Waziri wa Elimu anasimamia asichokiamini? Mwanae anasoma English Medium

Waliopo hawana tofauti na wezi, majambazi, majangili
 
Sasa njoo na utar

Nasema tena, usiturudishe ujimani ebo!! Mpuuzi kweli wewe, eti kwa kuwa ni waziri wa elimu basi apeleke watoto wake shule za kata? What a hopeless thinking?
Ndio maana mbunge msukuma anawatukanaga tu.

Pumbavuuuuuuuu.
 
Uzi wako ungekuwa na maana sana endapo ungewataja haonwatoto wa Waziri ni akina nani hasa na wanasoma Shule gani? Maana naona kama umepiga porojo tupu au dhahania. Weka wazi, watoto wake wanasoma English Medium ipi na wakina nani hao? Inaonekana unawajua.
 
Jitu kama wewe ndio mnarudisha maendeleo ya taifa nyuma. Potelea mbali na mawazo yako ya kijima. Tulishatoka huko. Eti waziri asomeshe mtoto wake shule ya kata ndio ulizike? Thinking ya kijinga kabisa. Naona unachuki na waziri na si vinginevyo.
Hujakosea mke wangu mtamu.
 
Magufuli angekuwepo tungemshauri aweke kigezo viongozi wote waoneshe mfano watoto wao wasome shule za umma. Kama hataki aachie uongozi. Hili wazo jiwe asingelikataa. Ungekuwa ndiyo mwanzo wa kuboresha shule za umma.
 
Magufuli angekuwepo tungemshauri aweke kigezo viongozi wote waoneshe mfano watoto wao wasome shule za umma. Kama hataki aachie uongozi. Hili wazo jiwe asingelikataa. Ungekuwa ndiyo mwanzo wa kuboresha shule za umma.
Unajua watoto wa Magufuli husoma FEZA Schools?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…