Nimesikitika sana kwa baadhi ya watu kutoa sifa kwa huyo waziri pasipo kujua.
ni hivi kwa sasa idara ya ardhi ktk halmashauri za wilaya au majiji ina report kwa makamishna wa ardhi sio kwa wakurugenzi wa jiji au halmashauri
kwaiyo kuifunga hiyo ofisi ni jambo la kawaida
ni hivi kwa sasa idara ya ardhi ktk halmashauri za wilaya au majiji ina report kwa makamishna wa ardhi sio kwa wakurugenzi wa jiji au halmashauri
kwaiyo kuifunga hiyo ofisi ni jambo la kawaida