya Idara ya Ardhi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kuamuru Watumishi wa Idara hiyo kuhamia kwenye Ofisi za Kamishna wa Ardhi Mkoa.
Hatua hiyo inafuatia kukithiri kwa migogoro ya ardhi katika jiji hilo linalotajwa kuwa na kesi zaidi ya 3,000 za ugawaji wa viwanja kwa wamiliki zaidi ya mmoja.
uko sahihi wafanyie kazi sehemu moja, ubunifu mzuri sana
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameifunga ofisi ya Idara ya Ardhi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kuamuru Watumishi wa Idara hiyo kuhamia kwenye Ofisi za Kamishna wa Ardhi Mkoa.
Hatua hiyo inafuatia kukithiri kwa migogoro ya ardhi katika jiji hilo linalotajwa kuwa na kesi zaidi ya 3,000 za ugawaji wa viwanja kwa wamiliki zaidi ya mmoja.