Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani private schools hazisimamiwi na Wizara ya Elimu?Heshima sana wanajamvi,
Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.
Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.
Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.
Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.
Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Wanafiki tu hao. Kuwa Waziri na kumsomesha mtoto Ulaya hakumfanyi asijue kinachoendelea shule za hapa. Yeye no mdau wa elimu, na isitoshe ametokea huko huko Kayumba.Mtanzania yeyote mwenye pesa lazima atampeleka mwanae/ wanae shule za private ( english medium) hata wewe unayelialia humu ni kwa sababu huna hela vinginevyo wanao umgewasomesha private.
Siku zote matunzo ya watoto yanatakiwa yaakisi uwezo wa wazazi.
Ukiwa na pesa ukiugua utaenda hospitali ya private hali kadhalika na elimu ni hivyo hivyo. Kiwango cha pesa ulichonacho au unachoingiza
ndio determinant uishi wapi, utibiwe wapi na mwanao asome shule gani.
Hivyo si kosa mawaziri kusomesha watoto wao shule za binafsi.
Kusoma nje ndio kupata exposure ,au umeamua tu kumnanga JPM ,eti kakosa elimu ya nje ,wewe ulosoma wap? Elimu ya nje inasaidia ,kujua kingereza? Shame on u!Umesema Nyerere alisomesha watoto wake shule za Kayumba, sawa.
Mzee Mwinyi alisomesha watoto wake Uingereza. Mzee Jomo Kenyatta alisomesha watoto wake international school leo hii Uhuru Kenyatta ni Rais na Hussein Mwinyi ni Rais.
Watoto wa Nyerere waliosoma shule za Kayumba wameishia wapi???
Jamani acheni mawazo ya "ujima". Ukiwa Waziri au siyo waziri ili mradi tu una uwezo, somesha watoto wako hata kama ni Ulaya wapeleke wakasome, elimu ni muhimu sana kwa watoto.
Elimu yetu ya Tanzania haijitoshelezi, wote tulimwona Rais aliyepita alivyokuwa na mapungufu ya kukosa elimu ya nje. The guy had no exposure.
Waacheni wenye uwezo wasomeshe watoto wao kwenye shule za maana. Hizo za Kayumba ni zenu ninyi maskini.
Naona una hallucination kijana. Unamtafutia visa tu waziri. Kwani amefanya kosa gani kupeleka watoto wake katika shule anayotaka kama uwezo upo. Achana na haya mawazo ya kijima dogo.
Waziri ni raia kama raia mwingine ana uhuru wa kuchagua kulingana na kipato chake acheni ukiritimbaMawaziri wote wanatakiwa watoto wao wasome shule za umma
almost mawaziri na wabunge wote watto wao wapo international , had watoto wa msukuma ila wanawalazimisha msomeshe kayumba KISWAHILI MEDIUM.Heshima sana wanajamvi,
Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.
Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.
Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.
Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.
Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Tutajieni mawaziri na viongozi wote ambao watoto wao wanasoma shule za private.Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Acha ujinga, si wameboresha mazingira ya kusomea na kujifunzia mbona watoto wao hawapo kwenye shule za umma?Waziri ni raia kama raia mwingine ana uhuru wa kuchagua kulingana na kipato chake acheni ukiritimba
Its because of people like you tz will remain among the poorest countries in this world, if you dont understand what the topic is all abaut, just shut up pls, this is a discussion of another level, sio ya pale kwenu kijiweniNaona una hallucination kijana. Unamtafutia visa tu waziri. Kwani amefanya kosa gani kupeleka watoto wake katika shule anayotaka kama uwezo upo. Achana na haya mawazo ya kijima dogo.
Unaelewa nini kuhusu neno "exposure?"Kusoma nje ndio kupata exposure ,au umeamua tu kumnanga JPM ,eti kakosa elimu ya nje ,wewe ulosoma wap? Elimu ya nje inasaidia ,kujua kingereza? Shame on u!
Hawana nia njema na wananchi ni matapeli tupuHili lingewekwa kwenye katiba ama kigezo cha uongozi uone kama watu watakimbilia huko waliko
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Una kichaa wewe, kwanini wanasema wameboresha elimu kama wameboresha kwanini watoto wao wasiwe wa mfano?Mtanzania yeyote mwenye pesa lazima atampeleka mwanae/ wanae shule za private ( english medium) hata wewe unayelialia humu ni kwa sababu huna hela vinginevyo wanao umgewasomesha private.
Siku zote matunzo ya watoto yanatakiwa yaakisi uwezo wa wazazi.
Ukiwa na pesa ukiugua utaenda hospitali ya private hali kadhalika na elimu ni hivyo hivyo. Kiwango cha pesa ulichonacho au unachoingiza
ndio determinant uishi wapi, utibiwe wapi na mwanao asome shule gani.
Hivyo si kosa mawaziri kusomesha watoto wao shule za binafsi.
Hii nayo inahitaji tafakuri. Lakini mimi nakumbuka miaka ile tusoma. Wanafunzi ambao hawakuchuguliwa kjiunga na kidato cha kwanza shule za umma,hao ndo wazazi wao waliwatafutia shule binafsi. Lakini sasa imekuwa kinyume chake. Aliyechaguliwa shule ya umma haendi badala yake anatafutiwa na mzazi shule binafsi kwa udi na uvumba.Wazazi wapi? Hawa wa kibongo? Ambaye yupo radhi awashe gari hadi posta hata akichelewa foleni ili aonekane anazo ikiwa kuna UDART ambayo anaweza wahi bila tatizo.
Wabongo tunapenda show offs na ile trend ya kupeleka watoto shule za kata hata kwa wazazi wenye ilikuwa ina influence hata usimamizi na maboresho ya shule sababu hata michango walitoa panapohitajika.Hii nayo inahitaji tafakuri. Lakini mimi nakumbuka miaka ile tusoma. Wanafunzi ambao hawakuchuguliwa kjiunga na kidato cha kwanza shule za umma,hao ndo wazazi wao waliwatafutia shule binafsi. Lakini sasa imekuwa kinyume chake. Aliyechaguliwa shule ya umma haendi badala yake anatafutiwa na mzazi shule binafsi kwa udi na uvumba.
Njaa inakusumbua ndio maana unaandika pumba.Una kichaa wewe, kwanini wanasema wameboresha elimu kama wameboresha kwanini watoto wao wasiwe wa mfano?
Kwa sababu ww ni public servant lazima watoto wako wasome shule za kata?this is such a dumb take....haya mawazo ni ya kidikteta.Heshima sana wanajamvi,
Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.
Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.
Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.
Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.
Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Uchawi upo kwa waliopo Bungeni usikute yeye ndiyo mwenye afadhali kidogo.Ila kusema kweli hakuna Waziri ambae sijawahi kumkubali maisha yangu yote kama huyu Ndalichako. Halafu hiyo wizara habanduki na hana jipya kabisa. Sijui kaloga.