- Thread starter
- #21
Huyu mama alikuwa anaishi Bukoba alikuwa ana kituo cha watoto yatima akakimbia kwa kashfa za utapeli akahamia Dar maeneo ya magomeni,Una dondoo zozote kuhusu tuhuma hizi mkuu hata PM waweza kuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama alikuwa anaishi Bukoba alikuwa ana kituo cha watoto yatima akakimbia kwa kashfa za utapeli akahamia Dar maeneo ya magomeni,Una dondoo zozote kuhusu tuhuma hizi mkuu hata PM waweza kuja
Jibu zuri sanataarifa wanazo usalama wa taifa na mkuh wa mjeshi wewe hazitakusaidia
Jina lako .....Nimewahi kupeleka msaada hapo. Nakumbuka unashuka Sinza Madukani. Unaenda uelekeo wa Namnani Hotel kama sijakosea.
Sidhani shutuma za uraia kama ni za kweli. Watanzania mnaogopa sana wageni.
Komeo la chumaJina lako .....
Unafikiri hayo majini mnayofuga yatawasudia kuchomoka kwenye vyombo vya dola?Umeandika kimbeya sana hakuna facts hata moja, how can kukosa hewa kuuwe mmoja tu kati ya wengi? Au umefukuzwa kazi,?
Huyo mama ameshafukuzwa huko Sinza kwani alitaka kutapeli nyumba aliyopanga amehamia mikocheni,nitapeli wa kimataifa anatumia watoto na dini ya kiislam kujipatia pesaWaziri wa ustawi wa jamii tunakuomba ufuatilie kutuo hichi kituo, ambacho kiko Sinza Madukani kinamillikiwa na mwanamama aitwae Ziada Ijango, kituo hichi kinahatarisha afya za watoto kina watoto wengi mpaka wengine wanalala nje kwa kukosa nafasi, pia huyu mama amekuwa akiwatumia hawa watoto kama investment ili kupata pesa kutoka kwa wafadhili mbalimbali.
Baadhi ya maofisa wa ustawi wa jamii wamekuwa wakihongwa na huyu mama ili kuficha yanayoendelea, last week kuna mtoto anadaiwa kufariki kwa kukosa hewa safi
Huyo mama ameshafukuzwa huko Sinza kwani alitaka kutapeli nyumba aliyopanga amehamia mikocheni,nitapeli wa kimataifa anatumia watoto na dini ya kiislam kujipatia pesa
Huyo mama ameshafukuzwa huko Sinza kwani alitaka kutapeli nyumba aliyopanga amehamia mikocheni,nitapeli wa kimataifa anatumia watoto na dini ya kiislam kujipatia pesa
Huyo mama ni tapeli alikuwa amepanga magomeni akafukuzwa na mwenye nyumba then akahaamia sinza nako wamemfukuza alitaka kutapeli nyumbaTuhuma zako haziko consistent, ulianza na mazingira duni na kujaza watoto kupita uwezo, ukaja na kifo cha mtoto, kisha sio raia, halafu hongo kwa maafisa ustawi na sasa kutaka kudhulumu nyumba. Nadhani kuna kitu kinaendelea baina yenu nje ya tuhuma hizi.
Aisee si mchezoHuyo mama ni tapeli alikuwa amepanga magomeni akafukuzwa na mwenye nyumba then akahaamia sinza nako wamemfukuza alitaka kutapeli nyumba
Keshafukuzwa hapo Sinza huyo mama mfuga mjini,majirani tutapumua alikuwa keroNimewahi kupeleka msaada hapo. Nakumbuka unashuka Sinza Madukani. Unaenda uelekeo wa Namnani Hotel kama sijakosea.
Sidhani shutuma za uraia kama ni za kweli. Watanzania mnaogopa sana wageni.
Misaada hatupeleki kwa matapeli kama huyo mamaMisaada mnapeleka.au kulaumu tu