Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Anatoka Kigoma mkuuIla kusema kweli hakuna Waziri ambae sijawahi kumkubali maisha yangu yote kama huyu Ndalichako. Halafu hiyo wizara habanduki na hana jipya kabisa. Sijui kaloga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatoka Kigoma mkuuIla kusema kweli hakuna Waziri ambae sijawahi kumkubali maisha yangu yote kama huyu Ndalichako. Halafu hiyo wizara habanduki na hana jipya kabisa. Sijui kaloga.
Ni mchonganishi balaa huyo bibiKila mtu ana mapungufu yake. Lakini bora hata Mwigulu tumemuona wizara tofauti. Huyu hii wizara ya elimu ndio cancer. Boss wa wizara hana maono (vision) kabisa sasa watendaji wake watakuwaje?
Mtoto wa mkuu mmoja alifanyiwa mafekeche na dingi ake kipindi akiwa rais ili asiende JKT wkt huo ilikua lazima, na leo nae mtoto ni rais na tena anahimiza kabisa mambo ya uzalendo.Nadhani iwe kikatiba viongozi watoto wao wasome shule za umma pamoja na kutibiwa nchini.
hahah Kigoma noma,Kuna Muda hua akiongea hata sielewi anaongea nini mpk najiuliza mi ndo mwenye matatizo au yeye?Hahah.Ama kwa hakika yule sio mzima. Na mganga wake atakuwa mtaalam sana.
Sasa jamani mtu ana mshahara wa 9M+ kwanini asisomeshe mtoto shule ya International ukizingatia amehudumu kwenye hiko kitengo kwa miaka zaidi ya 10?
Na mkifanya masihara atafia hapo hapo [emoji23][emoji23][emoji23] maana CCM huwa hawaonagi kama raia wa kawaida wana uwezo wa kupewa nyadhifa wanachaguana wenyewe kwa wenyewe kwenye saccos yao ya Lumumba!
Na huyo mtoto usikae ukategemea ataenda chuo cha kata hata siku moja! Huyo atakula flight moja kwa moja kwa mzee Biden au kwa Malikia kule na akirudi tu anapachikwa BOT huko au kwenye moja ya mfuko wa Hifadhi ya jamii kama PSSSF anaendelea kumenya tu!
Huyo hatakaa mtaani hata mwezi mmoja isipokuwa kwa mapumziko binafsi tu kwahio nyie wadanganyika na watoto wenu endeleeni kusaga soli tu ajira hamna mjiajiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Kayumba hua wanapigwa bonge La X kichwani.Huyo mwanafunzi rasta kama yupo chuo.
Huku kwa kayumba hata mikasi yakunyolea ni shida
Eeh kule haendi kapuku kule labda kwa nafasi za kawaida ila connection zinahusika kwa 100%.Hahaaaa!!!!na cjui kwann ile ofc ya mafweza wamejaaa watt wao tu
Eeh kule haendi kapuku kule! Wanpachikana mle ikifikia utawala umegeuka kaja raisi mpya wanapandishwa vyeo ndio unashangaa amepewa uwaziri wa fedha [emoji23][emoji23][emoji23] Dkt. Gordet Ndalichako kipindi hiko mama yake ni mstaafu
Hahah maaanina we jamaa sijui umetumwa kusema ukweli machungu.Sasa jamani mtu ana mshahara wa 9M+ kwanini asisomeshe mtoto shule ya International ukizingatia amehudumu kwenye hiko kitengo kwa miaka zaidi ya 10?
Na mkifanya masihara atafia hapo hapo 😂😂😂 maana CCM huwa hawaonagi kama raia wa kawaida wana uwezo wa kupewa nyadhifa wanachaguana wenyewe kwa wenyewe kwenye saccos yao ya Lumumba!
Na huyo mtoto usikae ukategemea ataenda chuo cha kata hata siku moja! Huyo atakula flight moja kwa moja kwa mzee Biden au kwa Malikia kule na akirudi tu anapachikwa BOT huko au kwenye moja ya mfuko wa Hifadhi ya jamii kama PSSSF anaendelea kumenya tu!
Huyo hatakaa mtaani hata mwezi mmoja isipokuwa kwa mapumziko binafsi tu kwahio nyie wadanganyika na watoto wenu endeleeni kusaga soli tu ajira hamna mjiajiri 😂😂😂
😄😄😄 We jamaa Leo umeamua aisee.Eeh kule haendi kapuku kule labda kwa nafasi za kawaida ila connection zinahusika kwa 100%.
Wanpachikana watoto wa ma MD na mawaziri mle ikifikia utawala umegeuka kaja raisi mpya wanapandishwa vyeo ndio unashangaa amepewa uwaziri wa fedha 😂😂😂 Dkt. Gordet Ndalichako kipindi hiko mama yake ni mstaafu
Kosa sio la ndalichako ni ummy.Ila kusema kweli hakuna Waziri ambae sijawahi kumkubali maisha yangu yote kama huyu Ndalichako. Halafu hiyo wizara habanduki na hana jipya kabisa. Sijui kaloga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nimeamini kitu hii nchi sitaki kusema.Sasa jamani mtu ana mshahara wa 9M+ kwanini asisomeshe mtoto shule ya International ukizingatia amehudumu kwenye hiko kitengo kwa miaka zaidi ya 10?
Na mkifanya masihara atafia hapo hapo [emoji23][emoji23][emoji23] maana CCM huwa hawaonagi kama raia wa kawaida wana uwezo wa kupewa nyadhifa wanachaguana wenyewe kwa wenyewe kwenye saccos yao ya Lumumba!
Na huyo mtoto usikae ukategemea ataenda chuo cha kata hata siku moja! Huyo atakula flight moja kwa moja kwa mzee Biden au kwa Malikia kule na akirudi tu anapachikwa BOT huko au kwenye moja ya mfuko wa Hifadhi ya jamii kama PSSSF anaendelea kumenya tu!
Huyo hatakaa mtaani hata mwezi mmoja isipokuwa kwa mapumziko binafsi tu kwahio nyie wadanganyika na watoto wenu endeleeni kusaga soli tu ajira hamna mjiajiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah halafu neno uzalendo mwendazake ndio alikuja kulipa umaarufu Sana.Hawa wapuuzi eti wanajiita wazalendo huku ni majizi balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mwanafunzi rasta kama yupo chuo.
Huku kwa kayumba hata mikasi yakunyolea ni shida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeh kule haendi kapuku kule labda kwa nafasi za kawaida ila connection zinahusika kwa 100%.
Wanpachikana watoto wa ma MD na mawaziri mle ikifikia utawala umegeuka kaja raisi mpya wanapandishwa vyeo ndio unashangaa amepewa uwaziri wa fedha [emoji23][emoji23][emoji23] Dkt. Gordet Ndalichako kipindi hiko mama yake ni mstaafu
Hahaha huku ukisubiri huruma ya familia za hao watawala Kama wataamua kuwafukuza wamachinga au la.Ndio ukweli lazima tuambiane maana ndio mfumo wa maisha ulivyo ila ulaya sidhani kama haya mambo yapo! Yani kwa hali hio umaskini kwenye hio familia hautakaa ubishe hodi labda itokee vita mambo yaparanganyike 😂😂😂!
Sasa we na degree yako ya chuo cha kata utatoboaje maisha ndugu yangu! Inabidi ukanunue mahindi tu simu2000 pale utafte kijiwe kituoni utege upate angalau hela ya kula na kodi! Huku ukibishania katiba mpya 😂😂😂 maana umesikilizia michongo mpaka viatu vimeisha suruali zimeisha ulizonunuaga kwa boom!
.... baada ya miaka 10 anaenda kuchukua fomu; wajumbe wanampitisha (hawa hawakataliwi siku zote kura zao zinatosha); mliokula mavumbi St. Kayumba mkaambulia zero mnabebwa kwenye ma-fuso kwenda kuchezea nyimbo za kampeni. Huyu lazima ataachaguliwa iwe mvua liwake jua. Ikishindikana atapitia mlango wa nafasi maalumu au zile 10!Sasa jamani mtu ana mshahara wa 9M+ kwanini asisomeshe mtoto shule ya International ukizingatia amehudumu kwenye hiko kitengo kwa miaka zaidi ya 10?
Na mkifanya masihara atafia hapo hapo 😂😂😂 maana CCM huwa hawaonagi kama raia wa kawaida wana uwezo wa kupewa nyadhifa wanachaguana wenyewe kwa wenyewe kwenye saccos yao ya Lumumba!
Na huyo mtoto usikae ukategemea ataenda chuo cha kata hata siku moja! Huyo atakula flight moja kwa moja kwa mzee Biden au kwa Malikia kule na akirudi tu anapachikwa BOT huko au kwenye moja ya mfuko wa Hifadhi ya jamii kama PSSSF anaendelea kumenya tu!
Huyo hatakaa mtaani hata mwezi mmoja isipokuwa kwa mapumziko binafsi tu kwahio nyie wadanganyika na watoto wenu endeleeni kusaga soli tu ajira hamna mjiajiri 😂😂😂
Mtaka Wa kwake anasoma wapi?Hiki ndicho alichokimaanisha mkuu wa mkoa wa dodoma.
Huyu ni mtoto wa waziri wa tamisemi anayesimamia elimu ngazi ya msingi na sekondari na hapa akiwa amevalia uniform ya international school. Inshort hata waziri hana imani na shule za serikali unafikiri ndio atakuwa na uchungu na mwanao anayesoma shule ya kata?
View attachment 1852747
I stand with Antony mtaka!