DOKEZO Waziri wa Dkt. Doroth Gwajima fuatilia kituo cha watoto yatima cha Ijango Ziada Ophanage

DOKEZO Waziri wa Dkt. Doroth Gwajima fuatilia kituo cha watoto yatima cha Ijango Ziada Ophanage

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Una dondoo zozote kuhusu tuhuma hizi mkuu hata PM waweza kuja
Huyu mama alikuwa anaishi Bukoba alikuwa ana kituo cha watoto yatima akakimbia kwa kashfa za utapeli akahamia Dar maeneo ya magomeni,
 
Umeandika kimbeya sana hakuna facts hata moja, how can kukosa hewa kuuwe mmoja tu kati ya wengi? Au umefukuzwa kazi,?
Unafikiri hayo majini mnayofuga yatawasudia kuchomoka kwenye vyombo vya dola?
 
Huyu mama tumripoti miezi kadhaa iliyopita kuendesha kituo cha watoto yatima kichokuwa na viwango,amekumbwa na tuhuma za kutaka kudhulumu nyumba aliyopanga hapo sinza madukani
 
Waziri wa ustawi wa jamii tunakuomba ufuatilie kutuo hichi kituo, ambacho kiko Sinza Madukani kinamillikiwa na mwanamama aitwae Ziada Ijango, kituo hichi kinahatarisha afya za watoto kina watoto wengi mpaka wengine wanalala nje kwa kukosa nafasi, pia huyu mama amekuwa akiwatumia hawa watoto kama investment ili kupata pesa kutoka kwa wafadhili mbalimbali.

Baadhi ya maofisa wa ustawi wa jamii wamekuwa wakihongwa na huyu mama ili kuficha yanayoendelea, last week kuna mtoto anadaiwa kufariki kwa kukosa hewa safi
Huyo mama ameshafukuzwa huko Sinza kwani alitaka kutapeli nyumba aliyopanga amehamia mikocheni,nitapeli wa kimataifa anatumia watoto na dini ya kiislam kujipatia pesa
 
Mikocheni ya sehemu gani mkuu, nahitaji kupeleka mtoto
Huyo mama ameshafukuzwa huko Sinza kwani alitaka kutapeli nyumba aliyopanga amehamia mikocheni,nitapeli wa kimataifa anatumia watoto na dini ya kiislam kujipatia pesa
 
Huyo mama ameshafukuzwa huko Sinza kwani alitaka kutapeli nyumba aliyopanga amehamia mikocheni,nitapeli wa kimataifa anatumia watoto na dini ya kiislam kujipatia pesa

Tuhuma zako haziko consistent, ulianza na mazingira duni na kujaza watoto kupita uwezo, ukaja na kifo cha mtoto, kisha sio raia, halafu hongo kwa maafisa ustawi na sasa kutaka kudhulumu nyumba. Nadhani kuna kitu kinaendelea baina yenu nje ya tuhuma hizi.
 
Tuhuma zako haziko consistent, ulianza na mazingira duni na kujaza watoto kupita uwezo, ukaja na kifo cha mtoto, kisha sio raia, halafu hongo kwa maafisa ustawi na sasa kutaka kudhulumu nyumba. Nadhani kuna kitu kinaendelea baina yenu nje ya tuhuma hizi.
Huyo mama ni tapeli alikuwa amepanga magomeni akafukuzwa na mwenye nyumba then akahaamia sinza nako wamemfukuza alitaka kutapeli nyumba
 
Nimewahi kupeleka msaada hapo. Nakumbuka unashuka Sinza Madukani. Unaenda uelekeo wa Namnani Hotel kama sijakosea.

Sidhani shutuma za uraia kama ni za kweli. Watanzania mnaogopa sana wageni.
Keshafukuzwa hapo Sinza huyo mama mfuga mjini,majirani tutapumua alikuwa kero
 
Back
Top Bottom