Waziri wa Elimu anasimamia asichokiamini? Mwanae anasoma English Medium

Waziri wa Elimu anasimamia asichokiamini? Mwanae anasoma English Medium

Hiki ndicho alichokimaanisha mkuu wa mkoa wa dodoma.

Huyu ni mtoto wa waziri wa tamisemi anayesimamia elimu ngazi ya msingi na sekondari na hapa akiwa amevalia uniform ya international school. Inshort hata waziri hana imani na shule za serikali unafikiri ndio atakuwa na uchungu na mwanao anayesoma shule ya kata?


View attachment 1852747

I stand with Antony mtaka!
Du!
 
... hiyo ndio inaitwa the ruling class Chief! Kuiondoa ili kurudisha madaraka kwa wananchi sio lelemama! Shida zaidi ni mbumbumbu waliotengenezwa makusudi "kuiabudu" the ruling class.
Jamii ikaelimika tutawatoa tu hakuna namna, hata sahivi hawaongozi kwa amani kama miaka 20 iliyopita wana pressure sn
 
... alivyokubali kuandika "historia mpya" ya Tanzania anayoijua yeye na aliyemtuma nilimdharau mazima. Ingekuwa ni issue ya maana asingeruhusu mchakato ufutwe baadaye. Hii inaonesha ni mtu asiye na msimamo na asiyesimamia taaluma badala yake ni fuata upepo mradi madaraka yapo! Halafu utasikia wakipayuka majukwaani "vijana mkajiajiri" wakati wao wanalilia 70+.
Mkuu Yule jamaa ambaye ameshaenda zake kuna waziri katika Serikali yake angeweza kuwa na msuli wa Kumbishia ?
 
Mkuu Yule jamaa ambaye ameshaenda zake kuna waziri katika Serikali yake angeweza kuwa na msuli wa Kumbishia ?
... basi leo wasimame hadharani waseme walitishwa tutawasamehe kinyume chake ndio hao hao wanaendekeza upumbavu wa legacy; tuwaeleweje? Mbona Dr. Diallo kaeleza yake na waTz wamemwelewa vizuri sana?
 
Heshima sana wanajamvi,

Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.

Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.

Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.

Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.

Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.

Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Kweli Tanzania ni nchi ya ajabu kama ulivyosema ndio maana huelewi kuwa hata shule za binafsi za english medium zinasimamiwa na wizara ya elimu! Pia unaelezea watoto wa Ndalichako kusoma hizo shule za english medium kwa kudhania tu bila kuwa na uhakika ana watoto wangapi na wanasoma shule zipi lakini umeandika uzushi kuwaaminisha watu kitu usichokifahamu. Tatu unazungumzia enzi ya Nyerere miaka ya sitini, sabini na themanini wakati hakukuwepo hizo shule unazoziita english medium.

Fanya kazi ujiletee maendeleo itakusaidia kupunguza stress imayozaa chuki ambazo hazisaidii kitu.
 
Hii nchi itaendelea kuwepo tu na watu wenye madaraka wataendele kumenya tu!

Kwa hali ilivyo ngumu halafu mtu anashabika elimu wakati hela hana kmmmk inashangaza sana! Maskini mnapigwa tag ya uzalendo na kulipishwa kodi wao wanabunya tu na kutembelea ma V8 yale!

Solidarity Tax ndio italeta maendeleo wananchi tukaze mkanda tujenge madarasa na kuweka miundombinu ya umeme na maji [emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee... Naona umewaamulia leo[emoji23][emoji23]... Punch after punch
 
Mawaziri wote wanatakiwa watoto wao wasome shule za umma
Mtanzania yeyote mwenye pesa lazima atampeleka mwanae/ wanae shule za private ( english medium) hata wewe unayelialia humu ni kwa sababu huna hela vinginevyo wanao umgewasomesha private.

Siku zote matunzo ya watoto yanatakiwa yaakisi uwezo wa wazazi.

Ukiwa na pesa ukiugua utaenda hospitali ya private hali kadhalika na elimu ni hivyo hivyo. Kiwango cha pesa ulichonacho au unachoingiza
ndio determinant uishi wapi, utibiwe wapi na mwanao asome shule gani.

Hivyo si kosa mawaziri kusomesha watoto wao shule za binafsi.
 
Heshima sana wanajamvi,

Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.

Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.

Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.

Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.

Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.

Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Tuanze na Mtaka atuambie watoto wake wanasoma shule za wapi na nchi gani

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Haya ni mawazo mufilisi sana.... mambo ya familia ya waziri ni mambo yake binafsi. Uwaziri ni kazi yake, na watoto wake ni mambo ya familia yake yeye na mume au mke wake, wanapanga mtoto akasome wapi, sio wananchi ndio wamuamulie.

Tuache mawazo ya kishamba, tupambane kuboresha huduma za elimu ili ziwe na viwango vinavyolingana na hizo English Medium lakini sio kuwavuta watu huku chini. Uwaziri ni wa kwake, kamwe usiende kuamua familia zao zinaishi vipi.
 
Hawa wenye watoto wanaosoma canada na international school matamko yao hayajabeba uhalisia wowote kwa wadanganyika wanyonge....
 
Heshima sana wanajamvi,

Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.

Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.

Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.

Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.

Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.

Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Acha ukasuku tutajie mtoto wa Waziri anayesoma nje ya nchi au kwenye english medium.
 
Ngongo
Kuna kosa Mtanzania yeyote kusomesha watoto shule anayoipenda? Hilo sidhani kama ni kosa kwa mtu yeyote yule. Hilo ni suala la kifamilia na ni maamuzi ya kifamilia. Hayapaswi kuingiliwa.

Hoja iwe ni jinsi gani Waziri anatatua changamoto za Watanzania katika suala zima la elimu. Apigwe mawe au apeee sifa eneo hilo, na sio mambo binafsi ya kifamilia.

Hata akisomesha mtoto Harvard, it's none of our business. Our business is for the minister to do his job accordingly.

Kwa hili umekuwa unfair!
 
Heshima sana wanajamvi,

Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.

Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.

Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.

Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.

Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.

Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Kwani watoto wa Mataka wanasoma wapi?
 
Umesema Nyerere alisomesha watoto wake shule za Kayumba, sawa.

Mzee Mwinyi alisomesha watoto wake Uingereza. Mzee Jomo Kenyatta alisomesha watoto wake international school leo hii Uhuru Kenyatta ni Rais na Hussein Mwinyi ni Rais.

Watoto wa Nyerere waliosoma shule za Kayumba wameishia wapi???

Jamani acheni mawazo ya "ujima". Ukiwa Waziri au siyo waziri ili mradi tu una uwezo, somesha watoto wako hata kama ni Ulaya wapeleke wakasome, elimu ni muhimu sana kwa watoto.

Elimu yetu ya Tanzania haijitoshelezi, wote tulimwona Rais aliyepita alivyokuwa na mapungufu ya kukosa elimu ya nje. The guy had no exposure.

Waacheni wenye uwezo wasomeshe watoto wao kwenye shule za maana. Hizo za Kayumba ni zenu ninyi maskini.
 
Back
Top Bottom