Waziri wa Elimu anasimamia asichokiamini? Mwanae anasoma English Medium

Waziri wa Elimu anasimamia asichokiamini? Mwanae anasoma English Medium

Ni mchonganishi balaa huyo bibi
😆😆😆😆😆😆uchonganishi, uzushi na majungu ndio tabia na jadi ya watu kutoka Kigoma. Yuko radhi amharibie mwenzie ili yeye apande. Kuna kijana mmoja yuko hapa Bohari ya Dawa MSD ni mshenzi balaaa anaitwa Frank Nkone.

Huyu kijana kaharibia wenzake kimajungu mpaka wengine wamefukuzwa kazi na wengine kuhamishwa kabisa, lakini tunamlia timing!!

Juzijuzi hapa alimrubuni afande DG wa MSD mpaka akapewa ukurugenzi wa manunuzi wakati hajasomea hata kidogo hiyo wakati wapo wenye sifa na fani yao.

Tunaishukuru Wizara ya Afya bada ya kusikia hilo wali-intervene mpaka akatolewa kwenye hiyo nafasi. Na cha ajabu katika mojawapo ya vikao vya ndani alipoulizwa Chief Internal Auditor ndugu Robert Biah kwamba yeye analionaje hilo alisema yeye hana shida na Frank Nkone!! - ujinga mtupu!!
 
Ndio ukweli lazima tuambiane maana ndio mfumo wa maisha ulivyo ila ulaya sidhani kama haya mambo yapo! Yani kwa hali hio umaskini kwenye hio familia hautakaa ubishe hodi labda itokee vita mambo yaparanganyike [emoji23][emoji23][emoji23]!

Sasa we na degree yako ya chuo cha kata utatoboaje maisha ndugu yangu! Inabidi ukanunue mahindi tu simu2000 pale utafte kijiwe kituoni utege upate angalau hela ya kula na kodi! Huku ukibishania katiba mpya [emoji23][emoji23][emoji23] maana umesikilizia michongo mpaka viatu vimeisha suruali zimeisha ulizonunuaga kwa boom!
Shem unagonga kwenye mfupa ujue? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
wanachotaka wadogo zetu wawe ma-barmade, security guard, walimu, mgambo, bodaboda, konda, madereva, police, watendaji wa mitaa. Kifupi hawa jamaa hawana nia njema na masikini.
Acha cheap propaganda kijana. Kwahiyo hiyo nia njema ni kuwafanya watoto wasome bila kupumzika? Hopeless thinking.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]uchonganishi, uzushi na majungu ndio tabia na jadi ya watu kutoka Kigoma. Yuko radhi amharibie mwenzie ili yeye apande. Kuna kijana mmoja yuko hapa Bohari ya Dawa MSD ni mshenzi balaaa anaitwa Frank Nkone.

Huyu kijana kaharibia wenzake kimajungu mpaka wengine wamefukuzwa kazi na wengine kuhamishwa kabisa, lakini tunamlia timing!!

Juzijuzi hapa alimrubuni afande DG wa MSD mpaka akapewa ukurugenzi wa manunuzi wakati hajasomea hata kidogo hiyo wakati wapo wenye sifa na fani yao.

Tunaishukuru Wizara ya Afya bada ya kusikia hilo wali-intervene mpaka akatolewa kwenye hiyo nafasi. Na cha ajabu katika mojawapo ya vikao vya ndani alipoulizwa Chief Internal Auditor ndugu Robert Biah kwamba yeye analionaje hilo alisema yeye hana shida na Frank Nkone!! - ujinga mtupu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetaja na majina kabisa daaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nimeamini kitu hii nchi sitaki kusema.
Hii nchi itaendelea kuwepo tu na watu wenye madaraka wataendele kumenya tu!

Kwa hali ilivyo ngumu halafu mtu anashabika elimu wakati hela hana kmmmk inashangaza sana! Maskini mnapigwa tag ya uzalendo na kulipishwa kodi wao wanabunya tu na kutembelea ma V8 yale!

Solidarity Tax ndio italeta maendeleo wananchi tukaze mkanda tujenge madarasa na kuweka miundombinu ya umeme na maji 😂😂😂
 
Hii nchi itaendelea kuwepo tu na watu wenye madaraka wataendele kumenya tu!

Kwa hali ilivyo ngumu halafu mtu anashabika elimu wakati hela hana kmmmk inashangaza sana! Maskini mnapigwa tag ya uzalendo na kulipishwa kodi wao wanabunya tu na kutembelea ma V8 yale!

Solidarity Tax ndio italeta maendeleo wananchi tukaze mkanda tujenge madarasa na kuweka miundombinu ya umeme na maji [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye suala hili la ajira, nimeamini kitu ktk hii nchi wallah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye suala hili la ajira, nimeamini kitu ktk hii nchi wallah.
Mtoto wa mwendazake(yule binti) yeye alikula zake div 4 form 6 na akaenda degree 1 kwa 1 hapo UDOM hakuna cha kupitia certificate Wala diploma akamaliza akaunga zake masters na Yuko zake ofisimi anakula kipupwe Kama chore.

Wanyongeee baba,mwafaaaaa Hahah.
 
Shem unagonga kwenye mfupa ujue? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 amna namna nchi inatia hasira sana hii ila ndio home sasa tufanyaje!

Kila mtu anatamani aingie serikalini sikuhizi sio kwamba ni kuna maslahi sana ila tu jinsi waheshimiwa wanavyomenya ile inawapa hamasa wanahisi wakiingia tu watakuwa karibu na bata!

Sasa mtoto kama huyo akipewa wadhifa unafikiria kuna analojua! Tabu na shida anaziskia tu toka kazaliwa yeye amekula kwa ubua tu shule anafuatwa na VX V8 yenye bendera mpaka kwao sijui Mbezi au Masaki! Likizo anaenda Mbugani kushangaa wanyama
 
Wajukuu wa Nyerere niliobahatika kuwafahamu tulisoma nao shule zetu za umma...
Watoto wa Mwinyi walikuwa wanakula bakora za ndossi pale Muhimbili shule ya msingi....
Mwendazake mtt wake kazungusha Form four, wangu kazungusha form two wote wakisomaa shule za kata...

Mimi Bado nakubaliana na sehemu kubwa ya falsafa za mwendazake alikuwa anarejesha Uzalendo.... Hawa wengine siwaelewi wanachoongea nawasikiliza kwa sikio moja....
Kwa hiyo sikio moja umefunga siyo? 😊😊, Basi sikiliza (kwa hilo sikio lako moja lililo wazi) nikwambie, laiti serikali ingeboresha shule za umma ziwe sawa au kukàribiana na zile za binafsi, wazazi wengi wangepeleka watoto wao kwenye shule za umma.
 
Hiki ndicho alichokimaanisha mkuu wa mkoa wa dodoma.

Huyu ni mtoto wa waziri wa tamisemi anayesimamia elimu ngazi ya msingi na sekondari na hapa akiwa amevalia uniform ya international school. Inshort hata waziri hana imani na shule za serikali unafikiri ndio atakuwa na uchungu na mwanao anayesoma shule ya kata?


View attachment 1852747

I stand with Antony mtaka!
I also do so.
 
Kwa hiyo sikio moja umefunga siyo? 😊😊, Basi sikiliza (kwa hilo sikio lako moja lililo wazi) nikwambie, laiti serikali ingeboresha shule za umma ziwe sawa au kukàribiana na zile za binafsi, wazazi wengi wangepeleka watoto wao kwenye shule za umma.
Wazazi wapi? Hawa wa kibongo? Ambaye yupo radhi awashe gari hadi posta hata akichelewa foleni ili aonekane anazo ikiwa kuna UDART ambayo anaweza wahi bila tatizo.
 
.... baada ya miaka 10 anaenda kuchukua fomu; wajumbe wanampitisha (hawa hawakataliwi siku zote kura zao zinatosha); mliokula mavumbi St. Kayumba mkaambulia zero mnabebwa kwenye ma-fuso kwenda kuchezea nyimbo za kampeni. Huyu lazima ataachaguliwa iwe mvua liwake jua. Ikishindikana atapitia mlango wa nafasi maalumu au zile 10!

Hatimaye anaingia mjengoni ninyi mnaendelea na vumbi lenu huko mashenzini na michiriku yenu! Teuzi zinapita, huyu anaanza na unaibu halafu baada ya muda madaraka kamili. Ndio hivyo tena atazeeka akila mema ya nchi halafu naye atarithisha watoto wake; kunakuwa na kizazi cha watawala na watwana! Ooooh! ccm ni ile ile! Uuuuh ni ile ile!
Majina yale yale yapo kwenye system miaka yote
 
Back
Top Bottom