Kingine watu Bado hawajashituka kwa vile mtaala mpya unataka elimu ya msingi iwe mwisho darasa la sita Sasa wakwapua pesa kwa kisingizio Cha kufaulisha, wanahonga pesa na kuweka watu washawishi elimu ya awali au chekechea iwe ya lazima wakati hao watoto wa chekechea watakuwa wadogo wanatakiwa kusoma mazingira ya nyumbani huku wakiwa chini ya uangalizi maana wengine wanavaa Bado diaper, Sasa hawa wa kuchukua watoto usiku na kuwarudisha usiku baada ya kuwa overdose masomo na kuteka muda wa watoto wa kupumzika sisi tumekaa kimya Sasa hao wakifanikiwa kuweka elimu ya awali kuwa ya lazima, sijui wazazi watalia kiasi gani.